Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yemen:Maafisa wa serikali wawasili Aden

Mawaziri kadhaa na maafisa wa ngazi za juu wa upelelezi wa serikali ya Yemen iliyoko uhamishoni wanasemekana kutua katika mji wa Aden ulioko kusini mwa nchi hiyo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Yemen:Houthi yakamia mji wa Aden

Marekani ilisema kuwa inaharakisha kuwasilisha silaha kwa majeshi ya muungano

 

10 years ago

BBCSwahili

Yemen:Vita vikali vyaendelea mjini Aden

Ripoti kutoka Yemen zinaarifu kuwa mapambano makali yanaendelea katika mtaa mmoja wa mji wenye bandari ya Aden

 

10 years ago

BBCSwahili

Serikali ya Yemen hatimaye yajiuzulu

Serikali ya Yemen imetoa ombi la kujiuzulu huku kukiwa na switofahamu kati yake na waasi wa Houthi, maafisa wamesema.

 

10 years ago

BBCSwahili

Yemen:Serikali yapinga mazungumzo na waasi

Serikali ya Yemen iliyoko uhamishoni, haitakubali kufanya mazungumzo ya amani na wanamgambo wa Houthi

 

10 years ago

BBCSwahili

Waasi wa Houthi wachukua serikali Yemen

Waasi wa Shia wametangaza kutwaa uongozi wa kisiasa nchini Yemen,

 

10 years ago

Vijimambo

SERIKALI KUWARUDISHA NCHINI WATANZANIA WALIOPO YEMEN

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA

 



Simu: 255-22-2114615, 211906-12 Barua pepe: nje@nje.go.tzBarua pepe: gcu@nje.go.tzTovuti : www.foreign.go.tzNukushi: 255-22-2116600              

 

 

                20 KIVUKONI FRONT,                           P.O. BOX 9000,                  11466 DAR ES SALAAM,                                      Tanzania.

 


TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI


Serikali kuwarudisha nchini Watanzania waliopo Yemen


Mhe....

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YAWATAKA MAAFISA MADINI KUTHIBITISHA USHURU MIGODINI

Na Asteria Muhozya, NzegaSERIKALI imesema Ushuru wowote unaotolewa kwenye Maeneo ya Migodi Nchini ni lazima uthibitishwe na Maafisa Madini walioko kwenye maeneo husika.
Tamko hilo lilitolewa Mei 24, 2020  na Waziri wa Madini Doto Biteko wakati akizungumza na Wachimbaji  Wadogo wa Madini ya Dhahabu eneo la Lusu Wilayani Nzega  Mkoa wa Tabora alipotembelea eneo hilo kuangalia shughuli za uchimbaji madini.
Aidha, tamko hilo linafuatia kuwepo kwa malalamiko toka kwa wachimbaji wanaofanyakazi...

 

5 years ago

Michuzi

KUAHIRISHWA KIKAO KAZI CHA MAAFISA MAWASILIANO WA SERIKALI

Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Hassan Abbasi anawataarifu  Maafisa Habari na Mawasiliano Serikalini pamoja na wadau wengine kuwa Kikao Kazi kilichotarajiwa kufanyika tarehe 9 hadi 13 Machi 2020, Jijini Mbeya kimeahirishwa.
Kikao kazi hicho ambacho hufanyika kila mwaka ili kuwajengea uwezo Maafisa Habari na Mawasiliano wa Serikali namna ya kutangaza shughuli za Serikali na kuhakikisha,  Idara na Vitengo vya Mawasiliano na Uhusiano Serikalini vinaimarishwa ili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani