Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHAROBARO, HAUSIGELI LIVE

Issa Mnally na Richard Bukos
KIJANA mmoja mtanashati, aliyefahamika kwa jina la Faraja Adam mkazi wa Makongo jijini Dar es Salaam, hivi karibuni alinusurika kipigo kutoka kwa wakazi wa Mabibo Jeshini baada ya kukutwa sebuleni kwa mpangaji wa nyumba moja aliyefahamika kwa jina la Rhobi Chacha. Majirani wa mpangaji huyo waliliambia gazeti hili kwamba walimuona kijana huyo akiambaaambaaa na ukuta wa nyumba hiyo kisha kuingia ndani...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

SHAROBARO AMFANYIA FUJO DK. MAGUFULI...

Richard Bukos, Kilimanjaro Wahenga walisema utakiona cha mtema kuni! Ndivyo ilivyomtokea kijana anayedaiwa ndiye sharobaro maarufu eneo la Himo katika Jimbo la Vunjo, Kilimanjaro aliyejitambulisha kwa jina la Steven Charles baada ya kumfanyia fujo mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Pombe Magufuli katika jimbo hilo wakati akinadi sera zake. Kijana huyo akiwa mikononi mwa dira. Katika tukio hilo...

 

11 years ago

Dewji Blog

10 years ago

GPL

SHAROBARO NUSURA ‘ABONYEZWE KIZENJI’!

Sharobaro huyo akiwa amelala chini hajielewi. Stori: Dustan Shekidele, Moro Noma sana! Kijana mmoja ‘sharobaro’ ambaye jina halikufahamika amenusurika kufanyiwa kitu mbaya ‘kubonyezwa kizenji’ na wahuni baada ya kupiga mitungi na kuwa chakari. Sharobaro huyo akiwa kajitapikia chini na akiwa amelala huku akiwa hata hajitambui. Tukio hilo la kusikitisha lilijiri juzikati ambapo jamaa huyo alikutwa kwenye...

 

11 years ago

CloudsFM

SHAROBARO MUSIC YAMWINGIZIA BOB JR ZAIDI YA MILIONI 300

STAA wa Bongo Fleva,mbaye ni mmliki wa studio ya Sharobaro records,Bob Junior hivi karibuni aliandaa sherehe ya miaka 8 tangu kuanzishwa kwa studio yake ambayo ilianzishwa chini ya wasanii watatu ambao ni Bob Junior mwenyewe, Ally Kiba na Hakeem 5, kama unakumbuka studio hiyo ilihusika kutengeneza album ya kwanza ya Staa wa Bongo Fleva,Diamond Platnumz, album ya kwanza ya msanii Top C na studio hiyo pia imetoa wasanii kibao.

Bob Junior amefunguka mengi ikiwemo changamoto alizopitia kwa miaka...

 

11 years ago

GPL

SHAROBARO AFUMWA NA MKE WA MTU NDANI YA GARI BOVU

Na Waandishi Wetu
SHABASHIII! Arobaini (40) za mke wa mtu zimetimia baada ya kunaswa ndani ya gari akifanya uzinifu na kijana mmoja mtanashati ‘Sharobaro’ aliyejitambulisha kwa jina la Athumani (26) maeneo ya Bamaga Mwenge, jijini Dar. Sharobaro baada ya kufumwa na mke wa mtu. Tukio hilo lilitokea usiku wa manane Februari 4, baada ya mke  huyo aliyetambulika kwa  jina moja la Husna na sharobaro wake...

 

9 years ago

Bongo5

Kaeni tayari Sharobaro Records inakuja kuleta mapinduzi — Bob Junior

Mtayarishaji wa muziki na msanii, Bob Junior, amesema ujio wa kazi za wasanii wa label yake ‘Sharobaro Records’ utakuja kuleta mapinduzi katika muziki. Bob Junior ameiambia Bongo5 kuwa, tayari ana wasanii watano ambao anaamini vipaji vyao vitaleta changamoto katika muziki wa Bongo Flava. “Sharobaro Records ni kazi nyingi zinakuja, hasa hasa tuna wasanii 5 ambao […]

 

11 years ago

CloudsFM

SHAROBARO RECORDS YATIMIZA MIAKA 8,WAANZILISHI WALIKUWA BOB JUNIOR, ALLY KIBA NA HAKEEM 5

Rais wa Masharobaro Bob Jr, Mr Chocolate Flava alifanya shoo ya maadhimisho ya miaka 8 tangu kuanzishwa kwa studio hiyo iliyopo Magomeni Mapipa. Kulikua na namba kubwa ya mahudhurio ya mashabiki kutoka kona zote Bongo na kufurahia show kali za wasanii wengi wa sharobaro pamoja na baadhi ya wasanii waliowahi kurekodi katika studio hiyo, Barnaba Boy Classic, alikuwepo, Spince Seseme na Linex Sunday Mjeda.
Baada ya shoo Clouds fm ilikaa na mr Bob Junior akafunguka mengi aliyopitia wakati...

 

11 years ago

Bongo5

Roma atimiza ahadi ya kufanya wimbo Sharobaro Rec, wimbo unaitwa ‘Maumivu’

Hitmaker wa Mathematics Roma Mkatoliki ametmiza ahadi yake ya kwenda kufanya wimbo katika studio za Sharobaro Records chini ya producer Bob Junior aliyoweka wakati wa kombe la dunia kama Brazil ingefungwa na Ujerumani. Katika studio hiyo, Roma amerekodi wimbo uitwao ‘Maumivu’. Roma na producer Bob Junior wakiwa studio Akizungumza na Bongo5 leo, Bob Junior amesema […]

 

9 years ago

GPL

HAUSIGELI AJINYONGA!

Dustan Shekidele, Moro Mfanyakazi wa ndani ‘hausigeli’ mmoja mkoani hapa aliyefahamika kwa jina moja la Rehema (16) ambaye alifanya kazi hiyo kwa wiki moja, akimshikia mwenzake aliyekwenda kijijini kwao lfakara wilayani Kilombero kumuuguza mama yake, amejifungia chumbani kisha kujinyonga kwa kutumia kanga....Soma zaidi===>http://goo.gl/CN1Ati ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani