Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Saratani sio ugonjwa wa kisasa

Watafiti nchini Uingereza wamegundua Saratani katika mifupa ya kijana mmoja aliyekuwa anaishi nchini Misri miaka 3000 iliyopita

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

UGONJWA WA SARATANI YA NGOZI (MELANOMA)-2

WIKI iliyopita tulieleza jinsi ugonjwa huu unavyomuingia mtu na matatizo yake.
 Tulieleza dalili lakini nyingine ni tezi za mwili za kwenye makwapa na kwenye nyonga huvimba, mgonjwa atatokwa na uvimbe kwenye ngozi, atapoteza uzito kwa kasi bila kujua sababu, atapata kikohozi kisichoisha, atapoteza fahamu au kupata kifafa,  ataumwa kichwa. TIBA
Kuna tiba nyingi za kitabibu, zilizogawanyika katika makundi mbalimbali....

 

5 years ago

Michuzi

TANZANIA YAANZISHA HUDUMA YA KISASA YA KUTIBU SARATANI YA IMRT

TAASISI ya Saratani ya Ocean Road(ORCI) imeanzisha huduma mpya ya kibingwa ya kutibu ugonjwa wa saratani kwa miale ya mionzi kwa njia ya kisasa zaidi ijulikanayo kama Intensity Modulated Radiation Therapy (IMRT), ambapo tiba yake ni ya mionzi ikiwa inatibu eneo mahususi yenye tatizo pekee.

Tanzania inakuwa ya kwanza kutumia huduma hiyo ya IMRT kwa ukanda huu wa Afrika Mashariki huku kwa Afrika inaingia kuwa nchi ya tatu baada ya Afrika Kusini na Misri.

Kwa mataifa mengine huduma hiyo...

 

10 years ago

GPL

FAHAMU UGONJWA WA SARATANI KWA WATOTO-3

Kitaalamu dawa za kutibu saratani hii imegawanyika katika makundi mawili ipo iitwayo Vincristin, ya pili ni Methotrexate na dawa nyingine inayofahamika kama Cytarabin. Dawa nyingine ambayo ni muhimu sana huitwa Cyclophosphamide. Daktari akimuona mgonjwa anaweza kumpa dawa kwa kupitia njia ya mishipa ya damu pia ipo dawa ambayo mgonjwa hupewa kupitia uti wa mgongo. Kundi la pili la dawa zinazotumika kutibu saratani hii lina dawa...

 

10 years ago

GPL

FAHAMU UGONJWA WA SARATANI KWA WATOTO-2

Mtoto anaweza kupatwa maradhi haya kwa kurithi kutoka katika familia aliyozaliwa kama vile wazazi, mjomba, babu au bibi, mama mdogo na kadhalika. Mtoto pia anaweza kupatwa na saratani hii kutokana na kuugua kila wakati ugonjwa wa malaria ambapo huchangia kupungua kwa kinga mwilini.Sababu nyingine ni mashambulio ya virusi vinavyoitwa kwa kitaalamu ‘Lymphic System’. Virusi hivyo hushambulia mfumo wa damu na kusababisha...

 

10 years ago

GPL

FAHAMU UGONJWA WA SARATANI KWA WATOTO

Saratani au kansa zipo za aina nyingi lakini leo tutachambua ya  watoto ambayo kitaalamu inaitwa  Non Hodgkin’s Lymhona na  huwapata watoto wadogo wenye umri kati ya miaka mitatu na tisa. Saratani hii hujitokeza kutoka kwenye mfumo wa damu inayohusika na kinga ya mwili yaani Lymphatic system kwa kitaalamu na mara nyingi hushambulia tezi zinazoshughulika na kinga ya mwili wa mtoto na huweza kusababisha kifo. MAENEO...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wake wa viongozi wavalia njuga ugonjwa wa saratani

UMOJA wa Wake wa Viongozi nchini, umezitaka taasisi na wadau mbalimbali kushirikiana na Hospitali ya Aga Khan ili kuwakomboa wanawake kutokana na ugonjwa wa saratani. Akizungumza jijini Dar es Salaam...

 

10 years ago

GPL

FAHAMU UGONJWA WA SARATANI YA TEZI DUME (PROSTATE CANCER)-4

Baada ya vipimo hivyo kama vitaashiria saratani ya tezi dume basi daktari anaweza kuamuru vipimo vingine ili kuthibitisha uwepo wa ugonjwa huo kama vile Transrectal Ultrasound au Prostatic Needle Biopsy. Tukumbuke kuwa kuwahi kugundua saratani mapema kabla ya dalili, kuna faida kubwa kwa muathirika kwani saratani ikigundulika mapema ni rahisi kutibika. TIBA YAKE  Kuna njia kadhaa za matibabu ya saratani ya tezi dume. Hata...

 

9 years ago

StarTV

Dhana kuwa ugonjwa utokomezaji saratani:hautibiki kikwazo

Dhana potofu iliyojengeka katika jamii kuwa Saratani ya Matiti haitibiki na mtu anapopata ugonjwa huo lazima afe vinatajwa kuwa changamoto kubwa kwenye vita dhidi ya utokomezaji wa saratani nchini.

Jamii kubwa ya Tanzania hususani vijijini inadaiwa kuwa haina uelewa wa kutosha juu ya saratani ya matiti na wengi wao huihusisha na imani za kishirikina.

Idadi kubwa ya Wanawake wamebainika kuwa huishi na ugonjwa wa Saratani ya Matiti kwa muda mrefu bila kujitambua.

Wengi wao hujitambua pindi...

 

9 years ago

StarTV

Zaidi ya 50% ya maisha ya watoto wenye ugonjwa Saratani  yaokolewa

Katika kipindi cha miaka mitano, tangu Serikali kwa kushirikiana na wadau wa afya waanzishe kitengo cha ugonjwa wa Saratani kwa watoto kwenye Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, zaidi ya asilimia 50 ya maisha ya watoto wenye ugonjwa huo yameokolewa.

Awali katika wodi ya watoto wenye tatizo hilo kwenye taasisi ya Saratani ya Ocean Road ni asilimia 10 tu ya watoto hao walioweza kuokolewa maisha.

Umasikini na  uelewa mdogo katika ugonjwa  Saratani  ni miongoni mwa sababu zinazochangia ongezeko la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani