Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali inapopuuza mamlaka ya Bunge

IBARA ya 63(2) ya Katiba inayotumika sasa yasema: “Bunge litakuwa ndicho chombo kikuu cha Jamhuri ya Muungano ambacho kitakuwa na madaraka, kwa niaba ya wananchi, kuisimamia na kuishauri serikali ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mamlaka ya Bunge la Katiba yana mipaka

Kumeibuka hoja inayolenga uwezo wa Bunge la Mabadiliko ya Katiba kwa kuihusisha na Rasimu ya Katiba Mpya iliyowasilishwa kwenye bunge hilo na Tume ya Mabadiliko ya Katiba.

 

11 years ago

Habarileo

Walalamikia Mamlaka ya Katibu wa Bunge kutimua waandishi

BAADHI ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wamelalamika Katibu wa Bunge kupewa mamlaka makubwa ya kuweza kumruhusu na kumfukuza mwandishi wa habari kuripoti habari za bunge hilo, wakisema anaweza kuyatumika kukandamiza vyombo vya habari.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Kuna dalili Bunge la Katiba litapora mamlaka ya wananchi’

Bunge la Katiba limesitishwa kwa muda baada ya kukutana kwa takribani miezi miwili na nusu na kufanya mijadala muhimu inayolenga kuboresha rasimu ya katiba.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge halina mamlaka kupigia kura rasimu ya wananchi

BUNGE Maalumu la Katiba linaloendelea mjini Dodoma halina mamlaka ya kupigia kura rasimu ya wananchi kwa kuwa sio tu hawajatokana na wananchi bali pia yale ni maoni ya wananchi. Bunge...

 

11 years ago

Habarileo

Werema: Bunge la Katiba lina mamlaka kurekebisha Rasimu

MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema amesema wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wana mamlaka ya kurekebisha Rasimu ya Katiba lakini hawawezi kuondoa misingi mikuu ya kitaifa na maadili ya kijamii. Aidha, amesema madai ya kuwapo kwa rasimu vya vyama na makundi mbalimbali ni upotoshaji, ila si vyema kuzipiga mateke, bali wajumbe wazisome.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wabunge zingatieni mamlaka, mipaka Bunge Maalumu la Katiba

MCHAKATO wa kupata Katiba ya Tanzania ulianza kwa kutungwa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba. Baadaye kupitia sheria hiyo, tume ya kukusanya maoni ya wananchi ikaundwa kwa ajili ya kukusanya maoni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yaeleza lengo la kuanzisha mamlaka ya mji mdogo

SERIKALI imesema lengo la kuanzishwa mamlaka ya mji mdogo ni kuingiza dhana ya mipango miji, ili kuzuia ujenzi holela. Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa...

 

10 years ago

Michuzi

Bunge laridhishwa na utendaji wa serikali, lapitisha taarifa za za Kamati ya Bajeti, Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), Hesabu za Serikali (PAC), Miundombinu na Nishati na Madini.

 Na Hussein Makame, MAELEZO, DodomaKAMATI za Bunge za Serikali za Mitaa (LAAC) na ile ya Hesabu za Serikali (PAC), zimeridhishwa na mafanikio na hatua zilizochukuliwa na Serikali kwa kuongeza mapato yake na kushughulikia changamoto zinazoikabili katika kutekelza majukumu yake.

Kufuatia hali hiyo, Bunge limepitisha taarifa za kamati hizo na nyingine tatu, huku Serikali ikiahidi kufanyia kazi yale yote yaliyopendekezwa kwenye taarifa hizo ili kulipeleka Taifa kule kunakotakiwa.

Taarifa za Kamati...

 

11 years ago

Dewji Blog

Kikwete: Serikali haina mamlaka ya amri kuzungumzia uraia pacha

IMG_9796

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mkrisho Kikwete akiingia ukumbini wakati wa kongamano la Watanzania waishio Ughaibuni lililofanyika kwa mara ya kwanza nchini leo Jijini Dar es Salaam. Nyuma yake ni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mizendo Pinda( mwenye koti la Bluu).

Na Joseph Ishengoma, MAELEZO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete amesema hana mamlaka ya amri kuzungumzia uraia pacha kwasababu ni la katiba.

Rais Kikwete amesema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani