Saratani sio ugonjwa wa kisasa
Watafiti nchini Uingereza wamegundua Saratani katika mifupa ya kijana mmoja aliyekuwa anaishi nchini Misri miaka 3000 iliyopita
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uxLbwSVx3LsaMkdQyws3JfLQPsyYn0ediaatnm7zgUW2RwBQkosDCx*U24-CiBGF1fo1y5zZ6XoHz9EOwspmgBeu5s*qt8Z7/melanomafull.jpg?width=650)
UGONJWA WA SARATANI YA NGOZI (MELANOMA)-2
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3H0blYU0D1c/XmM6bLtMvRI/AAAAAAALhr8/2IM3Hfg8oo03pB6_J9JME5Q6UF0jNMEjwCLcBGAsYHQ/s72-c/c38a5d40-e396-4d8b-bae9-0c6ee29aa9bc-768x576.jpg)
TANZANIA YAANZISHA HUDUMA YA KISASA YA KUTIBU SARATANI YA IMRT
Tanzania inakuwa ya kwanza kutumia huduma hiyo ya IMRT kwa ukanda huu wa Afrika Mashariki huku kwa Afrika inaingia kuwa nchi ya tatu baada ya Afrika Kusini na Misri.
Kwa mataifa mengine huduma hiyo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U9cJ436L1lcGlJrzAbX6WZNcM-Jb3y-NHNzw59dlPLV56zWWfLsBx*KuxrGhODwqTdzWIFcWMDN1Up0QBD*LMOrBrDFk4PPY/MDF2828615042013160436655.jpg?width=650)
FAHAMU UGONJWA WA SARATANI KWA WATOTO-3
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yi0TCIBaEFV02KLXapZbHeNe6I*o-ohoGDYNioUjLVASZPmLa*Lj*H1xNtrOoAM-luAbXb0vCAO6*LQPMIbXxitpdFEkp88k/Emilia3.jpg?width=650)
FAHAMU UGONJWA WA SARATANI KWA WATOTO-2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VittCBMQg0KB6rdN5ALgKlzyv3s8Ug4kcRrIxbAxvhtIa5tETwf9lHUV5FLd5fFdHR6ei0DCatP6nIV5exwmwM0UpgLpgzV-/Emilia3.jpg?width=650)
FAHAMU UGONJWA WA SARATANI KWA WATOTO
11 years ago
Tanzania Daima29 Apr
Wake wa viongozi wavalia njuga ugonjwa wa saratani
UMOJA wa Wake wa Viongozi nchini, umezitaka taasisi na wadau mbalimbali kushirikiana na Hospitali ya Aga Khan ili kuwakomboa wanawake kutokana na ugonjwa wa saratani. Akizungumza jijini Dar es Salaam...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/W8k9GghxLBsR7Wpn93FX*CvI2i6MDkh-RXSmIMQoxzVAwkI3dGOLX-rCi2jgsFD5GlI6sVIy36UeAMSXbVTpCtoNlksI*uhm/dudu.jpg?width=650)
FAHAMU UGONJWA WA SARATANI YA TEZI DUME (PROSTATE CANCER)-4
9 years ago
StarTV16 Nov
Dhana kuwa ugonjwa utokomezaji saratani:hautibiki kikwazo
Dhana potofu iliyojengeka katika jamii kuwa Saratani ya Matiti haitibiki na mtu anapopata ugonjwa huo lazima afe vinatajwa kuwa changamoto kubwa kwenye vita dhidi ya utokomezaji wa saratani nchini.
Jamii kubwa ya Tanzania hususani vijijini inadaiwa kuwa haina uelewa wa kutosha juu ya saratani ya matiti na wengi wao huihusisha na imani za kishirikina.
Idadi kubwa ya Wanawake wamebainika kuwa huishi na ugonjwa wa Saratani ya Matiti kwa muda mrefu bila kujitambua.
Wengi wao hujitambua pindi...
9 years ago
StarTV17 Dec
Zaidi ya 50% ya maisha ya watoto wenye ugonjwa Saratani  yaokolewa
Katika kipindi cha miaka mitano, tangu Serikali kwa kushirikiana na wadau wa afya waanzishe kitengo cha ugonjwa wa Saratani kwa watoto kwenye Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, zaidi ya asilimia 50 ya maisha ya watoto wenye ugonjwa huo yameokolewa.
Awali katika wodi ya watoto wenye tatizo hilo kwenye taasisi ya Saratani ya Ocean Road ni asilimia 10 tu ya watoto hao walioweza kuokolewa maisha.
Umasikini na uelewa mdogo katika ugonjwa Saratani ni miongoni mwa sababu zinazochangia ongezeko la...