Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali yaja na mbinu mpya kukabili makali ya Umeme

muhongo

Na Mwandishi wetu

Serikali imesema inakusudia kuachana na mfumo wa matumizi ya nishati ya umeme wa maji na badala yake itaanza kutumia nishati jadidifu inayozalisha umeme kwa kutumia njia ya gesi asilia ,jua na upepo.

Waziri wa Mishati na madini Prof Sospeter Muhongo (pichani) amesema hatua hiyo ni mpango wa serikali kukabiliana na tatizo la kukatika umeme, ambapo mfumo huo pia utatumia vyanzo vya mawimbi ya bahari,makaa ya mawe na mabaki ya mimea kuzalishia umeme.

Profesa Muhongo amesema...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

MSF:Mbinu mpya zahitajika kukabili Ebola

Shirika la Madaktari wasio na mipaka MSF limetoa wito wa kutumia mbinu mpya kupambana na Ebola

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Tutafute mbinu mpya za kukabili majanga

>Tukio la juzi ambapo familia moja ya watu sita iliteketea kwa moto jijini Dar es Salaam limetuthibitishia pasipo shaka kwamba nchi yetu imeshindwa kubuni mbinu na mikakati ya kisasa kukabiliana na majanga.

 

10 years ago

Mwananchi

Namna ya kukabili maumivu makali ya uti wa mgongo

Wiki iliyopita tuliona jinsi tatizo la mgongo linavyosumbua watu wengi dunia. Tuliona pia vyanzo vyake na jinsi upungufu wa viinilishe mwilini na madhara ya kazi yanavyochangia kutokea kwa tatizo hili.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maandamano yaja kupinga bei ya umeme

RAIS Jakaya Kikwete ameshauriwa katika mchakato wa mabadiliko ya Baraza la Mawaziri kumtaka Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo kujieleza kwake na umma ili kuwezesha hatua stahiki kuchukuliwa...

 

10 years ago

StarTV

Tanzania yahitaji sera, mikakati madhubuti katika kukabili tatizo la umeme.

Na Immaculate Kilulya,

Dar Es Salaam.

 

 

 

Shirika la Utunzaji wa Mazingira Duniani WWF limesema kuna haja kwa Tanzania kuwa na sera na mikakati ya kufikisha nishati ya umeme kwa asilimia 35 ya watanzania ambao bado kufikiwa na nishati hiyo bila kuathiri mazingira.

 

WWF imesema uharibifu wa mazingira umechangia kwa kiasi kikukbwa mabadiliko ya tabia nchi ikiwemo mafuriko na kwamba bado jitihada za ziada zinahitajika za kukabiliana na mabadiliko hayo.

 

Asilimia 65 ya watanzania...

 

10 years ago

Habarileo

Tanesco yaja na Luku mpya

Meneja Uhusiano wa Tanesco, Adrian SeverinShirika la Umeme nchini (TANESCO) linatarajia kubadilisha mfumo wa huduma ya Lipia Umeme Kadri Utumiavyo (Luku) na kuuweka wa kisasa ili kuwaondolea usumbufu wateja wake.

 

10 years ago

Habarileo

Teknolojia mpya ujenzi wa ghorofa yaja

WAKALA wa Majengo Tanzania (TBA) una mpango wa kutumia teknolojia mpya ya kujenga nyumba ya ghorofa kwa siku moja lengo likiwa ni kuisaidia Serikali katika kupunguza uhitaji wa nyumba pamoja na kupunguza gharama za ujenzi.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali yaja na mapya katika elimu

Serikali imeanzisha mfumo mpya wa udahili kwa wanafunzi wanaoingia kidato cha kwanza, kwa kuwalipia ada watakaojiunga na shule binafsi.

 

10 years ago

Habarileo

Teknolojia mpya ya mimba za ng’ombe yaja nchini

JITIHADA za Serikali ya Rais Jakaya Kikwete kuleta mageuzi makubwa katika sekta ya mifugo na ufugaji nchini, zimepata msukumo mpya kufuatia uamuzi wa kujengwa kwa maabara ya kisasa kabisa ya matumizi ya teknolojia ya vinasaba ya kuboresha mbegu za mimba za ng’ombe inayojulikana kama embryo transfer.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani