Sekondari ya Engutoto yapewa magodoro 185
CHAMA cha Mawakala wa Utalii nchini (TATO), kimetoa msaada wa magodoro 185 na mashuka 370, vyote vikiwa na thamani ya Sh milioni nane kwenye shule ya sekondari ya wavulana ya Engutoto wilayani Monduli.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo14 Jan
Magodoro sekondari Ndwika yateketea kwa moto
CHUMBA cha kuhifadhia magodoro pamoja na vifaa vingine katika shule ya sekondari ya bweni ya wasichana ya Ndwika iliyopo kata ya Lulindi halmashauri ya wilaya ya Masasi mkoani Mtwara kimeteketea kwa moto na kusababisha hasara kubwa katika shule hiyo.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-7d208KxBnPM/VOMXylpleqI/AAAAAAAHEJE/j1o1gvx-s6g/s72-c/unnamed%2B%286%29.jpg)
WAZIRI MKUU MSTAAFU NA MBUNGE WA MONDULI, EDWARD LOWASSA AKIZUNGUMZA NA BAADHI YA WANAFUNZI WA SHULE SEKONDARI YA WAVULANA YA ENGUTOTO WILAYANI MONDULI WAKATI ALIPOTEMBELEA LEO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-7d208KxBnPM/VOMXylpleqI/AAAAAAAHEJE/j1o1gvx-s6g/s1600/unnamed%2B%286%29.jpg)
Aidha mwenyekiti mtendaji wa makampuni IPP, Reginald Mengi akichangia shilingi milioni 25 kwa ajili ya vitanda na Kampuni ya A to Z ikichangia ujenzi wa mabweni mawili yaliyo ungua moto hivi karibuni.
![](http://3.bp.blogspot.com/-aML6rKdYyVk/VOMXyAIZMII/AAAAAAAHEI8/amgUR-5jNcM/s640/unnamed%2B%285%29.jpg)
10 years ago
Daily News20 Mar
185 Tanzanians jailed in China
Daily News
AT least 185 Tanzanians have been imprisoned in China for various crimes including drug smuggling by 2014, with several serving long sentences behind bars. However, the Deputy Minister for Home Affairs, Pereira Ame Silima, told the National Assembly ...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fq7bGbPluSE/Vn-Gte9l_SI/AAAAAAAIO0o/TfhuPvGFMRw/s72-c/438b61b1-5bb7-44c3-b033-163f4f528547.jpg)
NEEC yawadhamini wajasiriamali 185 milioni 244.5 Benki ya posta
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1EshZ3fyfr0/Xn9OjUl-s4I/AAAAAAALlZk/Co93rOjJHpswTKt2Su7MdVFbEwjhZHJcwCLcBGAsYHQ/s72-c/6028ff05-ddd9-4856-9340-ba00fcfca857.jpg)
WAZIRI MKUU APOKEA MISAADA YA SH. BILIONI 1.185 KUKABILIANA NA COVID-19
![](https://1.bp.blogspot.com/-1EshZ3fyfr0/Xn9OjUl-s4I/AAAAAAALlZk/Co93rOjJHpswTKt2Su7MdVFbEwjhZHJcwCLcBGAsYHQ/s640/6028ff05-ddd9-4856-9340-ba00fcfca857.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/37a6a6d6-97c9-4ccd-bac7-0c2c255c0f65.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim...
11 years ago
Habarileo12 May
Exim yatoa magodoro 60 Mwananyamala
BENKI ya Exim ya Tanzania imeadhimisha Sikukuu ya Mama Duniani kwa kuchangia magodoro 60 katika wodi ya wazazi ya Hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-g-03eFClYj0/VmWMB_Af17I/AAAAAAAAdHs/ipGejoR5j8E/s72-c/b3.jpg)
PSPF YAIPATIA HOSPITALI YA TEMEKE VITANDA, MAGODORO NA MASHUKA
Msaada huo ambao ni utekelezaji wa maombi ya Mbunge wa viti maalum, Angela Kairuki, alioutoa kwa uongozi wa PSPF, baada ya kutembelea hospitali hiyo wakati akiwa naibu waziri wa Sheria na Katiba, na kukuta akina mama wajawazito waliofika hospitalini hapo kujifungua wengine wakilala chini kutokana na uhaba...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-503goZ0ehlY/XrERZvmQIbI/AAAAAAALpLU/8jh01KO-zwYublmDkwmea9msO9biCPfZACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200504-WA0167.jpg)
ULEGA AKABIDHI MAGODORO 70 KAMBI YA WATU WALIOPO KARANTINI MKURANGA
NA MWAMVUA MWINYI,MKURANGA Mbunge wa Jimbo la Mkuranga na Naibu wa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega amekabidhi Magodoro Sabini (70) kwa ajili ya kambi ya watu walioko kwenye karantini wilayani Mkuranga. Hatua hiyo ya Ulega ni kwa ajili ya kuunga mkono juhudi za serikali za kupambana na ugojwa wa Homa ya Mapafu unaosababishwa na virusi vya Corona ambao umekuwa janga la Ulimwengu. Magodoro hayo, Mbunge huyo aliyapokea kutoka kwa wadau na marafiki mbalimbali walioamua ...