Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHAROBARO AMFANYIA FUJO DK. MAGUFULI...

Richard Bukos, Kilimanjaro Wahenga walisema utakiona cha mtema kuni! Ndivyo ilivyomtokea kijana anayedaiwa ndiye sharobaro maarufu eneo la Himo katika Jimbo la Vunjo, Kilimanjaro aliyejitambulisha kwa jina la Steven Charles baada ya kumfanyia fujo mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Pombe Magufuli katika jimbo hilo wakati akinadi sera zake. Kijana huyo akiwa mikononi mwa dira. Katika tukio hilo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SHAROBARO, HAUSIGELI LIVE

Issa Mnally na Richard Bukos
KIJANA mmoja mtanashati, aliyefahamika kwa jina la Faraja Adam mkazi wa Makongo jijini Dar es Salaam, hivi karibuni alinusurika kipigo kutoka kwa wakazi wa Mabibo Jeshini baada ya kukutwa sebuleni kwa mpangaji wa nyumba moja aliyefahamika kwa jina la Rhobi Chacha. Majirani wa mpangaji huyo waliliambia gazeti hili kwamba walimuona kijana huyo akiambaaambaaa na ukuta wa nyumba hiyo kisha kuingia ndani...

 

11 years ago

Dewji Blog

10 years ago

GPL

SHAROBARO NUSURA ‘ABONYEZWE KIZENJI’!

Sharobaro huyo akiwa amelala chini hajielewi. Stori: Dustan Shekidele, Moro Noma sana! Kijana mmoja ‘sharobaro’ ambaye jina halikufahamika amenusurika kufanyiwa kitu mbaya ‘kubonyezwa kizenji’ na wahuni baada ya kupiga mitungi na kuwa chakari. Sharobaro huyo akiwa kajitapikia chini na akiwa amelala huku akiwa hata hajitambui. Tukio hilo la kusikitisha lilijiri juzikati ambapo jamaa huyo alikutwa kwenye...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mourinho amfanyia masikhara Wenger

Mkufunzi wa Chelsea Jose Mourinho amemfanyia masikhara mwenzake wa Arsenal Arsene Wenger huku the Blues ikijiandaa kukabiliana na kilabu ya Manchester City siku ya jumapili.

 

11 years ago

CloudsFM

SHAROBARO MUSIC YAMWINGIZIA BOB JR ZAIDI YA MILIONI 300

STAA wa Bongo Fleva,mbaye ni mmliki wa studio ya Sharobaro records,Bob Junior hivi karibuni aliandaa sherehe ya miaka 8 tangu kuanzishwa kwa studio yake ambayo ilianzishwa chini ya wasanii watatu ambao ni Bob Junior mwenyewe, Ally Kiba na Hakeem 5, kama unakumbuka studio hiyo ilihusika kutengeneza album ya kwanza ya Staa wa Bongo Fleva,Diamond Platnumz, album ya kwanza ya msanii Top C na studio hiyo pia imetoa wasanii kibao.

Bob Junior amefunguka mengi ikiwemo changamoto alizopitia kwa miaka...

 

11 years ago

GPL

SHAROBARO AFUMWA NA MKE WA MTU NDANI YA GARI BOVU

Na Waandishi Wetu
SHABASHIII! Arobaini (40) za mke wa mtu zimetimia baada ya kunaswa ndani ya gari akifanya uzinifu na kijana mmoja mtanashati ‘Sharobaro’ aliyejitambulisha kwa jina la Athumani (26) maeneo ya Bamaga Mwenge, jijini Dar. Sharobaro baada ya kufumwa na mke wa mtu. Tukio hilo lilitokea usiku wa manane Februari 4, baada ya mke  huyo aliyetambulika kwa  jina moja la Husna na sharobaro wake...

 

10 years ago

GPL

MDOSI AMFANYIA MBAYA DEREVA WAKE

Chande abdallah na deogratius mongela Mdosi mmoja ambaye ni bosi wa kampuni moja ya kusafirisha mafuta jijini Dar aliyefahamika kwa jina la Jetti anasakwa na polisi kwa RB; CHA/RB/5871/2015 SHAMBULIO LA MWILI akidaiwa kumfanyia kitu mbaya deveva wake aitwaye Deogratius.  Soma zaidi===>http://bit.ly/1enyBms

 

9 years ago

GPL

BOSI AMFANYIA UMAFIA HAUSIGELI WAKE!

UMAFIA wa kutisha! Dada mmoja aliyefahamika kwa jina la Mariamu mkazi wa Mwananyamala jijini Dar, amefanyiwa umafia kama siyo unyama wa kutisha na bosi wake aliyekuwa akimfanyia kazi za ndani.  Mariamu akiwa na majeraha mwilini baada ya kujeruhiwa na bosi wake. Mariam aliliambia gazeti hili juzi kuwa, tukio hilo lilitokea usiku wa Jumapili ya Septemba 13, mwaka huu nyumbani kwa bosi wake huyo aitwaye David maeneo ya Kinondoni...

 

11 years ago

GPL

KAJALA AMFANYIA BONGE LA BETHIDEI MWANAE PAULA

  Kibao cha Shule ya Msingi Sinza ilipofanyika sherehe hiyo. Kajala akizungumza jambo katika shule hiyo ya watoto walemavu.   Keki ya bethidei ya…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani