Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali ya Yemen hatimaye yajiuzulu

Serikali ya Yemen imetoa ombi la kujiuzulu huku kukiwa na switofahamu kati yake na waasi wa Houthi, maafisa wamesema.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Yemen:Serikali yapinga mazungumzo na waasi

Serikali ya Yemen iliyoko uhamishoni, haitakubali kufanya mazungumzo ya amani na wanamgambo wa Houthi

 

10 years ago

BBCSwahili

Waasi wa Houthi wachukua serikali Yemen

Waasi wa Shia wametangaza kutwaa uongozi wa kisiasa nchini Yemen,

 

10 years ago

BBCSwahili

Yemen:Maafisa wa serikali wawasili Aden

Mawaziri kadhaa na maafisa wa ngazi za juu wa upelelezi wa serikali ya Yemen iliyoko uhamishoni wanasemekana kutua katika mji wa Aden ulioko kusini mwa nchi hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kamati ya maji yajiuzulu kukwepa aibu

MRADI wa maji unaofadhiliwa na Benki ya Dunia (WB) kwenye Kijiji cha Ambreni/Moivaro, wilayani Arumeru, Arusha umeingia dosari na kusababisha Kamati ya Maji ya mradi huo kujiuzulu. Sababu za kujiuzulu...

 

10 years ago

Vijimambo

SERIKALI KUWARUDISHA NCHINI WATANZANIA WALIOPO YEMEN

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA

 



Simu: 255-22-2114615, 211906-12 Barua pepe: nje@nje.go.tzBarua pepe: gcu@nje.go.tzTovuti : www.foreign.go.tzNukushi: 255-22-2116600              

 

 

                20 KIVUKONI FRONT,                           P.O. BOX 9000,                  11466 DAR ES SALAAM,                                      Tanzania.

 


TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI


Serikali kuwarudisha nchini Watanzania waliopo Yemen


Mhe....

 

10 years ago

GPL

HATIMAYE BOKO HARAM NA SERIKALI ZAFIKIA MUAFAKA

Wasichana waliotekwa na kundi la Boko Haram tarehe 14 Februari mwaka huu. Serikali ya Nigeria na wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram, wamefikia makubaliano ya usitishaji mapigano na kuachiliwa huru wanafunzi wa kike wanaoshikiliwa na kundi hilo. Hayo yameelezwa na mkuu wa vikosi vya jeshi la Nigeria, Meja Jenerali Alex Sabundu Badeh na Hassan Tukur, Katibu wa ikulu ya rais ya nchi hiyo na mshauri wa karibu...

 

5 years ago

Michuzi

Hatimaye serikali ya umoja wa kitaifa yaundwa Sudan Kusini


Hatimaye Serikali ya Umoja wa Kitaifa iliyokuwa ikisubiriwa kwa muda mrefu huko Sudan Kusini imeundwa baada ya Riek Machar kuapishwa kuwa Makamu wa kwanza wa Rais wa nchi hiyo.

Kiongozi wa waasi nchini Sudan Kusini Riek Machar na hasimu mkuu wa Rais Salva Kiir jana aliapishwa kuwa makamu wa kwanza wa rais, ikiwa ni uundwaji wa serikali ya umoja wa kitaifa iliyokuwa ikisubiriwa kwa muda mrefu.

Uundwaji wa serikali ya umoja wa kitaifa nchini Sudan Kusini umepongezwa kieneo na kimataifa na...

 

10 years ago

BBC

US 'unaware' of second Yemen hostage

US forces who tried to free hostage Luke Somers from al-Qaeda in Yemen did not know the identity of his fellow detainee, a US official says.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani