Vita ya Serikali, madereva mbichi
>Vita ya Serikali na madereva inaonekana bado haijapata suluhisho baada ya tamko lililotolewa jana kupingwa vikali na waendeshaji hao wa mabasi ya abiria wakidai limejaa siasa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima04 Oct
Vita ya ubakaji ingali mbichi
UKATILI wa kijinsia ni msemo mpana sana. Unagusa binadamu wote wanawake na wanaume. Lakini lililo la kweli ukatili wa kijinsia unawaathiri zaidi wanawake, wasichana na watoto kuliko ilivyo kwa wanaume...
10 years ago
Michuzisupu ya pweza, karanga mbichi, muhogo mbichi, mbata, korosho havisaidii urijari - Daktari
lekcha wahariri mbalimbali mjini Morogoro
ULAJI wa supu ya pweza, karanga mbichi, muhogo mbichi, mbata kwa dai kwamba vinaongeza urijali kwa wanaume kumeelezwa kuwa ni dhana potofu inayostahili kupigwa vita kwa kuwa haina uhusiano kati ya urijali wa mwanaume na virutubisho vinavyotolewa na vyakula hivyo.
Kauli hiyo imetolewa na Dk Cuthbert Maendaenda wakati akitoa mada yake katika semina ya wahariri iliyofanyika mkoani Morogoro iliyojadili nafasi ya wanaume...
10 years ago
Tanzania Daima30 Sep
Mbichi, mbivu za Serikali mbili leo
BUNGE Maalum la Katiba linatarajia kuanza upigaji kura wa kuamua ibara na sura za rasimu ya Katiba inayopendekezwa kuanzia leo hadi Oktoba 2 mwaka huu, huku masuala mawili ya udini...
10 years ago
Habarileo19 Apr
Serikali yarejesha shule kwa madereva
SERIKALI imerejesha mafunzo ya madereva kila baada ya miaka mitatu wakati wa kumalizika kwa muda wa leseni zao, huku ikifafanua kuwa elimu watakayoipata ina umuhimu katika kazi zao, kutokana na mabadiliko mbalimbali yanayotokea katika sekta hiyo.
9 years ago
StarTV21 Sep
Serikali kupima watumishi, madereva, wanafunzi
Serikali inatarajia kuanza kupima watumishi wa umma, madereva na wanafunzi kama wanatumia dawa za kulevya ili kukabiliana na changamoto zinazosababishwa na utumiaji wa dawa hizo katika jamii.
Dawa za kulevya zinadaiwa kuchangia kudumaza nguvu kazi ya Taifa kutokana na vijana kujiingiza katika utumiaji wa dawa hizo na hivyo kusababisha kukosekana kwa raslimali watu na uchumi kusuasua.
Kuongezeka kwa matumizi ya dawa za kulevya leo ni ishara hatari ya kwamba jamii yetu ina kasoro, licha ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/8iJelNL6WnA/default.jpg)
9 years ago
MichuziSERIKALI YAWATAKA MADEREVA WA BRT KUZINGATIA MAFUNZO
10 years ago
Dewji Blog18 Feb
Serikali yawapiga msasa madereva wanaosafirisha kemikali
Mkemia Mkuu wa Serikali Prof. Samweli Manyele akifungua mafunzo ya siku mbili kwa mdereva wa magari yanayosafirisha kemikali ndani na nje ya nchi, mafunzo yanayolenga kuwajengea uwezo wa usafirishaji salama wa kemikali za viwandani na Majumbani. Katikati ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya Biashara Bw. George Kasinga toka ofisi hiyo na wa mwisho kulia ni Meneja wa Kanda ya Mashariki Bw. Daniel Ndiyo.
Frank Mvungi-Maelezo
Serikali inaendelea kuimarisha mifumo yausafirishaji wa Kemikali ndani na...
5 years ago
Global Publishers21 Feb
Video: Serikali Yatoa Tamko Madereva Kutekwa DRC
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mindi Kasiga akizungumza na wanahabari (hawapo pichani).
Wanahabari wakifuatilia tamko hilo.