Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Haya ndiyo manufaa ya dhamana za serikali

BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) kwa niaba ya Serikali huuza dhamana za serikali za muda mrefu ikiwa ni njia ya kulipa fedha kutoka kwa taasisi au mwananchi mmoja mmoja. Dhamana...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Haya ndiyo yaliyobamba 2015

Unaweza kuuelezea 2015 kama mwaka wa pilika nyingi kutokana na kuwapo kwa matukio mbalimbali katika nyanja za kijamii, kiuchumi na hata kisiasa. Imeshuhudiwa shughuli kadhaa katika siasa kama vile Uchaguzi Mkuu, lakini kwa upande wa kijamii hususan burudani, yapo mambo mengi yaliyotokea pengine kuweka historia katika tasnia hiyo.

 

10 years ago

Vijimambo

SUGE KNIGHT ITABIDI ASUBIRI MAYWEATHER ASHINDE PAMBANO LAKE NDIYO ASAHIDIWE PESA YA DHAMANA

Lawyer wa Suge Knight Matthew Fletcher alimchekesha Suge Mahakamani baada ya kumwambia kuwa kutokana na masharti ya dhamana kuwa kubwa kuanzaia  Dollar Mill 10 hadi Mill 5 itabidi asubiri tu hadi Mayweather akishinda pambano lake na Manny Pacquiao jumamosi atakuja kumdhamini. Mayweather atavuna Dollar Mill 420 kwenye mtifuano huo unaosubiriwa na wapenzi wa ngumi duniani kote hiyo siku ya jumamos tarehe 2 ndani ya jiji la Las Vegas. Suge Knight anakabiriwa na kesi ya kuua toka mwezi wa kwanza...

 

10 years ago

Vijimambo

MAHABA NITOE ROHO NDIYO HAYA

Kuna kasumba ya kizamani kuwa wanaume ndiyo waliokuwa wanawapiga wake zao lakini inavyoonekana sasa kibao kimegeuka baada ya mwanamke aliyejitambulisha kwa jina la Irene Edwin kudaiwa kumzaba mumewe, Amani Joseph, wote wakazi wa maeneo ya Misungwi mkoani Mwanza kisa kikielezwa kuwa ni wivu wa kimapenzi.Tukio hilo lililoshuhudiwa mchana kweupe lilijiri hivi karibuni maeneo hayo ambapo Irene alimfuma mumewe akiwa baa na mchepuko wakiponda raha.Kwa mujibu wa shuhuda wetu ambaye ni mtu wa karibu...

 

9 years ago

Mwananchi

Haya ndiyo yanayowakwaza wajasiriamali nchini

Pembezoni mwa Barabara ya Mandela, katika Kituo cha Daladala cha Ubungo Darajani, Halima Ismail ameketi nyuma ya sinia la kashata na karanga anazoziuza.

 

10 years ago

GPL

HAYA NDIYO MALENGO YANGU 2015!

Kwanza nawatakieni tena wote heri ya mwaka mpya 2015, hata wale walioanza mwaka kwa ‘kuwekwa kiporo’, waliofukuzwa kazi na bosi, waliogawana ule mkwanja, waliokosa ule mkwanja, wanaolalamika kwa kuwa walikosa ule mkwanja, wanaolalamika kwa kuwa wanaona wananchi waliukosa ule mkwanja, wanaolalamika kuhusu ule mkwanja kusudi wapate mkwanja, wanaolalamika kwa nini watu wanalalamika kuhusu ule mkwanja, wanaolalamika kuwa...

 

9 years ago

Raia Mwema

Haya ndiyo yatakayotokea mwaka huu

KWA miaka kadhaa, makala zangu za wiki ya mwanzo wa mwaka huzungumzia matukio mbalimbali yanayota

Evarist Chahali

 

11 years ago

Mwananchi

Haya ndiyo yanayowakwaza wafanyabiashara Singida

Ni vigumu mno kufanya biashara maeneo ya vijijini. Huo ni mtazamo wa wafanyabiashara wengi wa maeneo hayo. Wanasema vijijini kuna vikwazo vingi.

 

11 years ago

Mwananchi

Haya ndiyo mahitaji muhimu ya biashara

Biashara inayokua ina viashiria mbalimbali vinavyoibainisha na kuitofautisha na biashara nyingine kama vile kuongezeka kwa mtaji wa biashara, kuongezeka kwa faida, kuongezeka kwa wafanyakazi, kuongezeka kwa mauzo, utengenezaji wa bidhaa mpya au utoaji wa huduma wa bidhaa mpya na nafasi yake katika soko.

 

9 years ago

Mwananchi

Haya ndiyo matamanio ya Watanzania kwa Dk Magufuli

Siku moja baada ya Rais Mteule wa Serikali ya Awamu ya Tano, Dk John Magufuli kukabidhiwa cheti chake kuwa ndiye mshindi katika Uchaguzi Mkuu wa 2015, wananchi wakiwamo wa kada mbalimbali wameelezea hisia zao na matanio yao kuona atatekeleza ahadi alizotoa kwenye mikutano yake ya kampeni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani