WAZIRI MKUU APOKEA SH. BIL 6.226 KUKABILI CORONA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wadau mbalimbali waliojitokeza kutoa michango kwa ajili ya kuunga mkono juhudi za serkali za kupambana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu- COVID - 19 kwenye viwanja vya Ofisi ya Waziri Mkuu, Mlimwa jijini Dodoma, Aprili 8, 2020.
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amepokea kutoka kwa wadau msaada wa fedha pamoja na vifaa mbalimbali kwa ajili ya kukabiliana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na virusi vya corona (COVID-19) wenye thamani ya sh....
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWAZIRI MKUU APOKEA SH. MILIONI 500 KUKABILI CORONA
5 years ago
CCM BlogWAZIRI MKUU APOKEA MISAADA YA BILIONI 1.1 KUKABILIANA NA CORONA COVID-19
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0kxgOh3uIYM/XrL6JO4ejGI/AAAAAAALpVA/BVSKZz2I0c45FSzi8so-0hQaMVwWpHMswCLcBGAsYHQ/s72-c/thumbnail.jpg)
GGML yamkabidhi Waziri Ummy Sh bilioni 1.1 kukabili Corona
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto, amepokea hundi ya Sh bilioni 1.1 kutoka kwa Kampuni ya Uchimbaji Madini Geita (GGML) ili kukabiliana na mapambano dhidi ya maambukizi ya Corona.
Pia ametoa wito kwa viwanda vya ndani kuchangamkia fursa za uzalishaji wa vifaa tiba na kinga dhidi ya ugonjwa wa Covid-19 kutokana na fedha zinazochangwa na makampuni mbalimbali nchini.
Waziri Ummy ametoa kauli hiyo jana jijini Dar es Salaam, wakati akipokea hundi hiyo kutoka GGML ambayo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vf77AmMaeXuOx0FCcpksC7QkGBSoXLZOvPBWRSlOwSsOKNO0ufbboIfx2Z0wac06-DgzjYyOnTQixJW3kV0r8P9VcZUx4biV/WaziriMkuuMizengoPinda_full.jpg)
WAZIRI MKUU APOKEA MSAADA WA PIKIPIKI 44 KUTOKA CHINA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-I10155O3WVU/VaebnubzqQI/AAAAAAAHqFk/vVFK4gaLXjI/s72-c/unnamed%2B%252886%2529.jpg)
WAZIRI MKUU PINDA APOKEA TAARIFA YA MKOA WA KATAVI
![](http://1.bp.blogspot.com/-I10155O3WVU/VaebnubzqQI/AAAAAAAHqFk/vVFK4gaLXjI/s640/unnamed%2B%252886%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RInrpizNBvA/VWXSgH5FaUI/AAAAAAAHaI4/2UgyuzNRRSY/s72-c/Waziri-Mkuu-wa-Tanzania-Mizengo-Pinda1.jpg)
WAZIRI MKUU APOKEA VITABU KUCHANGIA SHULE ALIYOSOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-RInrpizNBvA/VWXSgH5FaUI/AAAAAAAHaI4/2UgyuzNRRSY/s320/Waziri-Mkuu-wa-Tanzania-Mizengo-Pinda1.jpg)
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amepokea msaada wa vitabu 895 vyenye thamani ya sh. milioni 6.5/- ikiwa ni jitihada ya wadau mbalimbali kuchangia shule ya msingi aliyosoma ya Kakuni iliyoko kijiji cha Kibaoni, wilayani Mlele, mkoani Katavi.
Waziri Mkuu amepokea msaada huo jana mchana (Jumanne, Mei 26, 2015) kwenye shule mpya ya msingi Kakuni ambayo bado inaendelea kujengwa kwenye kijiji cha Kibaoni.
Akizungumza katika hafla hiyo fupi mara baada ya kupokea msaada huo, Waziri Mkuu Pinda...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-baIwmGbi0_k/Xtjy8wA6qoI/AAAAAAALsng/jQ552wQ3gpcUsvQgGlALDRu0NyU-v_MCACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200604-WA0044.jpg)
WAZIRI WA ELIMU,SAYANSI NA TEKNOLOJIA APOKEA MSAADA WA VIFAA VYA KUKABILIANA NA CORONA KUTOKA AFRICAB
Na Said Mwishehe ,Michuzi TV
KATIKA kuendelea kukabiliana na virusi vya Corona nchini, SerikaIi kupitia Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia imepokea msaada wa matanki 100 kutoka kampuni ya utengenezaji wa vifaa vya umeme ya AFRICAB maalumu kwa ajili ya kuwawezesha wanafunzi na wanavyuo jijini Dar es Salaam kunawa mikono ili kukabiliana na janga la homa mapato inayosababishwa na virusi vya Corona.
Akipokea na kisha kukabidhi matanki hayo yenye thamani ya Sh. Milioni 50, Waziri wa Elimu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1EshZ3fyfr0/Xn9OjUl-s4I/AAAAAAALlZk/Co93rOjJHpswTKt2Su7MdVFbEwjhZHJcwCLcBGAsYHQ/s72-c/6028ff05-ddd9-4856-9340-ba00fcfca857.jpg)
WAZIRI MKUU APOKEA MISAADA YA SH. BILIONI 1.185 KUKABILIANA NA COVID-19
![](https://1.bp.blogspot.com/-1EshZ3fyfr0/Xn9OjUl-s4I/AAAAAAALlZk/Co93rOjJHpswTKt2Su7MdVFbEwjhZHJcwCLcBGAsYHQ/s640/6028ff05-ddd9-4856-9340-ba00fcfca857.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/37a6a6d6-97c9-4ccd-bac7-0c2c255c0f65.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim...
5 years ago
CCM BlogWAZIRI MKUU MAJALIWA APOKEA TAARIFA YA KAMATI ALIYOIUNDA YA KUCHUNGUZA ZAO LA KATANI
Nyumba nyingine zilizopendekezwa kurejeshwa Serikalini ni pamoja na nyumba kumi zilizoko ndani ya Jiji la Tanga katika maeneo ya Raskazone, Bombo, Nguvumali na Market street ambazo zilinunuliwa...