Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vita ya ubakaji ingali mbichi

UKATILI wa kijinsia ni msemo mpana sana. Unagusa binadamu wote wanawake na wanaume. Lakini lililo la kweli ukatili wa kijinsia unawaathiri zaidi wanawake, wasichana na watoto kuliko ilivyo kwa wanaume...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Vita ya Serikali, madereva mbichi

>Vita ya Serikali na madereva inaonekana bado haijapata suluhisho baada ya tamko lililotolewa jana kupingwa vikali na waendeshaji hao wa mabasi ya abiria wakidai limejaa siasa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ubakaji 'Silaha ya vita'

Viongozi wanakutana kuchukua hatua madhubuti dhidi ya visa ubakaji na unyanyasaji wa kimapenzi unaotumika kama silaha wakati vita

 

10 years ago

Michuzi

supu ya pweza, karanga mbichi, muhogo mbichi, mbata, korosho havisaidii urijari - Daktari

Dk Cuthbert Maendaenda akiwatwanga
lekcha wahariri mbalimbali mjini Morogoro
ULAJI wa supu ya pweza, karanga mbichi, muhogo mbichi, mbata kwa dai kwamba vinaongeza urijali kwa wanaume kumeelezwa kuwa ni dhana potofu inayostahili kupigwa vita kwa kuwa haina uhusiano kati ya urijali wa mwanaume na virutubisho vinavyotolewa na vyakula hivyo.

Kauli hiyo imetolewa na Dk Cuthbert Maendaenda wakati akitoa mada yake katika semina ya wahariri iliyofanyika mkoani Morogoro iliyojadili nafasi ya wanaume...

 

11 years ago

BBCSwahili

Vita dhidi ya ubakaji vitani

Ubakaji kama silaha ya vita, sasa inalengwa kwa wanawake na ni mojawapo ya uhalifu mkubwa uliotendwa katika karne ya ishirini na ya ishirini na moja.

 

10 years ago

Habarileo

‘Vyama vya ushirika vipige vita ubakaji’

VYAMA vya ushirika nchini vimeombwa kushirikiana na Serikali katika mapambano yake dhidi ya matendo maovu yakiwemo ubakaji, utumiaji wa dawa za kulevya na maambukizi ya Ukimwi.

 

11 years ago

Mwananchi

Mbivu, mbichi za Loga

Hatima ya kocha wa Simba, Zdravko Logarusic itajulikana leo wakati moja wa vigogo wa klabu hiyo atakapotua nchini.

 

11 years ago

Mwananchi

Umuhimu wa kula mboga mbichi

Katika maisha ya binadamu karibu kila jambo zuri linatakiwa kufanywa kwa tahadhari au kuchunga miko yake. Bila ya kufanya hivyo, faida ya jambo hilo haitapatikana na badala yake maafa yatachukua nafasi.

 

10 years ago

Habarileo

Mbivu, mbichi CDA Septemba 7

Sehemu ya ofisi za CDA mjini Dodoma.RAIS Jakaya Kikwete amewataka Watanzania kuwa na subira wakati suala la mgogoro kati ya Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu (CDA) na wananchi linashughulikiwa.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Mbivu, mbichi za bajeti leo



Vyanzo vipya vya mapato, misamaha gumzo Serikali yasikiliza mapendekezo ya wabunge Kuongeza bil. 200/-, wizara kubanwa zaidi Wananchi: Bei ya mafuta, saruji zidhibitiwe
NA SELINA WILSON, DODOMA
MACHO na masikio ya Watanzania leo yataelekezwa mjini Dodoma, wakati Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum, atakaposoma Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2014/2015.
Tayari bajeti hiyo ambayo imekuwa ikisubiriwa kwa hamu kubwa ili kutoa mwelekeo wa taifa, imeibua msuguano mkali baina ya serikali na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani