Mahabusu wagoma kushuka garini
MAHABUSU wanaokabiliwa na kesi za mauaji kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha jana waligoma kushuka kwenye basi la Magereza kwa madai kwamba kesi zao zinachukua muda mrefu na upelelezi hauishi. Kutokana na mgomo huo, walirudishwa kwenye Gereza la Kisongo mkoani hapa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo13 May
Wagoma kushuka kwenye karandinga
WATUHUMIWA 12 wa kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha katika Mgodi wa Dhahabu wa Resolute jana waligoma kushuka kwenye karandinga la Polisi wakati walipowasili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Wilaya ya Tabora kwa kile walichodai kuwa kesi yao ambayo imedumu kwa miaka saba imekuwa inapigwa danadana na Mahakama hiyo.
10 years ago
Habarileo09 Jun
Sheikh Farid, wenzake wagoma kushuka
KIONGOZI wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (Jumiki), Shekhe Farid Hadi Ahmed (45) na wenzake, jana waligoma kushuka kwenye gari la Magereza kwenda kusikiliza kesi ya ugaidi inayowakabili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-M4fbdxsgeow/XnMgs0ZXNiI/AAAAAAALkZI/51Z7-xaeHlgsfq7QU3Iu8AAEDa1Y6g3AQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-19%2Bat%2B10.22.02%2BAM.jpeg)
JESHI LA MAGEREZA LASITISHA KUTEMBELEWA KWA WAFUNGWA NA MAHABUSU GEREZANI, MAHABUSU WAPYA KUPOKELEWA KWA KUHAKIKI AFYA ZAO
Akizungumza na MICHUZI BLOG, Msemaji wa jeshi la magereza SSP. Amina Kavirondo amesema kuwa baada ya kupimwa mahabusu wapya na kujiridhisha kuwa wako salama kwa maana hata polisi nao watakuwa wamechukuwa hatua kwa mahabusu hao.
"Na sisi watakapofika kwenye himaya ya kwetu tutachukua hatua ya kuhakikisha...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yKWLMefqYByjRN4389TX3KsJgcOFbyI4bxGH1NefARP6C*nBy6djH91f1M5wwFH06VHLc7bZ1Z01wcGvuXv2K3HsW41wFpne/rado.jpg?width=650)
MAFUFU AMSHUSHA RADO GARINI
10 years ago
Bongo Movies01 Feb
Visa na Mikasa:Mafufu Amshusha Rado Garini!!
MWIGIZAJI Jimmy Mafufu amenaswa akimshusha kwa nguvu mwigizaji mwenzake Rado alipomuomba lifti ya kwenda Kariakoo wakitokea Mwanyamala, Demag Hotel.
Paparazi wa GPL alimshuhudia Mafufu akimshusha kwa nguvu Rado kwenye gari lake aina ya Toyota Passo kwa kile alichodai hayupo tayari kumpakiza kwani hajui kwenye gari hilo jipya ameweka nini.
“Shukashuka, bora apande mwingine kuliko wewe,” alisikika Jimmy huku Rado akitii amri bila shuruti na kuondoka.
Picha: Mwigizaji Rado akiwa katika...
11 years ago
Michuzi17 Apr
hatimaye Mwenye simu iliyosahauliwa garini kapatikana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UeiAtiGk5fk8b8Dgv0ZEQGsEUVAjAEOnmu4Lc93J9Z09sssvToKOfEqSIP7vvYzPV9Yj30CWWPbgnzxCvXa5XDoQLsMZ69QN/hitoria.jpg)
MAZISHI YA BILIONEA WA MAPENZI GARINI BUKOBA HISTORIA!
10 years ago
Bongo Movies20 May
Picha za Stan Bakora Akibanjuka Garini Zaleta Balaa, Kitale Aingilia Kati!
Picha za Msanii wa vichekesho anaeibukia, Stan Bakora akiwa anabanjuka na mwanamke ndani ya gari zimesambaa kwa kasi mtandaoni na kupelekea msanii mwenzake, Kitale “Mkude Simba” ambaye ndiye aliemtoa kisanii kuingilia kati na kumshukia Mateja Musa ambaye anadaiwa kuziweka picha hizo mtandaoni.
“@matejamusa wewe ni Ndugu yangu lakini leo umenikosea kwa ulichokiandika kwenye acount yko ya insta kuhusu @stanbakora umenikosea plz! naomba ufute zile picha haraka nakupigia cm yng upokei sio poa...
10 years ago
Uhuru Newspaper04 Sep
MAUAJI YA MAHABUSU
Mazito yaibuka tena
MOI yazuia jalada la marehemu, yataka malipo Familia, Polisi waendelea wavutana NA MWANDISHI WETU
MAITI ya mtuhumiwa aliyedaiwa kupigwa na kusababisha kifo chake akiwa mahabusu, imeshindwa kufanyiwa uchunguzi ili kutoa fursa kwa ndugu kuendelea na taratibu za maziko.
Liberatus Damian, alifariki dunia katika Hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kufikishwa kwa matibaabu akiwa hoi kwa kile kinachodaiwa kupigwa akiwa mahabusu katika Kituo cha Polisi Stakishari, Dar es...