Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vita ya Serikali, madereva mbichi

>Vita ya Serikali na madereva inaonekana bado haijapata suluhisho baada ya tamko lililotolewa jana kupingwa vikali na waendeshaji hao wa mabasi ya abiria wakidai limejaa siasa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Vita ya ubakaji ingali mbichi

UKATILI wa kijinsia ni msemo mpana sana. Unagusa binadamu wote wanawake na wanaume. Lakini lililo la kweli ukatili wa kijinsia unawaathiri zaidi wanawake, wasichana na watoto kuliko ilivyo kwa wanaume...

 

10 years ago

Michuzi

supu ya pweza, karanga mbichi, muhogo mbichi, mbata, korosho havisaidii urijari - Daktari

Dk Cuthbert Maendaenda akiwatwanga
lekcha wahariri mbalimbali mjini Morogoro
ULAJI wa supu ya pweza, karanga mbichi, muhogo mbichi, mbata kwa dai kwamba vinaongeza urijali kwa wanaume kumeelezwa kuwa ni dhana potofu inayostahili kupigwa vita kwa kuwa haina uhusiano kati ya urijali wa mwanaume na virutubisho vinavyotolewa na vyakula hivyo.

Kauli hiyo imetolewa na Dk Cuthbert Maendaenda wakati akitoa mada yake katika semina ya wahariri iliyofanyika mkoani Morogoro iliyojadili nafasi ya wanaume...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mbichi, mbivu za Serikali mbili leo

BUNGE Maalum la Katiba linatarajia kuanza upigaji kura wa kuamua ibara na sura za rasimu ya Katiba inayopendekezwa kuanzia leo hadi Oktoba 2 mwaka huu, huku masuala mawili ya udini...

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yarejesha shule kwa madereva

Waziri wa Kazi na Ajira Gaudensia Kabaka akizungumza na madereva katika kituo cha mabasi ya kwenda mkoani cha Ubungo (UBT) wakati wa mgomo wa madereva wa mabasi.SERIKALI imerejesha mafunzo ya madereva kila baada ya miaka mitatu wakati wa kumalizika kwa muda wa leseni zao, huku ikifafanua kuwa elimu watakayoipata ina umuhimu katika kazi zao, kutokana na mabadiliko mbalimbali yanayotokea katika sekta hiyo.

 

9 years ago

StarTV

Serikali kupima watumishi, madereva, wanafunzi

 

Serikali inatarajia kuanza kupima watumishi wa umma, madereva na wanafunzi kama wanatumia dawa za kulevya ili kukabiliana na changamoto zinazosababishwa na utumiaji wa dawa hizo katika jamii.

Dawa za kulevya zinadaiwa kuchangia kudumaza nguvu kazi ya Taifa kutokana na vijana kujiingiza katika utumiaji wa dawa hizo na hivyo kusababisha kukosekana kwa raslimali watu na uchumi kusuasua.

 

Kuongezeka kwa matumizi ya dawa za kulevya leo ni ishara hatari ya kwamba jamii yetu ina kasoro, licha ya...

 

10 years ago

Vijimambo

9 years ago

Michuzi

SERIKALI YAWATAKA MADEREVA WA BRT KUZINGATIA MAFUNZO

 Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Said Meck Sadiki akizungumza katika uzinduzi wa semina ya mafunzo ya madereva wa mabasi yaendayo haraka (BRT) leo jijini Dar es salaam,  juu ya kuanza kwa kipindi cha mpito cha mradi huo Oktoba mwaka huu, Semina itakayofanyika Agosti 23 mwaka huu jijini Dar es salaam. Waziri Mkuu, tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na mgeni rasmi  Hawa Ghasia akizungumza katika uzinduzi wa mafunzo ya madereva wa mradi wa mabasi yaendayo haraka (BRT) waliokaa mbele, kushoto...

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali yawapiga msasa madereva wanaosafirisha kemikali

1

Mkemia Mkuu wa Serikali Prof. Samweli Manyele akifungua mafunzo ya siku mbili kwa mdereva wa magari yanayosafirisha kemikali ndani na nje ya nchi, mafunzo yanayolenga kuwajengea uwezo wa usafirishaji salama wa kemikali za viwandani na Majumbani. Katikati ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya Biashara  Bw. George Kasinga  toka ofisi hiyo na wa mwisho kulia ni Meneja wa Kanda ya Mashariki Bw. Daniel Ndiyo.

Frank Mvungi-Maelezo

Serikali inaendelea kuimarisha mifumo yausafirishaji wa Kemikali ndani na...

 

5 years ago

Global Publishers

Video: Serikali Yatoa Tamko Madereva Kutekwa DRC

w1

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mindi Kasiga akizungumza na wanahabari (hawapo pichani).

w2

Wanahabari wakifuatilia tamko hilo.
1 2

 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani