MUME: KAJALA NITOE GEREZANI
Stori: Sifael Paul ANA hoja? Siku chache baada ya gazeti pacha la hili, Ijumaa Wikienda, toleo la Jumatatu iliyopita kuripoti juu ya utajiri mkubwa wa staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja ‘K’, mumewe Faraji Agustino amempigia saluti na kumuomba amtoe gerezani. Kajala na mumewe wakiwa mahakamani. KWANI ILIKUWAJE? Machi mwaka jana, Faraji alihukumiwa kifungo cha miaka saba jela au faini ya zaidi ya Sh....
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLHUKU MKEWE AKISOTA GEREZANI MISS TZ AOLEWA NA MUME WA JACK PATRICK
11 years ago
GPLMUME WA MTU AMLIZA KAJALA
11 years ago
GPLKAJALA LAIVU NA MUME WA MTU CHINA
10 years ago
GPLMKE: KAJALA NIACHIE MUME WANGU!
10 years ago
Bongo Movies15 Jan
Hapa na Pale:Kajala Atakiwa Aachie Mume wa Mtu!!
Mwigizaji wa filamu mwenye umbo na mvuto wa kiafrika zaidi, Kajala Masanja amedaiwa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mume wa mtu. Kwa mujibu wa gazeti la udaku la Amani, mwanamke aliyejitambulisha kwa jina moja la Pamela ameibuka na kumtaka muigizaji huyo kuacha kumfuata mume wake.
Mwanamama huyo, anayefanya kazi ‘nzuri’ katika shirika moja kubwa nchini, aliliambia gazeti hili kuwa Kajala, amekuwa akitembea na mumewe aliyemtaja kwa jina moja la Tanaluza ambaye kwa sasa yuko ndani katika...
11 years ago
GPLMENINA: ETI NITOE RUSHWA YA NGONO, MH!
10 years ago
VijimamboMAHABA NITOE ROHO NDIYO HAYA
10 years ago
Vijimambo10 years ago
VijimamboMAHABA NITOE ROHO YA MAAFANDE HAWA YA SABABISHA KIBARUA KUOTA NYASI
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Henry Mwaibambe amethibitisha leo kwa waandishi wa habari mkoani humo kuwa, askari hao na mwenzao aliyewapiga picha wametambuliwa na tayari wamefukuzwa kazi kwa kitendo hicho cha kulidhalilisha Jeshi la...