Serikali kutatua mchangamoto za barabara kuwezesha miradi ya NSSF kufanikiwa
![](http://1.bp.blogspot.com/-etD24QMeUP8/U_CbMKksQ2I/AAAAAAACnhM/4sX_sXimlDg/s72-c/1.jpg)
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akisisitiza jambo baada ya kupata maelezo juu ya maendeleo ya Mradi wa Daraja la Kigamboni kabla ya kufanya ziara ya siku moja ya kutembelea Miradi iliyofadhiliwa na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Dk. Ramadani Dau (kushoto) akitoa maelezo juu ya miradi ujenzi wa kijiji cha kisasa kiitwayo 'Dege Eco Village modern city Housing scheme' yenye thamani ya matrilioni. Waziri...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo18 Aug
Serikali itaondoa matatizo miradi ya NSSF - Pinda
SERIKALI i imesema itajipanga kuona namna ya kukabili changamoto zinazokwamisha miradi mikubwa, inayoendeshwa na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa lengo la kubadilisha sura ya Jiji la Dar es Salaam.
11 years ago
Habarileo21 Mar
NSSF kuwezesha mitaji kupitia ushirika
MFUKO wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii ( NSSF) unatarajia kuanza kutoa mikopo kwa wakulima, wachimbaji wadogo wa madini, wavuvi na wafugaji kupitia vyama vyao vya ushirika wa akiba.
11 years ago
Mwananchi04 May
Mipango, mikakati na miradi midogo ina uwezo kufanikiwa
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s72-c/unnamed+(41).jpg)
DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s1600/unnamed+(41).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8fuh6Rix_QE/U-j4eA1NJhI/AAAAAAAF-kA/noaS8n4dTZc/s1600/unnamed+(42).jpg)
10 years ago
Dewji Blog08 Oct
Rais Kikwete asifu juhudi za NSSF kuwezesha mradi wa daraja la Kigamboni na ujenzi wa nyumza za gharama nafuu
Rais Jakaya Kikwete akisisitiza jambo wakati wa ziara yake ya kutembelea mradi wa daraja la Kigamboni inayofadhiliwa na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), pamoja na kuweka jiwe la msingi katika mradi wa nyumba za gharama nafuu zilizopo Kijichi Dar es Salaam.
Na Mwandishi Wetu
Rais Jakaya Kikwete ametembelea daraja la Kigamboni, Dar es Salaam, jana, ambapo ameagiza changamoto zilizoanishwa zitatuliwe haraka kabla mradi haujamalizika.
Akizungumza wakati wa kupokea taarifa ya ujenzi...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8x1OMDS3mKc/VDT-qB-pZOI/AAAAAAACsbI/mUZEE4EdF-8/s72-c/2.jpg)
Raisi Kikwete asifu juhudi za NSSF kuwezesha mradi wa daraja la kigamboni na ujenzi wa nyumza za gharama nafuu
![](http://1.bp.blogspot.com/-8x1OMDS3mKc/VDT-qB-pZOI/AAAAAAACsbI/mUZEE4EdF-8/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-m1UEfSOm7_c/VDT-rfmd2kI/AAAAAAACsbM/W5x233zdww8/s1600/4.jpg)
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) Dk. Ramadhan Dau (wa...
10 years ago
Michuzi07 Mar
Spika Makinda, Wenyeviti wa Bunge Watembelea Miradi ya NSSF Dar
![Meneja Mradi wa NSSF, Mhandisi John Msemwa (mwenye kipaza sauti) akielezea maendeleo ya mradi wa ujenzi wa nyumba za kisasa zinazojengwa na shirika hilo Kigamboni jijini Dar es Salaam kwa Spika wa Bunge la Tanzania, Anne Makinda pamoja na wajumbe wa kamati ya uongozi ya Bunge walipo tembelea mradi wa daraja la kisasa linalojengwa na NSSF kwa ubia na Serikali kuunganisha Jiji la Dar es Salaam na mji wa Kigamboni.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_0237.jpg)
![Spika wa Bunge la Tanzania, Anne Makinda pamoja na wajumbe wa kamati ya uongozi ya Bunge wakitembelea mradi wa daraja la kisasa linalojengwa na NSSF kwa ubia na Serikali kuunganisha Jiji la Dar es Salaam na mji wa Kigamboni.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_0181.jpg)
10 years ago
MichuziNSSF YAWATEMBEZA WAHARIRI KUONA MIRADI MIKUBWA DAR ES SALAAM
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
Miradi ya barabara Tabora kugharimu bil. 13/-
MKOA wa Tabora unatarajia kutumia zaidi ya sh bilioni 13 katika kutekeleza miradi ya barabara kwa mwaka wa fedha wa 2013/2014. Akisoma taarifa yake kwenye kikao cha Bodi ya Barabara,...