Serikali awamu ya 4 yatambia kupunguza uhalifu
WIZARA ya Mambo ya Ndani ya Nchi imesema Serikali ya Awamu ya Nne imepata mafanikio makubwa katika kudhibiti uhalifu uliokuwa umekithiri. Miongoni mwa mafanikio ni pamoja na kudhibiti mauaji ya albino, ambayo matukio yamepungua kutoka 20 mwaka 2008 hadi moja mwaka jana huku watuhumiwa wakiwa wamekamatwa na kuchukuliwa hatua.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
Polisi Arusha wapongezwa kupunguza matukio ya uhalifu
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amelipongeza Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha kwa kufanikiwa kupunguza na kudhibiti matukio ya uhalifu hali ambayo imepelekea shughuli za kiuchumi kufanyika kwa amani hasa utalii.
Alitoa pongezi hizo wakati akifungua kikao kazi kilichohusisha Maafisa wa Polisi pamoja na Polisi Kata 157 toka kata zote za Mkoa wa Arusha ambacho kilikua na lengo la kukumbushana wajibu wa Polisi Kabla, wakati na baada ya uchaguzi.
Amesema...
9 years ago
CCM Blog
MAWAZIRI WA SERIKALI YA AWAMU YA TANO WAAPISHWA




10 years ago
Mwananchi14 Dec
‘Serikali ya awamu ya nne kumaliza vibaya’
10 years ago
Michuzi
SERIKALI YA AWAMU YA TANO ITAKUWA NI YA VIWANDA-MAGUFULI


10 years ago
Mwananchi08 Sep
Magufuli: Serikali ya awamu ya tano itakuwa ya viwanda
10 years ago
Mwananchi18 Jan
Kashfa tano zimeitesa Serikali ya awamu ya nne
11 years ago
Tanzania Daima02 Sep
Serikali yashauriwa kupunguza kodi
SERIKALI imeshauriwa kupunguza kodi katika huduma za usafiri wa anga ili watanzania wengi wamudu kuutumia usafiri huo katika shughuli zao za kiuchumi. Ushauri huo ulitolewa jana na Meneja Mkuu wa...
10 years ago
Michuzi
Hazina yapamba tamasha la mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Nne


10 years ago
MichuziSERIKALI YA AWAMU YA TANO YAOMBWA KUREKEBISHA ADHABU YA KIFO
Na Chalila Kibuda ,Globu ya Jamii
TAASISI ya Children Education Society (CHESO) ...