Serikali yaeleza mipango ya kuendeleza masoko jijini Dar es Salaam
Afisa Uhusiano Manispaa ya Ilala Bi. Tabu Shaibu akiwaeleza waandishi wa Habari (hawapo pichani)kuhusu mpango wa serikali wa kuendelea kuimarisha Masoko katika Jiji la Dar es Salaam, Wakati wa Mkutano uliofanyika katika Ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO) leo Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Afisa Masoko wa Manispaa hiyo Bw. Athuman Mbelwa.
Na Frank Mvungi- Maelezo
Serikali yaimarisha masoko 18 katika jiji la Dar es salaam katika kukabiliana na Ongezeko la Mahitaji ya Wananchi.
Hayo...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-BkZQXNsDQDk/VE-FtaHksfI/AAAAAAACt1I/yOo040pAzsw/s72-c/1a.jpg)
Tanzania yaeleza mipango yake ya kuendeleza Jotoardhi
![](http://2.bp.blogspot.com/-BkZQXNsDQDk/VE-FtaHksfI/AAAAAAACt1I/yOo040pAzsw/s1600/1a.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FQzJzj6H_uw/VE-Fv4Ez4ZI/AAAAAAACt1Q/FKSVzW8y5ow/s1600/2a.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2pTvjZpeY4Q/VE-FsCcHXUI/AAAAAAACt1A/0xY190uhsi0/s1600/3a.jpg)
9 years ago
VijimamboMKUTANO WA NNE WA BARA LA AFRIKA KUJADILI MIPANGO ENDELEVU NA MAFUNZO KWA VIJANA WAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM
9 years ago
VijimamboMKUTANO WA NNE WA BARA LA AFRIKA KUJADILI MIPANGO ENDELEVU NA MAFUNZO KWA VIJANA WAFANYIKA HOTELI YA GIRRAFE JIJINI DAR ES SALAAM
9 years ago
MichuziMKUTANO WA NNE WA BARA LA AFRIKA KUJADILI MIPANGO ENDELEVU NA MAFUNZO KUANZA KUFANYIKA KESHO HOTELI YA GIRRAFE JIJINI DAR ES SALAAM
Na Dotto MwaibaleMKUTANO wa Nne wa Bara la Afrika wa kujadili mipango endelevu katika eno la mafunzo kwa vijana na wataalamu wasiojiweza na ushirikji wao katika soko la ajira, unatarajiwa kuanza kufanyika kesho Hoteli ya Girrafe jijini Dar es Salaam.
Mkutano huo ambao utashirikisha nchi mbalimbali tisa unatarajiwa kuhudhuriwa na wageni 50 kutoka katika nchi hizo za Afrika.
Akizungumza na waaandishi wa habari kuhusu Dar es Salaam jana kuhusu mkutano huo, Meneja Mipango wa Ofisi ya Maendeleo...
Mkutano huo ambao utashirikisha nchi mbalimbali tisa unatarajiwa kuhudhuriwa na wageni 50 kutoka katika nchi hizo za Afrika.
Akizungumza na waaandishi wa habari kuhusu Dar es Salaam jana kuhusu mkutano huo, Meneja Mipango wa Ofisi ya Maendeleo...
10 years ago
GPLTBS YAELEZA MAJUKUMU YAKE KWA WAANDISHI WA HABARI DAR ES SALAAM
Kaimu Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Mary Meela (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu majukumu ya shirika hilo jinsi yanavyotekelezwa na kurugenzi ya udhibiti ubora. Kulia ni Ofisa Habari wa Idara Habari Maelezo, Frank Mvungi na Ofisa Uhusiano wa TBS, Roida Andusamile. Wanahabari wakichukua… ...
10 years ago
MichuziTBS YAELEZA MAJUKUMU YAKE KWA WAANDISHI WA HABARI DAR ES SALAAM LEO
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-jPyZPfAWctw/VkyYHOHVoNI/AAAAAAAIGmk/3B5aw2uO7XQ/s72-c/IMG_5287.jpg)
MKUU WA KITENGO CHA MIPANGO OFISI YA MKAGUZI WA HESABU ZA SERIKALI,NKILIJIWANDO ATIMIZA AHADI YAKE KATIKA SHULE YA SEKONDARI YA MISITU JIJINI DAR.
MKUU wa kitengo cha mipango katika Ofisi ya Ukaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali, Malima Nkilijiwando ambae pia ni mdau wa elimu ametimiza ahadi yake ya kuinunulia Shule ya Sekondari ya Misitu iliyopo kata ya Kivule- Ukonga jijini Dar es Salaam Kompyuta na mashine ya kutolea kopi pamoja na kuchapisha.
Ahadi hiyo ameitimiza leo katika shule hiyo ikiwa aliahidi kipindi walipofanya mahafali ya kidato cha nne katika shule hiyo.
Mkuu wa shule ya Sekondari ya Misitu, Pantaleo Maghari...
10 years ago
MichuziTUME YA MIPANGO YATEMBELEA BANDARI YA DAR ES SALAAM
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-k1z_iEpnbxI/VdyFFk2-6NI/AAAAAAAAt4Q/CWfiR915SHc/s72-c/MMGL1919.jpg)
LOWASSA, DUNI WATEMBELEA MASOKO YA TANDALE NA TANDIKA JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-k1z_iEpnbxI/VdyFFk2-6NI/AAAAAAAAt4Q/CWfiR915SHc/s640/MMGL1919.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_AK3RUbHbBQ/VdyFHw7svPI/AAAAAAAAt40/a_y5JGg1VUw/s640/MMGL2108.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-utxFUaW9jow/VdyFHauEvOI/AAAAAAAAt4k/qNhueJ7ggtA/s640/MMGL2106.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania