TANZANIA YAANZISHA HUDUMA YA KISASA YA KUTIBU SARATANI YA IMRT

TAASISI ya Saratani ya Ocean Road(ORCI) imeanzisha huduma mpya ya kibingwa ya kutibu ugonjwa wa saratani kwa miale ya mionzi kwa njia ya kisasa zaidi ijulikanayo kama Intensity Modulated Radiation Therapy (IMRT), ambapo tiba yake ni ya mionzi ikiwa inatibu eneo mahususi yenye tatizo pekee.
Tanzania inakuwa ya kwanza kutumia huduma hiyo ya IMRT kwa ukanda huu wa Afrika Mashariki huku kwa Afrika inaingia kuwa nchi ya tatu baada ya Afrika Kusini na Misri.
Kwa mataifa mengine huduma hiyo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo516 Sep
Vodacom Tanzania yaanzisha huduma mpya ya ‘LIPA KWA M-PESA’
11 years ago
Mwananchi28 Jan
Hospitali ya Aga Khan sasa kutibu saratani
11 years ago
Michuzi
Rais Kikwete azindua huduma za uchunguzi wa saratani ya mlango wa kizazi na saratani ya matiti Mkoani Tabora





11 years ago
Habarileo28 Jan
Kituo cha kutibu saratani chazinduliwa Aga Khan
SERIKALI imesema iko kwenye mchakato wa kuanzisha mfumo wa elektroniki katika hospitali zote nchini, kusimamia utendaji wa Bohari ya Dawa Tanzania (MSD) na kuhakikisha dawa zote zinawafikia walengwa. Pia, imesema kutokana na kuongezeka tatizo la saratani nchini, inatarajia kuanzisha vituo viwili vya matibabu ya ugonjwa huo katika mikoa ya Mbeya na Kilimanjaro.
11 years ago
Dewji Blog04 Sep
Ukosefu wa huduma za afya za kisasa na uhakika zadaiwa kuwa sababu kubwa ya watanzania kufuata huduma hiyo nje ya nchi
. Ukosefu wa huduma za afya za uhakika na za kisasa zinadaiwa kuwa sababu kubwa ya watanzania wengi kufuata huduma hizo nchi za nje.
Hospitali ya Apollo ilikuwa moja ya hospitali za mwanzo kabisa katika bara la Asia, na duniani kwa ujumla kuleta huduma zote za kiafya chini ya paa moja. Na kwa wakati huu, mpango huo kabambe umeifanya hospitali hiyo kufanikiwa katika Nyanja zote za matibabu.
Dr. Prathap C Reddy, muasisi wa huduma za kiafya za kisasa nchini india, alianzisha hospitali ya...
11 years ago
BBCSwahili18 Mar
Saratani sio ugonjwa wa kisasa
11 years ago
Habarileo17 Sep
Voda yaanzisha huduma mpya ya lipa kwa M-Pesa
KAMPUNI ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania imezindua huduma mpya ya M-Pesa ijulikanayo kama 'LIPA KWA M-PESA' ambayo ni jumuishi ya mfumo wa malipo utakaowezesha makampuni, mawakala wa jumla na rejareja na wafanyabiashara wengine kulipia bidhaa zao kwa kutumia huduma ya M-Pesa.
10 years ago
MichuziBayport yaanzisha huduma mpya ya bima ya magari, pikipiki na bajaj
Na Mwandishi Wetu, Dar es SalaamTAASISI ya Kifedha ya Bayport Financial Services inayojihusisha na mambo ya mikopo, imezindua huduma mpya ya bima ya magari,...
11 years ago
Michuzi.jpg)
VODACOM YAANZISHA HUDUMA MAALUM KWA MAWAKALA WA JUMLA NA REJAREJA
.jpg)