Sheikh Farid, wenzake wagoma kushuka
KIONGOZI wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (Jumiki), Shekhe Farid Hadi Ahmed (45) na wenzake, jana waligoma kushuka kwenye gari la Magereza kwenda kusikiliza kesi ya ugaidi inayowakabili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Sheikh Farid apanda kizimbani Kisutu
11 years ago
Mtanzania18 Sep
Ulinzi mkali kesi ya Sheikh Farid

Kiongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI), Sheikh Farid Hadi Ahmed
NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM
ULINZI mkali wa polisi na mbwa umetawala Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jana, wakati kesi inayomkabili Kiongozi wa Jumuiya za Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI), Sheikh Farid Hadi Ahmed (43) na wenzake ilipokuwa ikitajwa.
Askari wenye sare na wale waliovaa kiraia walitanda kila kona ya mahakama hiyo kwa ajili ya kuhakikisha usalama unakuwapo.
Ndugu wa...
10 years ago
Tanzania Daima25 Nov
Maombi ya Sheikh Farid yaanza kusikilizwa
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, imeanza kusikiliza maombi ya Kiongozi wa Jumuiya za Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (Jumiki), Sheikh Farid Hadi Ahmed (43) na wenzake yaliyoomba Mahakama ipitie kesi...
11 years ago
Mtanzania07 Aug
Sheikh Farid azua tafrani mahakamani

Kiongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI), Sheikh Farid Hadi Ahmed
NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM
KIONGOZI wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI), Sheikh Farid Hadi Ahmed (43), jana amezua tafrani mahakamani baada ya kuhoji kwanini anashitakiwa Tanzania Bara kwa ugaidi wakati Zanzibar ni nchi ambayo ina Mahakama Kuu.
Sheikh Farid alidai hayo jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam mbele ya Hakimu Mkazi, Hellen...
10 years ago
Mwananchi12 May
Sheikh Farid wa uamsho aibua mapya mahakamani
10 years ago
Vijimambo31 Dec
Hakimu ajitoa kesi ya kina Sheikh Farid,

Hakimu Mkazi wa Mahakama Kisutu jijini Dar es Salaam, Hellen Riwa, amejitoa kusikiliza kesi ya ugaidi inayomkabili kiongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu (Jumiki) visiwani Zanzibar, Sheikh Farid Ahmed na wenzake 21.
Hakimu Riwa amechukua hatua hiyo wakati upande wa washtakiwa ukiitaka mahakama imbadilishe kwa kutokuwa na imani naye.
Oktoba 1, mwaka huu, Hakimu Riwa alitoa...
11 years ago
Habarileo23 Sep
Mahabusu wagoma kushuka garini
MAHABUSU wanaokabiliwa na kesi za mauaji kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha jana waligoma kushuka kwenye basi la Magereza kwa madai kwamba kesi zao zinachukua muda mrefu na upelelezi hauishi. Kutokana na mgomo huo, walirudishwa kwenye Gereza la Kisongo mkoani hapa.
10 years ago
Habarileo13 May
Wagoma kushuka kwenye karandinga
WATUHUMIWA 12 wa kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha katika Mgodi wa Dhahabu wa Resolute jana waligoma kushuka kwenye karandinga la Polisi wakati walipowasili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Wilaya ya Tabora kwa kile walichodai kuwa kesi yao ambayo imedumu kwa miaka saba imekuwa inapigwa danadana na Mahakama hiyo.
10 years ago
Mtanzania12 May
Kina Sheikh Faridi wagoma kula gerezani
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
KIONGOZI wa Uamsho na Jumuiya ya Maimamu Zanzibar, Sheikh Faridi Hadi Ahmed na wenzake 22 wanaokabiliwa na tuhuma za ugaidi wamegoma kula gerezani.
Washtakiwa hao wamegoma kula na wamedai mahakamani kwamba hata waitwe wahaini hawawezi kugeuza madai yao ya kutaka Zanzibar ipate mamlaka yake kamili.
Hayo yalidaiwa jana na washtakiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Mkazi, Renatus Rutta, wakati kesi yao ilipokuwa inatajwa.
Upande wa Serikali...