Serikali kushughulikia vifaa vya wenye ulemavu
SERIKALI imesema itahakikisha viwanda vinavyosimamiwa na Shirika la Viwanda Vidogo Vidogo (Sido), vinatengeneza vifaa vitakavyowawezesha watu wenye ulemavu kumudu kununua.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Mahitaji vifaa vya kufundishia wenye ulemavu yanatakiwa
MATATIZO yanayoikabili jamii watu wenye ulemavu katika elimu bado ufumbuzi wake haujaonekana. Utaratibu mbaya usiojali upatikanaji wa vifaa vya kujifunzia katika shule, unadaiwa kuwa ndiyo chanzo kinachokwamisha elimu kwa wenye...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6NUTDXOWsS4/XnOUOMoTFmI/AAAAAAALkek/vDBppIQbJTMQaXyyu2qXENuiYmi5aVcqwCLcBGAsYHQ/s72-c/99b625c4-e539-4c8c-a622-78ad9c5d861f.jpg)
SHIRIKISHO LA VYAMA VYA WATU WENYE ULEMAVU TANZANIA WAIOMBA SERIKALI KUSAIDIA WATU WENYE UZIWI KUPATA TAARIFA SAHIHI KUHUSU CORONA
Na Said Mwishehe,Michuzi Globu ya jamii
UONGOZI wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA )lumesema kwamba uwepo wa tishio la virusi vya Corona (COVID-19) nchini umesababisha hofu kubwa kwa watu wenye uziwi kwani imekuwa ngumu kwao kupata maelekezo na miongozo ya Serikali pamoja na Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jisinsia, Wazee na Watoto.
Umesema kuwa matangazo mengi ambayo yametolewa na Wizara ya Afya yanashindwa kuwafikia watu wenye uziwi kwani hakuna watalaam wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lW3sx7lzaak/XruQ2DdMw8I/AAAAAAALp_k/5UTSQb5ZKOklc1W9A2Ri0_1Y3nAIY15cgCLcBGAsYHQ/s72-c/Pc-4-768x677.jpg)
IKUPA ATOA MSAADA WA VIFAA KWA AJILI YA KUKABILIANA NA UGONJWA WA CORONA KWA SHIRIKISHO LA VYAMA VYA WATU WENYE ULEMAVU (SHIVYAWATA)
![](https://1.bp.blogspot.com/-lW3sx7lzaak/XruQ2DdMw8I/AAAAAAALp_k/5UTSQb5ZKOklc1W9A2Ri0_1Y3nAIY15cgCLcBGAsYHQ/s640/Pc-4-768x677.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/Pc-5.jpg)
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Watu Wenye Ulemavu Mhe. Stella Ikupa (katikati) akimwangalia Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu (SHIVYAWATA)...
10 years ago
MichuziSERIKALI YAZINDUA KAMATI YA KUSHUGHULIKIA CHANGAMOTO ZA USALAMA ZA WATU WENYE UALBINO
10 years ago
VijimamboSERIKALI YAZINDUA KAMATI YA KUSHUGHULIKIA CHANGAMOTO ZA USALAMA ZA WATU WENYE UALBINO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VE0IQ-XLvdA/Xm28yDNgAOI/AAAAAAALjr0/YBMXt475_UETE10WBkfQQKd0nmFUsO-3QCLcBGAsYHQ/s72-c/34905567-fbab-41c0-82a3-fbe9250fb020.jpg)
MBUNGE MAVUNDE ASAIDIA UPATIKANAJI WA VIFAA TIBA 100 KWA WATU WENYE ULEMAVU JIJINI DODOMA
KATIKA kuhakikisha anatekeleza azma ya Rais Magufuli ya kuwahudumia wananchi wanyonge, Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini, Anthony Mavunde amezindua rasmi kambi ya upimaji wa tiba saidizi vya miguu ya bandia kwa watu wenye ulemavu.
Uzinduzi huo umefanyika katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma na huduma hiyo itakua ikitolewa kwa wananchi wote kutoka sehemu mbalimbali za Mkoa wa Dodoma na maeneo jirani.
Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Mhe Mavunde amesema vifaa...
10 years ago
Dewji Blog26 Aug
THBUB yalaani mauaji na vitendo vya ukatili wa viungo vya watu wenye ulemavu wa ngozi!
Mtoto Mlemavu wa Ngozi (Albino) Adam Robert (13) wakati akiwa amelazwa hospitalini baada ya kujeruhiwa na kwa kukatwa mkono na kisha kunyofolewa Vidole sita vya mikono yote miwili,picha hii ilipigwa siku moja tu baada ya kufikishwa katika hospitali ya wilaya ya Geita. (Maktaba;Picha hii ilipigwa Oktoba 14 mwaka 2011).
Press Release_Albino Kukatwa Viungo by moblog
9 years ago
Habarileo15 Dec
Serikali yapongezwa kujali wenye ulemavu
SHIRIKISHO la Vyama vya Watu Wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA), limempongeza Rais John Magufuli kwa kutimiza ahadi yake ya kuyajali na kuyapa kipaumbele masuala ya Watanzania wenye ulemavu kwa kuhamishia masuala yao chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa utekelezaji wenye tija.
10 years ago
Tanzania Daima01 Nov
Wenye ulemavu wakubalina kuvibana vyama vya siasa
WATU wenye Ulemavu wamesema Katiba iliyopendekezwa imewanyima fursa ya uongozi kwa kuwapa asilimia tano pekee katika Bunge. Wakizungumza katika Tamasha la tatu, lililoandaliwa na Foundation for Civil Society, juzi jijini...