Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shanta Mining waagizwa kukamilisha fidia

SERIKALI imeiagiza Kampuni ya Shanta Mining ya Singida kukamilisha shughuli ya ulipaji fidia kwa wananchi wanaotakiwa kuhama kwenye eneo wanalolimiki katika kijiji cha Sambaru, wilayani Ikungi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Shanta Mining yarejesha serikalini zaidi ya km. 70

Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Shanta Mining imerejesha serikalini leseni yake moja ya eneo lenye ukubwa wa zaidi ya kilomita za mraba 70 ili liweze kugawiwa kwa wachimbaji wadogo.Eneo hilo la machimbo ya dhahabu lililopo Kijiji cha Muhintiri wilayani Ikungi mkoani Singida litapimwa na kutoa leseni ndogo zaidi ya 700 ambazo zitagawiwa kwa wachimbaji wadogo mmoja-mmoja na vikundi ili waweze kuendesha shughuli zao kisheria badala ya kuvamia wawekezaji.

 

Ni katika machimbo ya dhahabu ya...

 

11 years ago

Zitto Kabwe, MB

Tanzanian Mining companies migrating to the Mining Act 2010 and a Lusaka revolution

Tanzanian Mining companies migrating to the Mining Act 2010 and a Lusaka revolution

Judge Mark Bomani (Bomani Commission)

Judge Mark Bomani (Bomani Commission)

This weekend Tanzanians were informed (viaThe East African- Tanzania seals new tax deal with mining firms) of the decision reached by ministry of energy and minerals and one of the giant mining company in the country, Geita Gold Mine, that new royalty rates will be applicable. The agreement includes scrapping of the 15% provision on the unredeemed capital expenditure...

 

11 years ago

ETurboNews

How will mining affect tourism? Tanzania gives go ahead to uranium mining in ...


eTurboNews
How will mining affect tourism? Tanzania gives go ahead to uranium mining in ...
eTurboNews
TANZANIA (eTN) - The Tanzanian government has agreed to allow uranium mining inside the famous Selous Game Reserve after the United Nations World Heritage Committee approved an application by the Tanzanian government to alter the boundaries of ...
Tanzania, UNDP Sign Agreement to Fight PoachingAllAfrica.com

all 3

 

10 years ago

Dewji Blog

Leading African and global mining executives and investors announced for the 2015 Investing in African Mining Indaba

MiningIndaba-1

The annual Investing in African Mining Indaba is the world’s preferred brand and destination in African mining

The 2015 Investing in African Mining Indaba (http://www.miningindaba.com/?utm_source=APO&utm_medium=pressrelease2&utm_campaign=MI15)  taking place on 9 – 12 February 2015 in Cape Town South Africa will feature an array of globally recognised economic visionaries, mining thought leaders and some of Africa’s largest deal-makers for the approximately 7000 delegates set to arrive from...

 

10 years ago

Bongo Movies

Dude na Davina Ndani ya SHANTA...

Kumecha.....5 effects movies tunakuja tena na tofali lingine la aina yake....naizungumzia SHANTA....hapa namzungumzia HALIMA YAHAYA "DAVINA",KULWA KIKUMBA"DUDE",JENGUA na WILLIAM MTITU ni filamu bomba iliyosheheni visa na mikasa ya aina yake....kutana na Dereva Tax anayetembea na mgoni wake akiwa na mke wa Dereva Tax huyo ndani ya tax siku nzima bila ya mgoni kutambua....unajua hatua anazochukua Dereva Tax dhidi ya mgoni wake?.... Kwa wauzaji wa jumla na rejareja coming soon

William mtitu...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Shanta Neggo Ft Moriento – Freemason

Shanta

Rapper Shanta Neggo ameachia video yake mpya wimbo unaitwa “Freemason”, Amemshirikisha Moriento, Video imeongozwa Nick Dizzo.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Dewji Blog

Mfuko wa fidia kwa wafanyakazi kusimamia Haki ya Fidia kwa wafanyakazi

MKURUGENZI Mkuu wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi, WCF, Masha Mshomba, akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari makao makuu ya Mfuko huo barabara ya Bagamoyyo jijini Dar es Salaam, Agosti 16, 2015. Mfuko huo ulioanzishwa kwa sheria ya bunge namba 20 kifungu cha 5 ya mwaka 2008, una madhumuni ya kutoa fidia kwa Wafanyakazi kutokana na ulemavu au vifo viinavyosababishwa na ajali au magonjwa yatokanayo na kazi sambamba na kukuza mbinu za kuzuia matukio ya ajali, alisema. (Picha na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali yatoa onyo kali dhidi ya wananchi watakaovamia mgodi wa dhahabu wa Shanta Ikungi

DSC05033

Naibu Waziri wa Nishati na Madini na mbunge wa jimbo la Misungwi mkoa wa Mwanza, Mh. Charles Kitwanga,akizungumza na wachimbaji wadogo wa dhahabu wa vijiji vya Mang’onyi na Sambaru wilaya ya Ikungi. Kitwanga amewataka wachimbaji hao kujiunga kwenye vikundi ili waweze kupata misaada mbalimbali ikiwemo kukopesheka na taasisi za kifedha. DSC05010 Mkuu wa wilaya ya Ikungi mkoani Singida, Gishuli Charles, akizungumza kwenye mkutano wa hadhara ulioitishwa kwa ajili ya Naibu Waziri wa Nishati na...

 

5 years ago

Proactive Investors UK

Proactive news snapshot: Avation, United Oil & Gas, Shanta Gold, AFC Energy …

Proactive news snapshot: Avation, United Oil & Gas, Shanta Gold, AFC Energy …  Proactive Investors UKView Full coverage on Google News

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani