Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SANAMU LA DENNIS BERGKAMP LILIVYOZINDULIWA EMIRATES LEO

Dennis Bergkamp akipozi katika sanamu lake. SANAMU la mwanasoka aliyeichezea klabu ya Arsenal ya jijini London miaka 11, Dennis Bergkamp limezinduliwa kwenye Uwanja wa Emirates. Bergkamp (kulia) akiliangalia sanamu lake wakati wa uzinduzi. Zoezi hilo lililoshuhudiwa na mamia ya mashabiki wa klabu hiyo limefanyika leo kabla ya mechi ya Arsenal na Sunderland. Bergkamp ambaye ni raia wa Uholanzi, alijiunga na Arsenal mwaka 1995...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBC

Zambia mourns Dennis Lota

Zambian football legend Dennis Lota, who played at four Africa Cup of Nations finals, dies after a short illness in South Africa aged 40.

 

9 years ago

Mtanzania

Dennis akomba milioni 50/- za TMT

DENNISUKILALA masikini unaamka tajiri, ndivyo ilivyokuwa kwa mwigizaji chipukizi, Denis Lwasai, aliyewahi kufanyakazi na marehemu Steven Kanumba, baada ya usiku wa kuamkia jana kuibuka na kitita cha shilingi milioni 50 alizopata baada ya kuibuka mshindi katika shindano la Tanzania Movie Talent (TMT).

Katika shindano hilo, washiriki 10 waliingia fainali na kisha kuchezeshwa wawili wawili katika igizo lililokuwa likionyesha unyenyekevu wakati wa kuomba kazi. Hata hivyo, washiriki wote 10 wataigiza...

 

10 years ago

BBCSwahili

Alonso atashiriki Fomula1: Ron Dennis

Mclaren Ron Dennis amesema dereva Fernando Alonso anatarajiwa kushiriki msimu mpya wa mbio za magari za Grand Prix .

 

11 years ago

BBCSwahili

Sanamu ya Mandela yazinduliwa A. Kusini

Sanamu kubwa zaidi duniani ya Nelson Mandela imezinduliwa mjini Pretoria siku moja baada ya rais huyo wa zamani kuzikwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kombe la FA latua uwanjani Emirates

Arsenal wamejimalizia ukame wa miaka tisa wa kutopata taji lolote kwa kushinda kombe la FA 2014

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji wa IS wavunja sanamu Iraq

Wapiganaji wa Islamic State wametoa kanda ya video inayowaonyesha wakivunja sanamu ndani ya makavazi katika mji wa Mosul iraq

 

10 years ago

BBCSwahili

Sanamu ya Gandhi yafunuliwa London

Sanamu ya shaba ya mkombozi wa India, Mahatma Gandhi, yafunuliwa na David Cameron London

 

11 years ago

BBCSwahili

Emirates yabadilisha safari za ndege

Shirika la ndege la Emirates labadilisha safari za ndege ilikukwepa kupitia kwenye anga ya Iraq

 

10 years ago

BBCSwahili

Sanamu ya Rhodes yang'olewa

Sanamu la Cicil John Rhodes aliyewahi kuitawala Cape Town, imeondolewa katika chuo kikuu cha Cape Town, Afrika kusini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani