Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali ndiyo inayoiua TANESCO

SHIRIKA la Umeme nchini (TANESCO) halina sababu ya kutafuta mchawi wa chanzo cha hali mbaya ya kifedha ya shirika hilo. Hii inatokana na taarifa ya shirika hilo jana ambapo imeonyesha...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yaifilisi TANESCO

WAKATI Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) likijiendesha kwa kusuasua kutokana na ukata na wakati wananchi wakilia kwa kuongezewa gharama za umeme, imebainika kuwa Shirika la Maji Safi na Maji Taka...

 

10 years ago

Mwananchi

Hii ndiyo ‘serikali’ ya Bodaboda

>Waendesha bodaboda sasa wanaweza kufananishwa na ‘serikali’ inayojitegemea au taasisi ya kipekee kutokana na kuunda umoja  katika ulinzi na usalama, biashara, vizazi na hata katika vifo na magonjwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali inavyolihujumu Tanesco,madeni

Wakati ongezeko la mahitaji ya huduma za umeme likiendelea kukua kwa kasi hapa nchini, Shirika la Ugavi nchini (Tanesco) linalohusika na huduma hiyo ndiyo kwanza linatambaa kwa kutumia magongo ya miti, likihitaji kunusuriwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mnyika: Serikali, TANESCO zinafilisiana

MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amesema kuwa serikali na TANESCO kwa pamoja zinafilisiana, na hali hiyo inasababishwa na udhaifu katika Wizara ya Nishati na Madini. Mnyika alitoa kauli hiyo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Haya ndiyo manufaa ya dhamana za serikali

BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) kwa niaba ya Serikali huuza dhamana za serikali za muda mrefu ikiwa ni njia ya kulipa fedha kutoka kwa taasisi au mwananchi mmoja mmoja. Dhamana...

 

10 years ago

Habarileo

Tanesco kufunga Luku taasisi za serikali

Waziri wa Nishati na Madini, George SimbachaweneWAZIRI wa Nishati na Madini, George Simbachawene amesema kuwa Shirika la Umeme Nchini (Tanesco) lina mpango wa kufunga mita za LUKU katika ofisi za taasisi zote za serikali kama moja ya mikakati yake katika ukusanyaji wa mapato.

 

9 years ago

Mwananchi

Serikali yaikemea Tanesco nguzo za nje

Shirika la Umeme nchini (Tanesco) limetakiwa kuacha kasumba ya kutumia mabilioni ya fedha kununua nguzo za umeme nje ya nchi, badala yake linunue ndani ya nchi kwa kampuni za kizalendo ambazo zinazalisha nguzo imara.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali ndiyo inalea wezi vyama vya ushirika

Kwa mara ya pili ndani ya kipindi cha mwaka mmoja, Rais Jakaya Kikwete juzi alionyesha kuchoshwa na vitendo vya ubadhirifu katika vyama vya ushirika na kuliagiza Jeshi la Polisi kuanza upelelezi wa viongozi wa vyama hivyo na maofisa ushirika wanaosababisha wakulima kunyimwa haki zao.

 

11 years ago

Michuzi

Bunge lapitisha Bajeti ya Serikali kwa kura za ndiyo



 Waziri wa Fedha Mhe.Saada Mkuya akijibu Hoja za Wabunge kabla ya Bunge kukaa na kupiga kura kuamua Bajeti ya serikali  kwa Mwaka 2014-015.   Wabunge wakimsikiliza Waziri wa fedha Mhe Saada wakati akijibu hoja za waheshimiwa Wabunge kabla ya zoezi la kupiga kura kwa ajili ya kupitisha Bajeti ya serikali kwa mwaka 2014-2015.  Spika wa Bunge akiendesha kikao cha Bunge la Bajeti ya Serikali kwa Mwaka 2014-2015 akisaidiwa na Makatibu wa Bunge mbele yake wakati waziri wa Fedha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani