Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali kupima watumishi, madereva, wanafunzi

 

Serikali inatarajia kuanza kupima watumishi wa umma, madereva na wanafunzi kama wanatumia dawa za kulevya ili kukabiliana na changamoto zinazosababishwa na utumiaji wa dawa hizo katika jamii.

Dawa za kulevya zinadaiwa kuchangia kudumaza nguvu kazi ya Taifa kutokana na vijana kujiingiza katika utumiaji wa dawa hizo na hivyo kusababisha kukosekana kwa raslimali watu na uchumi kusuasua.

 

Kuongezeka kwa matumizi ya dawa za kulevya leo ni ishara hatari ya kwamba jamii yetu ina kasoro, licha ya...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Zoezi la kupima ulevi kwa madereva wa mabasi, latua Singida mjini

DSC03142

Mrakibu msaidizi wa polisi (ACP) mkuu wa  kitengo cha elimu kwa umma makao makuu ya usalama barabarani jijini Dar-es-salaam, Abel Swai, akiwahamasisha abiria wa basi la kampuni ya France line lililokuwa likitokea Dodoma kwenda Arusha mjini  kutoa taarifa kwa jeshi la polisi endapo watagundua dereva mlevi,kucheleweshwa au gari ni mbovu,ili hatua za haraka ziweze kuchukuliwa.

Na Nathaniel Limu, Singida

MRAKIBU msaidizi wa polisi makao makuu kitengo cha elimu kwa umma usalama barabarani...

 

10 years ago

Dewji Blog

Taasisi ya Watumishi Housing kutumia bilioni 400 kujenga nyumba za watumishi wa serikali

4.

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Watumishi Housing Company, Dkt. Fred Msemwa akitoa mada kuhusu mkopo wa ujenzi wa nyumba bora za kisasa kwa watumishi wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wakati wa warsha ya siku moja iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Idara ya Habari Jijini Dar es Salaam leo Alhamisi Agosti 14, 2014.

Na Ismail Ngayonga, MAELEZO-Dar es Salaam.

TAASISI ya Watumishi Housing Company imetenga kiasi cha Tsh. Bilioni 400 kwa ajili ya ujenzi za watumishi wa...

 

10 years ago

Michuzi

Zoezi la kupima ulevi na kutokutumia simu kwa madereva wa mabasi,latua Singida

Mrakibu msaidizi wa Jeshi la polisi (ACP) mkuu wa kitengo cha elimu kwa umma makao makuu ya usalama barabarani jijini Dar-es-salaam,Abel Swai,akiwahamasisha abiria wa basi la kampuni ya France line lililokuwa likitokea Dodoma kwenda Arusha kutoa taarifa kwa jeshi la polisi endapo watagundua dereva mlevi au akiendesha gari vibaya,ili hatua za haraka ziweze kuchukuliwa ikiwa ni mwendelezo wa kampeni ya"Wait to send"inayohamasisha madereva kutokutumia simu zao wakiwa wanatumia vyombo vya...

 

10 years ago

GPL

ZOEZI LA KUPIMA ULEVI NA KUTOKUTUMIA SIMU KWA MADEREVA WA MABASI, LATUA SINGIDA‏

Mrakibu msaidizi wa Jeshi la polisi (ACP) mkuu wa  kitengo cha elimu kwa umma makao makuu ya usalama barabarani jijini Dar-es-salaam,Abel Swai,akiwahamasisha abiria wa basi la kampuni ya France line lililokuwa likitokea Dodoma kwenda Arusha  kutoa taarifa kwa jeshi la polisi endapo watagundua dereva mlevi au akiendesha gari vibaya,ili hatua za haraka ziweze kuchukuliwa ikiwa ni mwendelezo wa kampeni ya"Wait to...

 

10 years ago

GPL

ZOEZI LA KUPIMA ULEVI NA KUTOKUTUMIA SIMU KWA MADEREVA WA MABASI,LATUA SINGIDA‏

Mrakibu msaidizi wa Jeshi la polisi (ACP) mkuu wa  kitengo cha elimu kwa umma makao makuu ya usalama barabarani jijini Dar-es-salaam,Abel Swai,akiwahamasisha abiria wa basi la kampuni ya France line lililokuwa likitokea Dodoma kwenda Arusha  kutoa taarifa kwa jeshi la polisi endapo watagundua dereva mlevi au akiendesha gari vibaya,ili hatua za haraka ziweze kuchukuliwa ikiwa ni mwendelezo wa kampeni ya"Wait to...

 

9 years ago

Michuzi

SERIKALI KULIPA MADENI YA WATUMISHI WA SERIKALI ZA MITAA.


Kaimu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais-Utumishi Bw. HAB Mkwizu (wa pili kutoka kulia) akizungumza na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu namna Serikali  inavyoshughulikia madai ya watumishi walio katika Serikali za Mitaa wasio walimu. Na Magreth   Kinabo-maelezoSERIKALI  imetenga  kiasi cha fedha cha  Sh. bilioni tano ( 5.93) ikiwa ni madeni ya mishahara ya  Watumishi wa Mamlaka za Serikali za  Mitaa(TALGWU) na  Sh. bilioni nne(4) kwa ajili ya kulipa madeni  ya yasiyohusu mishahara,...

 

10 years ago

Mwananchi

Vita ya Serikali, madereva mbichi

>Vita ya Serikali na madereva inaonekana bado haijapata suluhisho baada ya tamko lililotolewa jana kupingwa vikali na waendeshaji hao wa mabasi ya abiria wakidai limejaa siasa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani