Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAHABA NITOE ROHO NDIYO HAYA

Kuna kasumba ya kizamani kuwa wanaume ndiyo waliokuwa wanawapiga wake zao lakini inavyoonekana sasa kibao kimegeuka baada ya mwanamke aliyejitambulisha kwa jina la Irene Edwin kudaiwa kumzaba mumewe, Amani Joseph, wote wakazi wa maeneo ya Misungwi mkoani Mwanza kisa kikielezwa kuwa ni wivu wa kimapenzi.Tukio hilo lililoshuhudiwa mchana kweupe lilijiri hivi karibuni maeneo hayo ambapo Irene alimfuma mumewe akiwa baa na mchepuko wakiponda raha.Kwa mujibu wa shuhuda wetu ambaye ni mtu wa karibu...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MAHABA NITOE ROHO YA MAAFANDE HAWA YA SABABISHA KIBARUA KUOTA NYASI

Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani walioachishwa kazi.ASKARI wa Kikosi cha Usalama Barabarani waliopiga picha ya mahaba wakibusiana huku wakiwa wamevaa sare za Jeshi la Polisi na picha yao ikasambaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii wamefukuzwa kazi.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Henry Mwaibambe amethibitisha leo kwa waandishi wa habari mkoani humo kuwa, askari hao na mwenzao aliyewapiga picha wametambuliwa na tayari wamefukuzwa kazi kwa kitendo hicho cha kulidhalilisha Jeshi la...

 

9 years ago

Mwananchi

Haya ndiyo yaliyobamba 2015

Unaweza kuuelezea 2015 kama mwaka wa pilika nyingi kutokana na kuwapo kwa matukio mbalimbali katika nyanja za kijamii, kiuchumi na hata kisiasa. Imeshuhudiwa shughuli kadhaa katika siasa kama vile Uchaguzi Mkuu, lakini kwa upande wa kijamii hususan burudani, yapo mambo mengi yaliyotokea pengine kuweka historia katika tasnia hiyo.

 

9 years ago

Mwananchi

Haya ndiyo yanayowakwaza wajasiriamali nchini

Pembezoni mwa Barabara ya Mandela, katika Kituo cha Daladala cha Ubungo Darajani, Halima Ismail ameketi nyuma ya sinia la kashata na karanga anazoziuza.

 

11 years ago

Mwananchi

Haya ndiyo mahitaji muhimu ya biashara

Biashara inayokua ina viashiria mbalimbali vinavyoibainisha na kuitofautisha na biashara nyingine kama vile kuongezeka kwa mtaji wa biashara, kuongezeka kwa faida, kuongezeka kwa wafanyakazi, kuongezeka kwa mauzo, utengenezaji wa bidhaa mpya au utoaji wa huduma wa bidhaa mpya na nafasi yake katika soko.

 

11 years ago

Mwananchi

Haya ndiyo yanayowakwaza wafanyabiashara Singida

Ni vigumu mno kufanya biashara maeneo ya vijijini. Huo ni mtazamo wa wafanyabiashara wengi wa maeneo hayo. Wanasema vijijini kuna vikwazo vingi.

 

10 years ago

GPL

HAYA NDIYO MALENGO YANGU 2015!

Kwanza nawatakieni tena wote heri ya mwaka mpya 2015, hata wale walioanza mwaka kwa ‘kuwekwa kiporo’, waliofukuzwa kazi na bosi, waliogawana ule mkwanja, waliokosa ule mkwanja, wanaolalamika kwa kuwa walikosa ule mkwanja, wanaolalamika kwa kuwa wanaona wananchi waliukosa ule mkwanja, wanaolalamika kuhusu ule mkwanja kusudi wapate mkwanja, wanaolalamika kwa nini watu wanalalamika kuhusu ule mkwanja, wanaolalamika kuwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Haya ndiyo manufaa ya dhamana za serikali

BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) kwa niaba ya Serikali huuza dhamana za serikali za muda mrefu ikiwa ni njia ya kulipa fedha kutoka kwa taasisi au mwananchi mmoja mmoja. Dhamana...

 

9 years ago

Raia Mwema

Haya ndiyo yatakayotokea mwaka huu

KWA miaka kadhaa, makala zangu za wiki ya mwanzo wa mwaka huzungumzia matukio mbalimbali yanayota

Evarist Chahali

 

10 years ago

Dewji Blog

Haya ndiyo usiyoyajua kuhusu rapa Mmarekani T.I

1

Wakati siku za kuelekea tamasha la mwisho la Serengeti Fiesta 2014 zikihesabika, hakuna kinachowapa raha mashabiki wa tamasha hilo nchini zaidi ya kujiandaa na ujio wa mwanamuziki nyota Duniani katika miondoko ya hip hop.

Ama kwa hakika, si mwingine bali ni T.I aliyejipanga kuwashika vilivyo katika jukwaa wakati wa shoo ya tamasha la Serengeti Fiesta 2014 litakalofanyika katika viwanja vya leaders jijini Dar es Salaam hapo Oktoba 18, mwaka huu.

T.I ambye jina lake kamili ni Clifford Joseph...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani