WAZIRI MKUU APOKEA MISAADA YA SH. BILIONI 1.185 KUKABILIANA NA COVID-19
![](https://1.bp.blogspot.com/-1EshZ3fyfr0/Xn9OjUl-s4I/AAAAAAALlZk/Co93rOjJHpswTKt2Su7MdVFbEwjhZHJcwCLcBGAsYHQ/s72-c/6028ff05-ddd9-4856-9340-ba00fcfca857.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu wakikagua jenereta lilitolewa na familia ya Karimjee Jivanji ya jijini Dar es salam lenye thamani ya sh. milioni 75 wakati alipopokea michango kutoka kwa wadau mbalimbali kwa ajili ya mapambano dhidi ya ugonjwa wa CORONA, Machi 28, 2020. Kushoto ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Mussa Azan Zungu.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Kassim...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogWAZIRI MKUU APOKEA MISAADA YA BILIONI 1.1 KUKABILIANA NA CORONA COVID-19
5 years ago
MichuziDC MBONEKO APOKEA MAPIPA 20 YALIYOTOLEWA NA KASHWASA KUKABILIANA NA COVID - 19 SHINYANGA
Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira katika mji wa Kahama na Shinyanga (Kahama Shinyanga Water Supply and Sanitation Authority(KASHWASA) inavyozalisha na kusambaza maji katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania, Mhandisi Joshua Mgeyekwa akimkabidhi Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko mapipa 20 yenye ujazo wa lita 210 kila moja kwa ajili ya kuunga mkono juhudi za serikali katika mapambano dhidi ya Virusi Vya Corona ‘Covid – 19’ kwenye maeneo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-baIwmGbi0_k/Xtjy8wA6qoI/AAAAAAALsng/jQ552wQ3gpcUsvQgGlALDRu0NyU-v_MCACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200604-WA0044.jpg)
WAZIRI WA ELIMU,SAYANSI NA TEKNOLOJIA APOKEA MSAADA WA VIFAA VYA KUKABILIANA NA CORONA KUTOKA AFRICAB
Na Said Mwishehe ,Michuzi TV
KATIKA kuendelea kukabiliana na virusi vya Corona nchini, SerikaIi kupitia Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia imepokea msaada wa matanki 100 kutoka kampuni ya utengenezaji wa vifaa vya umeme ya AFRICAB maalumu kwa ajili ya kuwawezesha wanafunzi na wanavyuo jijini Dar es Salaam kunawa mikono ili kukabiliana na janga la homa mapato inayosababishwa na virusi vya Corona.
Akipokea na kisha kukabidhi matanki hayo yenye thamani ya Sh. Milioni 50, Waziri wa Elimu...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RInrpizNBvA/VWXSgH5FaUI/AAAAAAAHaI4/2UgyuzNRRSY/s72-c/Waziri-Mkuu-wa-Tanzania-Mizengo-Pinda1.jpg)
WAZIRI MKUU APOKEA VITABU KUCHANGIA SHULE ALIYOSOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-RInrpizNBvA/VWXSgH5FaUI/AAAAAAAHaI4/2UgyuzNRRSY/s320/Waziri-Mkuu-wa-Tanzania-Mizengo-Pinda1.jpg)
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amepokea msaada wa vitabu 895 vyenye thamani ya sh. milioni 6.5/- ikiwa ni jitihada ya wadau mbalimbali kuchangia shule ya msingi aliyosoma ya Kakuni iliyoko kijiji cha Kibaoni, wilayani Mlele, mkoani Katavi.
Waziri Mkuu amepokea msaada huo jana mchana (Jumanne, Mei 26, 2015) kwenye shule mpya ya msingi Kakuni ambayo bado inaendelea kujengwa kwenye kijiji cha Kibaoni.
Akizungumza katika hafla hiyo fupi mara baada ya kupokea msaada huo, Waziri Mkuu Pinda...
5 years ago
MichuziWAZIRI MKUU APOKEA SH. MILIONI 500 KUKABILI CORONA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-I10155O3WVU/VaebnubzqQI/AAAAAAAHqFk/vVFK4gaLXjI/s72-c/unnamed%2B%252886%2529.jpg)
WAZIRI MKUU PINDA APOKEA TAARIFA YA MKOA WA KATAVI
![](http://1.bp.blogspot.com/-I10155O3WVU/VaebnubzqQI/AAAAAAAHqFk/vVFK4gaLXjI/s640/unnamed%2B%252886%2529.jpg)
5 years ago
MichuziWAZIRI MKUU APOKEA SH. BIL 6.226 KUKABILI CORONA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amepokea kutoka kwa wadau msaada wa fedha pamoja na vifaa mbalimbali kwa ajili ya kukabiliana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na virusi vya corona (COVID-19) wenye thamani ya sh....
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vf77AmMaeXuOx0FCcpksC7QkGBSoXLZOvPBWRSlOwSsOKNO0ufbboIfx2Z0wac06-DgzjYyOnTQixJW3kV0r8P9VcZUx4biV/WaziriMkuuMizengoPinda_full.jpg)
WAZIRI MKUU APOKEA MSAADA WA PIKIPIKI 44 KUTOKA CHINA
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-nCv8_-lMIH4/VU4Qf5K5bnI/AAAAAAABN_c/JHzmlY24K6I/s72-c/pinda.jpg)
WAZIRI MKUU AISHUKURU LIONS CLUB KWA MISAADA YAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-nCv8_-lMIH4/VU4Qf5K5bnI/AAAAAAABN_c/JHzmlY24K6I/s640/pinda.jpg)
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda ameishukuru taasisi ya Kimataifa ya Lions Club kwa misaada ambayo imekuwa ikiitoa hapa nchini katika nyanja za afya, utunzaji mazingira na uokoaji wakati wa maafa.
Akifungua kongamano la 12 la mwaka linalojumuisha wadau wote wa Lions Club District 411 leo asubuhi (Jumamosi, Mei 9, 2015), Waziri Mkuu alisema anawashukuru wana Lions wote kwani miradi mingi wanayoifanya huwa ni kwa kujitolea tu.
“Serikali itaendelea kushirikiana na taasisi hii kwani kwa sehemu kubwa...