Madereva waula, Serikali yamalizana nao
![](http://img.youtube.com/vi/8iJelNL6WnA/default.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Aug
Serikali yamalizana na wapagazi
10 years ago
Dewji Blog23 Sep
Ugonjwa wa Ebola na jitihada za Serikali katika kupambana nao
Rais Jakaya Mrisho Kikwete (kulia) akisalimiana na Wauguzi waliovalia mavazi maalumu tayari kutoa huduma kwa abiria atayekutwa na ugonjwa wa Ebola mara atapowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam.
Na Benedict Liwenga, Maelezo-DSM
Ebola ni ugonjwa unaosababishwa na virusi vya homa ya hemoraji ikimaanisha ugonjwa wa kumwagika damu bila kuganda (Viral Haemorrhagic Fevers).
Kwa mujibu wa taarifa mbalimbali, ugonjwa huu ni hatari na unasababishwa na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/F6kBJElJzOZ3nYyBa9Sf7dJC*-f*d2ZmDtl5BMb1qtKCt6vysVfSFXBZe-G0ypW2Q-6*PeW3TGyKp-jcnRYgcgpNFQKsaWGF/tw.gif?width=650)
Yanga yamalizana na mrithi wa Twite
10 years ago
Mwananchi19 Apr
Vita ya Serikali, madereva mbichi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EWMw8iXl*iVn57JuI46d47ZC53qi7by8gLk7ujCRCip0ViGS9xTO4iAlctWYzqbRoTYp3z57lJjRfLOLAKzvSnMc*OMypIed/jjjj.jpg)
Azam yamalizana na Stewart, atua na mpishi wake
9 years ago
StarTV21 Sep
Serikali kupima watumishi, madereva, wanafunzi
Serikali inatarajia kuanza kupima watumishi wa umma, madereva na wanafunzi kama wanatumia dawa za kulevya ili kukabiliana na changamoto zinazosababishwa na utumiaji wa dawa hizo katika jamii.
Dawa za kulevya zinadaiwa kuchangia kudumaza nguvu kazi ya Taifa kutokana na vijana kujiingiza katika utumiaji wa dawa hizo na hivyo kusababisha kukosekana kwa raslimali watu na uchumi kusuasua.
Kuongezeka kwa matumizi ya dawa za kulevya leo ni ishara hatari ya kwamba jamii yetu ina kasoro, licha ya...
10 years ago
Habarileo19 Apr
Serikali yarejesha shule kwa madereva
SERIKALI imerejesha mafunzo ya madereva kila baada ya miaka mitatu wakati wa kumalizika kwa muda wa leseni zao, huku ikifafanua kuwa elimu watakayoipata ina umuhimu katika kazi zao, kutokana na mabadiliko mbalimbali yanayotokea katika sekta hiyo.
9 years ago
MichuziSERIKALI YAWATAKA MADEREVA WA BRT KUZINGATIA MAFUNZO
10 years ago
Dewji Blog18 Feb
Serikali yawapiga msasa madereva wanaosafirisha kemikali
Mkemia Mkuu wa Serikali Prof. Samweli Manyele akifungua mafunzo ya siku mbili kwa mdereva wa magari yanayosafirisha kemikali ndani na nje ya nchi, mafunzo yanayolenga kuwajengea uwezo wa usafirishaji salama wa kemikali za viwandani na Majumbani. Katikati ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya Biashara Bw. George Kasinga toka ofisi hiyo na wa mwisho kulia ni Meneja wa Kanda ya Mashariki Bw. Daniel Ndiyo.
Frank Mvungi-Maelezo
Serikali inaendelea kuimarisha mifumo yausafirishaji wa Kemikali ndani na...