Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Walalamikia Mamlaka ya Katibu wa Bunge kutimua waandishi

BAADHI ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wamelalamika Katibu wa Bunge kupewa mamlaka makubwa ya kuweza kumruhusu na kumfukuza mwandishi wa habari kuripoti habari za bunge hilo, wakisema anaweza kuyatumika kukandamiza vyombo vya habari.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

JK: Bado nina mamlaka kutimua Ma-RC, Ma-DC

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete amesema bado anayo mamlaka ya kuwafuta kazi wateule wake wakiwemo wakuu wa mikoa na wilaya ambao watashindwa kusimamia ukamilishaji wa ujenzi wa maabara katika shule za sekondari za kata ifikapo Novemba mwaka huu.

 

10 years ago

Michuzi

TAMASHA LA MICHEZO LA WAANDISHI WA HABARI ARUSHA KUTIMUA VUMBI AGOSTI 29

..Meneja masoko na mauzo wa Kampuni ya Mega Trade  Edmundi Rutaraka, akimkabidhi hundi ya Ts 1.5 Milioni Katibu wa chama cha waandishi wa habari za michezo na burudani mkoa wa Arusha,Mussa Juma kwa ajili ya tamasha la  10 waandishi wa habari mkoa wa Arusha, Manyara na Dar es salam na wadau wa habari ambalo litafanyika Agoust 29 uwanja wa sheikh Amri Abeid, hafla hiyo ilifanyika jana, Palace Hoteli Jijini.
 
habari na libeneke la kaskazini blog
Tamasha la 10 la vyombo vya habari  na wadau wa...

 

11 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AWAAPISHA KATIBU NA NAIBU KATIBU WA BUNGE MAALUM LA KATIBA LEO MJINI DODOMA

Katibu wa Bunge Maalum la Katiba Bw, Yahya Khamis Hamad akiapa mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete Leo Mjini Dodoma. Katibu wa Bunge Maalum la Katiba Bw. Yahya Khamis Hamad akisaini Kiapo mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete Leo Mjini Dodoma.…

 

11 years ago

Michuzi

Rais Kikwete awaapisha Katibu na Naibu Katibu wa Bunge maalum la Katiba mjini Dodoma leo

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete leo amewaapisha Katibu na naibu katibu wa Bunge Maalum la katiba katika hafla fupi iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu ndogo mjini Dodoma leo.  Rais ni Katibu Bwana Yahya Khamis Hamad akila kiapo kuwa Katibu wa Bunge Maalum la Katiba. Wa pili kushoto akishuhudia kiapo ni Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue na watatu kushoto ni karani wa Baraza la Mawaziri Bwana Gerson Mdemu
 Dkt. Thomas Kashililah akila kiapo kuwa Naibu Katibu wa Bunge Maalum la...

 

11 years ago

GPL

KATIBU WA BAHAKITA AZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI

Katibu Mkuu wa BAHAKITA, Said Mwaipopo akisoma taarifa ya tamko kwa wanahabari. Akionyesha karatasi iliyochorwa ramani ya majengo ya mwekezaji wa kampuni ya MNG PROPERTIES endapo utakamilika.…

 

10 years ago

Tanzania Daima

Serikali inapopuuza mamlaka ya Bunge

IBARA ya 63(2) ya Katiba inayotumika sasa yasema: “Bunge litakuwa ndicho chombo kikuu cha Jamhuri ya Muungano ambacho kitakuwa na madaraka, kwa niaba ya wananchi, kuisimamia na kuishauri serikali ya...

 

11 years ago

Michuzi

KATIBU WA BARAZA LA WAWAKILISHI AKUTANA NA WAANDISHI WA HABARI ZANZIBAR

Katibu wa Baraza la Wawakilishi Yahya Khamis Hamad akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu shughuli za Mkutano wa 16 wa Baraza la Nane la Wawakilishi utakaoanza tarehe 14 Mei 2014 katika Ukumbi wa Baraza hilo Mbweni nje ya mji wa Zanzibar. Mwandishi wa Habari wa gaazeti la Daly News Issa Yussuf akiuliza maswali katika mkutano na Katibu wa Baraza la Wawakilishi Yahya Khamis Hamad alipokutana na waandishi wa Habari kuzungumzia shughuli za Mkutano wa 16 wa Baraza la Nane la Wawakilishi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani