Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAHABA NITOE ROHO YA MAAFANDE HAWA YA SABABISHA KIBARUA KUOTA NYASI

Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani walioachishwa kazi.ASKARI wa Kikosi cha Usalama Barabarani waliopiga picha ya mahaba wakibusiana huku wakiwa wamevaa sare za Jeshi la Polisi na picha yao ikasambaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii wamefukuzwa kazi.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Henry Mwaibambe amethibitisha leo kwa waandishi wa habari mkoani humo kuwa, askari hao na mwenzao aliyewapiga picha wametambuliwa na tayari wamefukuzwa kazi kwa kitendo hicho cha kulidhalilisha Jeshi la...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MAHABA NITOE ROHO NDIYO HAYA

Kuna kasumba ya kizamani kuwa wanaume ndiyo waliokuwa wanawapiga wake zao lakini inavyoonekana sasa kibao kimegeuka baada ya mwanamke aliyejitambulisha kwa jina la Irene Edwin kudaiwa kumzaba mumewe, Amani Joseph, wote wakazi wa maeneo ya Misungwi mkoani Mwanza kisa kikielezwa kuwa ni wivu wa kimapenzi.Tukio hilo lililoshuhudiwa mchana kweupe lilijiri hivi karibuni maeneo hayo ambapo Irene alimfuma mumewe akiwa baa na mchepuko wakiponda raha.Kwa mujibu wa shuhuda wetu ambaye ni mtu wa karibu...

 

10 years ago

BBCSwahili

"Siogopi kibarua kuota nyasi": Kocha wa Yanga

Kuna msemo ” Makocha wana ajiriwa ili wafukuzwe na usemi huo umejidhihirisha katika ligi maarufu barani Ulaya, Afrika na kwingineko.

 

10 years ago

GPL

MUME: KAJALA NITOE GEREZANI

Stori: Sifael Paul
ANA hoja? Siku chache baada ya gazeti pacha la hili, Ijumaa Wikienda, toleo la Jumatatu iliyopita kuripoti juu ya utajiri mkubwa wa staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja ‘K’, mumewe Faraji Agustino amempigia saluti na kumuomba amtoe gerezani. Kajala na mumewe wakiwa mahakamani. KWANI ILIKUWAJE?
Machi mwaka jana, Faraji alihukumiwa kifungo cha miaka saba jela au faini ya zaidi ya Sh....

 

11 years ago

GPL

MENINA: ETI NITOE RUSHWA YA NGONO, MH!

Stori: Imelda Mtema
MWANAMUZIKI aliyeibukia kwenye Shindano la Epiq Bongo Star Search 2012, Menina Atick amesema licha ya kusikia kuwepo kwa baadhi ya wanaume wenye nafasi kwenye ‘game’ la muziki ambao huomba rushwa ya ngono kwa wasanii wa kike ili wawatoe, yeye atakomaa na anaamini atasimama. Menina Atick. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni Menina ambaye sasa anasumbua na wimbo wake wa Shaghala Baghala alisema...

 

11 years ago

GPL

SIMBA YAWAKALISHA MAAFANDE WA RUVU SHOOTING

Wachezaji wa Simba SC, wakishangilia bao kwenye mechi yao dhidi ya Ruvu Shooting iliyopigwa katika Uwanja wa Taifa jijini Dar jana. Simba walishinda 3-2.
Mashabiki wa Simba, wakishangilia ushindi wao wa bao 3-2.
SIMBA SC jana iliibuka kidedea kwa ushindi wa bao 3-2 dhidi ya maafande wa Ruvu Shooting katika mchezo uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.… ...

 

11 years ago

Mwananchi

Sababu za wanaume kuota matiti

>Tatizo la kuota matiti kwa wanaume na watoto wa kiume limekuwa kubwa katika dunia ya leo.Inawezekana wakati unatembea njiani ukaona wanaume au watoto wadogo wa kiume wakiwa na matiti tena makubwa  ambapo watu wengi  huchukulia kama ni kawaida.

 

10 years ago

Mwananchi

Julio, Tegete mikononi mwa maafande leo

Makocha maarufu wa soka nchini Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ na John Tegete leo watakua na vibarua vizito watakapokwaana na timu Kanembwa JKT na Polisi Dodoma FC, katika mechi za raundi ya sita ya Kundi B la michuano hiyo.

 

9 years ago

Bongo Movies

Picha: Hizi za Lulu Za Sababisha Mafuriko Huko INSTA

Picha za staa wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ akiwa ametupia kimamtoni zimesababisha mafuriko ya LIKES na COMMENTS kwenye ukurasa wake kwenye mtandao picha wa Instagram hiyo jana mara baada ya kuzibandika.

Wengi wamefunguka na kummwagia sifa nyingi kwa jinsi alivyotokelezea na mapigo hayo.

“Pale unapokumbuka huna safari ya Ulaya Leo wala Kesho...!Unaamua Kujigeuza RIHANNA na kukatisha mitaa yako ya HOLLYWOOD ki roho....
Yani hapa ndo nishajikuta HOLLYWOOD sitaki Maswali wala...

 

10 years ago

Mtanzania

Christian Bella: Kukosa tuzo kutanifanya nitoe muziki mzuri zaidi

christian bellaNA RHOBI CHACHA
MWANAMUZIKI wa Bolingo, Christian Bella, ameweka wazi kwamba kukosa kwake tuzo hata moja kutampa nguvu ya kuandaa kazi nzuri zaidi ya alizozitoa kwa mwaka jana.
Bella aliongeza kwamba, anajiamini muziki anaofanya unapendwa na wengi, kukosa tuzo hakutamrudisha nyuma bali kutamfanya aongeze nguvu zaidi ya kufanya muziki mzuri.
“Unajua mimi siku zote najijua kama nafanya kazi nzuri na mashabiki wananikubali, ila kukosa tuzo hakunivunji moyo, yaani ni sawa na kunizidishia akili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani