Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shanta Mining yarejesha serikalini zaidi ya km. 70

Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Shanta Mining imerejesha serikalini leseni yake moja ya eneo lenye ukubwa wa zaidi ya kilomita za mraba 70 ili liweze kugawiwa kwa wachimbaji wadogo.Eneo hilo la machimbo ya dhahabu lililopo Kijiji cha Muhintiri wilayani Ikungi mkoani Singida litapimwa na kutoa leseni ndogo zaidi ya 700 ambazo zitagawiwa kwa wachimbaji wadogo mmoja-mmoja na vikundi ili waweze kuendesha shughuli zao kisheria badala ya kuvamia wawekezaji.

 

Ni katika machimbo ya dhahabu ya...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Shanta Mining waagizwa kukamilisha fidia

SERIKALI imeiagiza Kampuni ya Shanta Mining ya Singida kukamilisha shughuli ya ulipaji fidia kwa wananchi wanaotakiwa kuhama kwenye eneo wanalolimiki katika kijiji cha Sambaru, wilayani Ikungi.

 

11 years ago

Zitto Kabwe, MB

Tanzanian Mining companies migrating to the Mining Act 2010 and a Lusaka revolution

Tanzanian Mining companies migrating to the Mining Act 2010 and a Lusaka revolution

Judge Mark Bomani (Bomani Commission)

Judge Mark Bomani (Bomani Commission)

This weekend Tanzanians were informed (viaThe East African- Tanzania seals new tax deal with mining firms) of the decision reached by ministry of energy and minerals and one of the giant mining company in the country, Geita Gold Mine, that new royalty rates will be applicable. The agreement includes scrapping of the 15% provision on the unredeemed capital expenditure...

 

11 years ago

ETurboNews

How will mining affect tourism? Tanzania gives go ahead to uranium mining in ...


eTurboNews
How will mining affect tourism? Tanzania gives go ahead to uranium mining in ...
eTurboNews
TANZANIA (eTN) - The Tanzanian government has agreed to allow uranium mining inside the famous Selous Game Reserve after the United Nations World Heritage Committee approved an application by the Tanzanian government to alter the boundaries of ...
Tanzania, UNDP Sign Agreement to Fight PoachingAllAfrica.com

all 3

 

10 years ago

Dewji Blog

Leading African and global mining executives and investors announced for the 2015 Investing in African Mining Indaba

MiningIndaba-1

The annual Investing in African Mining Indaba is the world’s preferred brand and destination in African mining

The 2015 Investing in African Mining Indaba (http://www.miningindaba.com/?utm_source=APO&utm_medium=pressrelease2&utm_campaign=MI15)  taking place on 9 – 12 February 2015 in Cape Town South Africa will feature an array of globally recognised economic visionaries, mining thought leaders and some of Africa’s largest deal-makers for the approximately 7000 delegates set to arrive from...

 

10 years ago

Bongo Movies

Dude na Davina Ndani ya SHANTA...

Kumecha.....5 effects movies tunakuja tena na tofali lingine la aina yake....naizungumzia SHANTA....hapa namzungumzia HALIMA YAHAYA "DAVINA",KULWA KIKUMBA"DUDE",JENGUA na WILLIAM MTITU ni filamu bomba iliyosheheni visa na mikasa ya aina yake....kutana na Dereva Tax anayetembea na mgoni wake akiwa na mke wa Dereva Tax huyo ndani ya tax siku nzima bila ya mgoni kutambua....unajua hatua anazochukua Dereva Tax dhidi ya mgoni wake?.... Kwa wauzaji wa jumla na rejareja coming soon

William mtitu...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Shanta Neggo Ft Moriento – Freemason

Shanta

Rapper Shanta Neggo ameachia video yake mpya wimbo unaitwa “Freemason”, Amemshirikisha Moriento, Video imeongozwa Nick Dizzo.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

11 years ago

Tanzania Daima

ATCL yarejesha safari za Burundi

SHIRIKA la Ndege la Tanzania (ATCL) limezindua rasmi huduma za usafiri wa anga kutoka Dar es Salaam kuelekea Burundi kupitia Kigoma. Hatua hiyo imekuja baada ya hali ya amani kutengamaa...

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yarejesha shule kwa madereva

Waziri wa Kazi na Ajira Gaudensia Kabaka akizungumza na madereva katika kituo cha mabasi ya kwenda mkoani cha Ubungo (UBT) wakati wa mgomo wa madereva wa mabasi.SERIKALI imerejesha mafunzo ya madereva kila baada ya miaka mitatu wakati wa kumalizika kwa muda wa leseni zao, huku ikifafanua kuwa elimu watakayoipata ina umuhimu katika kazi zao, kutokana na mabadiliko mbalimbali yanayotokea katika sekta hiyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Dawasco yarejesha huduma Dar es Salaam

Mamlaka ya Uendeshaji Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasco), imerejesha huduma zake baadhi ya maeneo yaliyokuwa yamekosa maji Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani