MAHABA NITOE ROHO YA MAAFANDE HAWA YA SABABISHA KIBARUA KUOTA NYASI
Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani walioachishwa kazi.ASKARI wa Kikosi cha Usalama Barabarani waliopiga picha ya mahaba wakibusiana huku wakiwa wamevaa sare za Jeshi la Polisi na picha yao ikasambaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii wamefukuzwa kazi.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Henry Mwaibambe amethibitisha leo kwa waandishi wa habari mkoani humo kuwa, askari hao na mwenzao aliyewapiga picha wametambuliwa na tayari wamefukuzwa kazi kwa kitendo hicho cha kulidhalilisha Jeshi la...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-iZtTI8odA1g/VQz0t6WXHHI/AAAAAAAAYJQ/UME1GQAzTFY/s72-c/2.jpg)
MAHABA NITOE ROHO NDIYO HAYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-iZtTI8odA1g/VQz0t6WXHHI/AAAAAAAAYJQ/UME1GQAzTFY/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-bzq22gEDd24/VQz0t6jVIlI/AAAAAAAAYJM/aISmwS9RheA/s640/1.jpg)
10 years ago
BBCSwahili22 Dec
"Siogopi kibarua kuota nyasi": Kocha wa Yanga
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/po*b5pjX*ekxo7vFeRRS3tuK928w2PyogTmRlHQDwN1HtRrCDU1ZXHHUT-TP4diYTKkPig-JOIUF1-81teadG588A4WhSWmv/mumekajal.jpg)
MUME: KAJALA NITOE GEREZANI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I0fvYV0V5N64H0TyPAzpvhEpQ81tig0i7gb7mI4ifpEoIpLnUqLjLynAIgXt7AEvBa1Fm1S1fRxRzBdP75HHBuppOgrbqW1q/menina.jpg?width=650)
MENINA: ETI NITOE RUSHWA YA NGONO, MH!
11 years ago
GPLSIMBA YAWAKALISHA MAAFANDE WA RUVU SHOOTING
11 years ago
Mwananchi21 Feb
Sababu za wanaume kuota matiti
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Julio, Tegete mikononi mwa maafande leo
9 years ago
Bongo Movies20 Sep
Picha: Hizi za Lulu Za Sababisha Mafuriko Huko INSTA
Picha za staa wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ akiwa ametupia kimamtoni zimesababisha mafuriko ya LIKES na COMMENTS kwenye ukurasa wake kwenye mtandao picha wa Instagram hiyo jana mara baada ya kuzibandika.
Wengi wamefunguka na kummwagia sifa nyingi kwa jinsi alivyotokelezea na mapigo hayo.
“Pale unapokumbuka huna safari ya Ulaya Leo wala Kesho...!Unaamua Kujigeuza RIHANNA na kukatisha mitaa yako ya HOLLYWOOD ki roho....
Yani hapa ndo nishajikuta HOLLYWOOD sitaki Maswali wala...
10 years ago
Mtanzania16 Jun
Christian Bella: Kukosa tuzo kutanifanya nitoe muziki mzuri zaidi
NA RHOBI CHACHA
MWANAMUZIKI wa Bolingo, Christian Bella, ameweka wazi kwamba kukosa kwake tuzo hata moja kutampa nguvu ya kuandaa kazi nzuri zaidi ya alizozitoa kwa mwaka jana.
Bella aliongeza kwamba, anajiamini muziki anaofanya unapendwa na wengi, kukosa tuzo hakutamrudisha nyuma bali kutamfanya aongeze nguvu zaidi ya kufanya muziki mzuri.
“Unajua mimi siku zote najijua kama nafanya kazi nzuri na mashabiki wananikubali, ila kukosa tuzo hakunivunji moyo, yaani ni sawa na kunizidishia akili...