Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wagoma kushuka kwenye karandinga

WATUHUMIWA 12 wa kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha katika Mgodi wa Dhahabu wa Resolute jana waligoma kushuka kwenye karandinga la Polisi wakati walipowasili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Wilaya ya Tabora kwa kile walichodai kuwa kesi yao ambayo imedumu kwa miaka saba imekuwa inapigwa danadana na Mahakama hiyo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Mahabusu wagoma kushuka garini

MAHABUSU wanaokabiliwa na kesi za mauaji kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha jana waligoma kushuka kwenye basi la Magereza kwa madai kwamba kesi zao zinachukua muda mrefu na upelelezi hauishi. Kutokana na mgomo huo, walirudishwa kwenye Gereza la Kisongo mkoani hapa.

 

10 years ago

Habarileo

Sheikh Farid, wenzake wagoma kushuka

Kiongozi wa Jumiki, Shekhe Farid Hadi AhmedKIONGOZI wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (Jumiki), Shekhe Farid Hadi Ahmed (45) na wenzake, jana waligoma kushuka kwenye gari la Magereza kwenda kusikiliza kesi ya ugaidi inayowakabili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam.

 

11 years ago

GPL

Mashabiki wawatisha Yanga, wahofia kushuka kwenye gari

Wachezaji wa Yanga. Na Khadija Mngwai
WACHEZAJI wa Yanga, juzi waliogopa kushuka kwenye gari ili kuanza mazoezi kutokana na kuwahofia mashabiki wao.
Yanga, juzi jioni ilitua kwenye Uwanja wa Bora Kijitonyama kwa ajili ya mazoezi lakini walitumia zaidi ya dakika 10 kuwa ndani ya gari kwa kuhofia kupigwa na mashabiki. Habari zinasema kuwa Yanga walipata taarifa kuwa kama wakishuka mashabiki wa timu hiyo watawapiga kutokana na...

 

10 years ago

Bongo5

Nikki Mbishi awashirikisha Jaydee, Songa na One kwenye ‘Kupanda na Kushuka’

Rapper wa Tamaduni Muzik, Nikki Mbishi anatarajia kuachia wimbo mpya ‘Kupanda na Kushuka’ aliowashirikisha Lady Jaydee, Songa na One the Incredible. Nikki amesema ameamua kuwashirikisha wasanii hao ili kupata kitu tofauti kama muziki unavyohitaji. “Unajua muziki sometimes unahitaji vitu fulani fulani ili uwe mzuri zaidi na hii ni kawaida ya muziki ulivyo. Kwahiyo tukaona tukifanya […]

 

11 years ago

Michuzi

majambazi yashambulia kwa risasi karandinga la magereza jijijni dar es salaam leo, shuhuda asimulia kilichotokea

Kwa mujibu wa mdau aliyeshuhudia tukio lote hilo live anatupasha:Ishu ilikuwa hivi, kuna gari ndogo ilikuwa inatokea njia ya Kawe kwenda Shopperz au ilikuwa inaelekea mjini kwa kutumia hii njia ya Mwai Kibaki road. Hiyo gari ndogo ilipofika Maeneo ya Million Hairs Salon jirani kabisa na Regency park hotel ikakwama kwenye foleni ndefu sana. Nyuma ya hiyo gari ndogo kulikuwa na magari mengine yameunga hiyo foleni.Gari ya magereza ikiwa na wafungwa ilikuwa ni kama ya sita au ya nne nyuma ya...

 

10 years ago

Habarileo

Bei ya umeme kushuka

SERIKALI imesema inatarajia kuondoa mitambo yote inayotumia mafuta katika kuzalisha umeme ifikapo Januari mwakani. Hali hiyo itaokoa Sh trilioni 1.6 kwa mwaka, lakini pia kuwapa Watanzania umeme wa uhakika na wa gharama nafuu.

 

11 years ago

Habarileo

Bei ya mafuta kushuka

Mkurugenzi Mkuu wa Ewura, Felix NgamlagosiMAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imeanza mchakato wa kutafuta namna ya kupunguza gharama za uingizaji wa mafuta nchini. Hatua hiyo itawezesha pia bei ya nishati hiyo nchini kushuka.

 

10 years ago

Habarileo

Umeme kushuka bei

Waziri wa Nishati na Madini, George SimbachaweneBAADA ya kushuka kwa bei ya mafuta nchini, wakati wowote kuanzia leo Shirika la Umeme Nchini (Tanesco) linatarajiwa kutangaza bei mpya za umeme ambazo zitakuwa na unafuu kwa wananchi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Bei kushuka:Nigeria yatikisika

Waziri wa uchumi wa Nigeria, Ngozi Okonjo Iweala amewasilisha bajeti ili kuchukua hatua kwa kushuka bei ya mafuta kimataifa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani