Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha za Stan Bakora Akibanjuka Garini Zaleta Balaa, Kitale Aingilia Kati!

Picha za Msanii wa vichekesho anaeibukia, Stan Bakora akiwa anabanjuka na mwanamke ndani ya gari zimesambaa kwa kasi mtandaoni  na kupelekea msanii mwenzake, Kitale “Mkude Simba”  ambaye ndiye aliemtoa kisanii kuingilia kati na kumshukia Mateja Musa ambaye anadaiwa kuziweka picha hizo mtandaoni.

“@matejamusa wewe ni Ndugu yangu lakini leo umenikosea kwa ulichokiandika kwenye acount yko ya insta kuhusu @stanbakora umenikosea plz! naomba ufute zile picha haraka nakupigia cm yng upokei sio poa...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Bongo5

Video: Stan Bakora aachia Parody ya ‘Show Me’ ya Harmonize na Rich Mavoko

Show Me ya Harmonize na Rich Mavoko ni moja kati ya nyimbo ambazo zimeonekana kufanya vizuri katika kipindi kifupi hasa video yake ikionekana kupendwa zaidi kutokana na kusheheni warembo kibao wanaosakata rumba na viuno vya kufa mtu.

Mchekeshaji maarufu nchini, Stan Bakora naye ni mmoja ya watu waliovutiwa na wimbo huo na kuamua kuufanyia parody ya dakika moja na nusu kwa ajili ya kuuongezea nguvu zaidi wimbo huo. Tazama video hiyo hapa chini.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!!...

 

11 years ago

Michuzi

KINANA AINGILIA KATI MGOGORO SUGU WA ARDHI KATI YA WANANCHI NA MWENKEZAJI WILAYANI SUMBAWANGA MKOANI RUKWA

Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana ameingilia kati Mgogoro wa ardhi uliokuwa ukifukuta kwa muda mrefu katika kijiji cha Mawenzusi,wilaya ya Sumbawanga mjini.Mgogoro huo uliohusu Wananchi na anayedaiwa kuwa Mwekezaji inaelezwa kuwa maamuzi yalikwishatolewa na Mh.Rais Jakaya Kikwete,kuwa Wananchi wapewe kipao mbele na Mwekezaji apewe kiasi,lakini mpaka sasa hakuna lililotekelezwa kufuatia Watendaji waliokuwa wamepewa dhamana ya kulisimamia jambo hilo kusua sua na hatimaye kutopatiwa...

 

10 years ago

Habarileo

Kandoro aingilia kati sakata la mjamzito

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas KandoroSAKATA la unyanyasaji aliofanyiwa mjamzito Judith Komba siku ya kujifungua katika hospitali ya Rufaa kitengo cha wazazi cha Meta, limechukua sura mpya baada ya Mkuu wa mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro kuagiza wauguzi waliokuwa zamu siku ya tukio wachukuliwe hatua stahiki.

 

11 years ago

Mwananchi

Kikwete aingilia kati vita ya urais CCM

>Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete ameingilia kati vita ya kuwania urais mwaka 2015 kwa kukemea kwa baadhi ya makada wa chama hicho kuanza kampeni mapema.

 

11 years ago

Mwananchi

Mangu aingilia kati sakata la TRA, Polisi

Sakata la wakwepa kodi mkoani Kagera limechukua sura mpya baada ya Mkuu wa Polisi nchini (IGP), Ernest Mangu kumuagiza Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, George Mayunga kuwachunguza na kuwatia mbaroni askari wanaotuhumiwa kushirikiana na wafanyabiashara wa pombe kali maarufu viroba wanaokwepa kodi.

 

11 years ago

Mwananchi

Sadiki aingilia kati ujenzi kituo cha basi

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiki ametoa siku 14 kwa Manispaa ya Kinondoni kukamilisha kituo cha muda cha daladala kitakachotumika kama mbadala wa Kituo cha Daladala cha Ubungo.

 

11 years ago

GPL

MAMA LORAA AINGILIA KATI PENZI LA ISABELA, KALAMA!

MAMA mlezi wa wasanii wa filamu Bongo, Catherine Ambakisye ‘Mama Loraa’ ameingilia kati penzi la wasanii wawili, Isabela Mpanda na Luteni Kalama lililovunjika na kuwapatanisha. Wasanii wa Bongo Fleva, Isabela Mpanda na Luteni Kalama wakiwa katika pozi. Isabela amethibitisha kuwa ni kweli wamewekwa kiti moto na Mama Loraa ambapo walikubali kurudiana na kudai ni onyo la mwisho kwa Kalama na kama atarudia tabia za...

 

11 years ago

GPL

SNURA MUSHI AINGILIA KATI BIFU LA WEMA, KAJALA

Na Chande Abdallah na Mayasa Mariwata
MSANII wa filamu na muziki, Snura Mushi ameingilia kati ugomvi wa wasanii wenzake, Wema Sepetu na Kajala Masanja na kuwaagiza wamalize tofauti zao. Msanii wa filamu na muziki, Snura Mushi a.k.a mama majanga. Wasanii hao ambao wameingia kwenye bifu la kufa mtu kufikia hatua ya kuanikana kwenye vyombo vya habari huku chanzo kikubwa kikitajwa ni shilingi milioni 13 ambazo Wema alimlipia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani