Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video: Shanta Neggo Ft Moriento – Freemason

Shanta

Rapper Shanta Neggo ameachia video yake mpya wimbo unaitwa “Freemason”, Amemshirikisha Moriento, Video imeongozwa Nick Dizzo.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Dude na Davina Ndani ya SHANTA...

Kumecha.....5 effects movies tunakuja tena na tofali lingine la aina yake....naizungumzia SHANTA....hapa namzungumzia HALIMA YAHAYA "DAVINA",KULWA KIKUMBA"DUDE",JENGUA na WILLIAM MTITU ni filamu bomba iliyosheheni visa na mikasa ya aina yake....kutana na Dereva Tax anayetembea na mgoni wake akiwa na mke wa Dereva Tax huyo ndani ya tax siku nzima bila ya mgoni kutambua....unajua hatua anazochukua Dereva Tax dhidi ya mgoni wake?.... Kwa wauzaji wa jumla na rejareja coming soon

William mtitu...

 

9 years ago

Habarileo

Shanta Mining waagizwa kukamilisha fidia

SERIKALI imeiagiza Kampuni ya Shanta Mining ya Singida kukamilisha shughuli ya ulipaji fidia kwa wananchi wanaotakiwa kuhama kwenye eneo wanalolimiki katika kijiji cha Sambaru, wilayani Ikungi.

 

10 years ago

StarTV

Shanta Mining yarejesha serikalini zaidi ya km. 70

Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Shanta Mining imerejesha serikalini leseni yake moja ya eneo lenye ukubwa wa zaidi ya kilomita za mraba 70 ili liweze kugawiwa kwa wachimbaji wadogo.Eneo hilo la machimbo ya dhahabu lililopo Kijiji cha Muhintiri wilayani Ikungi mkoani Singida litapimwa na kutoa leseni ndogo zaidi ya 700 ambazo zitagawiwa kwa wachimbaji wadogo mmoja-mmoja na vikundi ili waweze kuendesha shughuli zao kisheria badala ya kuvamia wawekezaji.

 

Ni katika machimbo ya dhahabu ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali yatoa onyo kali dhidi ya wananchi watakaovamia mgodi wa dhahabu wa Shanta Ikungi

DSC05033

Naibu Waziri wa Nishati na Madini na mbunge wa jimbo la Misungwi mkoa wa Mwanza, Mh. Charles Kitwanga,akizungumza na wachimbaji wadogo wa dhahabu wa vijiji vya Mang’onyi na Sambaru wilaya ya Ikungi. Kitwanga amewataka wachimbaji hao kujiunga kwenye vikundi ili waweze kupata misaada mbalimbali ikiwemo kukopesheka na taasisi za kifedha. DSC05010 Mkuu wa wilaya ya Ikungi mkoani Singida, Gishuli Charles, akizungumza kwenye mkutano wa hadhara ulioitishwa kwa ajili ya Naibu Waziri wa Nishati na...

 

5 years ago

Proactive Investors UK

Proactive news snapshot: Avation, United Oil & Gas, Shanta Gold, AFC Energy …

Proactive news snapshot: Avation, United Oil & Gas, Shanta Gold, AFC Energy …  Proactive Investors UKView Full coverage on Google News

 

11 years ago

GPL

MAASKOFU, FREEMASON...

BAADHI ya viongozi wa dini nchini wamesema kwamba Watanzania wengi wamekuwa na imani na mambo ya kishirikina wakiamini kuwa wanaweza kubadili maisha kwa njia ya kuwa wanachama wa Imani ya Freemason badala ya kutumia akili huku wakiweka imani kwa Mungu. Akizugumza kupitia Radio Wapo FM, Rais wa WAPO Mission International, Askofu Sylvester Gamanywa amesema Januari 14, mwaka huu alitangaza Oparesheni Milikisha ambaypo watu wanaweza...

 

9 years ago

Dewji Blog

Serikali yataka kampuni ya madini ya Shanta na wanakijiji cha Ikungi kumaliza tofauti zao waendelee na kazi za uchimbaji

IMG_1927

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dk.Medard Kalemani (mwenye koti kulia) akibadilishana mawazo na aliyewahi kuwa Mbunge wa jimbo la Manyoni magharibi na mchimbaji madini ya Gypsum kijijini Itigi, Ismael Ivata (kushoto).Viongozi hao walikuwa kwenye shimo linalochimbwa gypsum.

IMG_1904

Afisa Mwanadamizi wa kampuni ya uchimbaji madini ya Shanta kijiji cha Sambaru wilaya ya Ikungi, Octavian Ndazi, akitoa taarifa yake kwa Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dk.Medard Kalemani (hayupo kwenye picha). Hata...

 

10 years ago

GPL

MADAHA AVUTIWA NA FREEMASON

Stori: Mayasa Mariwata/Ijumaa Wikienda
STAA wa muziki na filamu Bongo, Baby Joseph Madaha ametoa kali ya aina yake baada ya kusema anavutiwa na taasisi huru ya imani ya Freemason kutokana na umakini mkubwa walionao kwenye kazi zao. Akipiga stori na paparazi wetu, Baby alisema watu wengi wamekuwa wakizungumza kwa mitazamo tofauti kuhusiana na Freemason lakini kiuhalisia, watu wa imani hiyo ni makini wanaojitambua na kujiheshimu....

 

10 years ago

Bongo Movies

Madaha :Nawazimikia Freemason!!!

Mwanamuziki na mwigizaji wa filamu, Baby Joseph Madaha ametoa kali ya aina yake baada ya kusema anavutiwa na taasisi huru ya imani ya Freemason kutokana na umakini mkubwa walionao kwenye kazi zao.

 Akipiga stori na paparazi wa GPL, Baby alisema watu wengi wamekuwa wakizungumza kwa mitazamo tofauti kuhusiana na Freemason lakini kiuhalisia, watu wa imani hiyo ni makini wanaojitambua na kujiheshimu.

“Hawa jamaa kiukweli siyo wa kuchezewa kabisa, lakini ukweli tu ni kwamba nawazimikia mno na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani