Serikali inapopuuza mamlaka ya Bunge
IBARA ya 63(2) ya Katiba inayotumika sasa yasema: “Bunge litakuwa ndicho chombo kikuu cha Jamhuri ya Muungano ambacho kitakuwa na madaraka, kwa niaba ya wananchi, kuisimamia na kuishauri serikali ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi23 Mar
Mamlaka ya Bunge la Katiba yana mipaka
11 years ago
Habarileo07 Mar
Walalamikia Mamlaka ya Katibu wa Bunge kutimua waandishi
BAADHI ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wamelalamika Katibu wa Bunge kupewa mamlaka makubwa ya kuweza kumruhusu na kumfukuza mwandishi wa habari kuripoti habari za bunge hilo, wakisema anaweza kuyatumika kukandamiza vyombo vya habari.
11 years ago
Mwananchi18 May
‘Kuna dalili Bunge la Katiba litapora mamlaka ya wananchi’
11 years ago
Tanzania Daima02 Mar
Bunge halina mamlaka kupigia kura rasimu ya wananchi
BUNGE Maalumu la Katiba linaloendelea mjini Dodoma halina mamlaka ya kupigia kura rasimu ya wananchi kwa kuwa sio tu hawajatokana na wananchi bali pia yale ni maoni ya wananchi. Bunge...
11 years ago
Habarileo20 Feb
Werema: Bunge la Katiba lina mamlaka kurekebisha Rasimu
MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema amesema wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wana mamlaka ya kurekebisha Rasimu ya Katiba lakini hawawezi kuondoa misingi mikuu ya kitaifa na maadili ya kijamii. Aidha, amesema madai ya kuwapo kwa rasimu vya vyama na makundi mbalimbali ni upotoshaji, ila si vyema kuzipiga mateke, bali wajumbe wazisome.
11 years ago
Tanzania Daima18 Feb
Wabunge zingatieni mamlaka, mipaka Bunge Maalumu la Katiba
MCHAKATO wa kupata Katiba ya Tanzania ulianza kwa kutungwa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba. Baadaye kupitia sheria hiyo, tume ya kukusanya maoni ya wananchi ikaundwa kwa ajili ya kukusanya maoni...
11 years ago
Tanzania Daima21 Jun
Serikali yaeleza lengo la kuanzisha mamlaka ya mji mdogo
SERIKALI imesema lengo la kuanzishwa mamlaka ya mji mdogo ni kuingiza dhana ya mipango miji, ili kuzuia ujenzi holela. Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa...
10 years ago
Michuzi
Bunge laridhishwa na utendaji wa serikali, lapitisha taarifa za za Kamati ya Bajeti, Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), Hesabu za Serikali (PAC), Miundombinu na Nishati na Madini.
11 years ago
Dewji Blog14 Aug
Kikwete: Serikali haina mamlaka ya amri kuzungumzia uraia pacha
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mkrisho Kikwete akiingia ukumbini wakati wa kongamano la Watanzania waishio Ughaibuni lililofanyika kwa mara ya kwanza nchini leo Jijini Dar es Salaam. Nyuma yake ni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mizendo Pinda( mwenye koti la Bluu).
Na Joseph Ishengoma, MAELEZO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete amesema hana mamlaka ya amri kuzungumzia uraia pacha kwasababu ni la katiba.
Rais Kikwete amesema...