Video: Shanta Neggo Ft Moriento – Freemason
Rapper Shanta Neggo ameachia video yake mpya wimbo unaitwa “Freemason”, Amemshirikisha Moriento, Video imeongozwa Nick Dizzo.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies28 Jun
Dude na Davina Ndani ya SHANTA...
Kumecha.....5 effects movies tunakuja tena na tofali lingine la aina yake....naizungumzia SHANTA....hapa namzungumzia HALIMA YAHAYA "DAVINA",KULWA KIKUMBA"DUDE",JENGUA na WILLIAM MTITU ni filamu bomba iliyosheheni visa na mikasa ya aina yake....kutana na Dereva Tax anayetembea na mgoni wake akiwa na mke wa Dereva Tax huyo ndani ya tax siku nzima bila ya mgoni kutambua....unajua hatua anazochukua Dereva Tax dhidi ya mgoni wake?.... Kwa wauzaji wa jumla na rejareja coming soon
William mtitu...
9 years ago
Habarileo06 Jan
Shanta Mining waagizwa kukamilisha fidia
SERIKALI imeiagiza Kampuni ya Shanta Mining ya Singida kukamilisha shughuli ya ulipaji fidia kwa wananchi wanaotakiwa kuhama kwenye eneo wanalolimiki katika kijiji cha Sambaru, wilayani Ikungi.
10 years ago
StarTV20 Aug
Shanta Mining yarejesha serikalini zaidi ya km. 70
Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Shanta Mining imerejesha serikalini leseni yake moja ya eneo lenye ukubwa wa zaidi ya kilomita za mraba 70 ili liweze kugawiwa kwa wachimbaji wadogo.Eneo hilo la machimbo ya dhahabu lililopo Kijiji cha Muhintiri wilayani Ikungi mkoani Singida litapimwa na kutoa leseni ndogo zaidi ya 700 ambazo zitagawiwa kwa wachimbaji wadogo mmoja-mmoja na vikundi ili waweze kuendesha shughuli zao kisheria badala ya kuvamia wawekezaji.
Ni katika machimbo ya dhahabu ya...
10 years ago
Dewji Blog12 Apr
Serikali yatoa onyo kali dhidi ya wananchi watakaovamia mgodi wa dhahabu wa Shanta Ikungi

5 years ago
Proactive Investors UK28 Feb
Proactive news snapshot: Avation, United Oil & Gas, Shanta Gold, AFC Energy …
11 years ago
GPL
MAASKOFU, FREEMASON...
9 years ago
Dewji Blog05 Jan
Serikali yataka kampuni ya madini ya Shanta na wanakijiji cha Ikungi kumaliza tofauti zao waendelee na kazi za uchimbaji
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dk.Medard Kalemani (mwenye koti kulia) akibadilishana mawazo na aliyewahi kuwa Mbunge wa jimbo la Manyoni magharibi na mchimbaji madini ya Gypsum kijijini Itigi, Ismael Ivata (kushoto).Viongozi hao walikuwa kwenye shimo linalochimbwa gypsum.
Afisa Mwanadamizi wa kampuni ya uchimbaji madini ya Shanta kijiji cha Sambaru wilaya ya Ikungi, Octavian Ndazi, akitoa taarifa yake kwa Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dk.Medard Kalemani (hayupo kwenye picha). Hata...
10 years ago
GPL
MADAHA AVUTIWA NA FREEMASON
10 years ago
Bongo Movies02 Feb
Madaha :Nawazimikia Freemason!!!
Mwanamuziki na mwigizaji wa filamu, Baby Joseph Madaha ametoa kali ya aina yake baada ya kusema anavutiwa na taasisi huru ya imani ya Freemason kutokana na umakini mkubwa walionao kwenye kazi zao.
Akipiga stori na paparazi wa GPL, Baby alisema watu wengi wamekuwa wakizungumza kwa mitazamo tofauti kuhusiana na Freemason lakini kiuhalisia, watu wa imani hiyo ni makini wanaojitambua na kujiheshimu.
“Hawa jamaa kiukweli siyo wa kuchezewa kabisa, lakini ukweli tu ni kwamba nawazimikia mno na...