Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAZISHI YA BILIONEA WA MAPENZI GARINI BUKOBA HISTORIA!

Stori: Erick Evarist
ACHANA na mazingira ya kifo cha Bilionea maarufu wa Bukoba, Leonard Mtensa aliyefariki saa chache baada ya kufanya mapenzi ndani ya gari kuacha gumzo, gumzo lingine lilitokea wakati wa mazishi yake ambayo yalihudhuriwa na wananchi wengi kutoka ndani na nje ya mkoa, Risasi Mchanganyiko linakupa mkanda kamili. Msafara wa magari kuelekea kwenye mazishi. Tukio hilo la mazishi lilijiri Jumamosi iliyopita...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MAZISHI MKE WA BILIONEA MIL. 200

Hii ndiyo ajali iliyoondoa uhai wa Carista Charles Makoi (52). Stori: Joseph Ngilisho, ARUSHA/UWAZI
MAZISHI ya Carista Charles Makoi, 52, (pichani), ambaye alikuwa mke wa mfanyabiashara bilionea jijini hapa, Charles Makoi yamefanyika huku shilingi milioni 200 zikisemekana kuteketea kwa bajeti. Mfanyabiashara maarufu jijini hapa, Patrick Ngiloi ambaye ni mmiliki wa vituo vya mafuta vya Kampuni ya Panone ndiye aliyekuwa...

 

10 years ago

Vijimambo

MAZISHI MKE WA BILIONEA MIL. 200, WAOMBOLEZAJI WALA, WANYWA, WASAZA

Baadhi ya wananchi wakishuhudia ajali iliyosababisha kifo cha Carista Charles Makoi.Kwa mujibu wa chanzo makini ndani ya kamati hiyo, siku ya kwanza tu baada ya kifo hicho, saa tatu mbele zilichangwa zaidi ya shilingi milioni 75 na baada ya hapo ziliendelea kuchangwa hadi kufikia lengo.Chanzo kilisema kuwa, wachangaji wakubwa walikuwa wafanyabiashara wakubwa kutoka mikoa ya kaskazini mwa Tanzania, ikiwemo Arusha, Kilimanjaro na Tanga.“Wengi waliowahi kuchanga ni wafanyabiashara wa mikoa hiyo...

 

10 years ago

Michuzi

YAMOTO BAND YAWEKA HISTORIA BUKOBA

Na Faustine Ruta, Bukoba.BENDI inayokuja kasi hapa nchini, Yamoto Band" kundi la vijana wenye vipaji vipya usiku wa kuamkia leo imefanya kufuru ndani ya Ukumbi wa Burudani wa "Lina's Night Club" uliopo hapa Mjini Bukoba. Ambao waliimba nyimbo zao matata za 'Najuta' ya Yamoto Band na nyingine zinazounda Album zao na kuhudhuriwa na umati wa Mashabiki ndani ya ukumbi huo na kuwafanya mashabiki muda wote kuvamia jukwaa kwa Makamuzi hayo ya kufa Mtu. Yamoto Band ambao ndio kwa mara ya kwanza...

 

10 years ago

Vijimambo

MAZISHI YA SAMUEL LUANGISA,MBUNGE NA MEYA WA ZAMANI WA BUKOBA MAJONZI YATAWALA

Mazishi ya Mpigania Uhuru wa Tanganyika na Mbunge wa Bukoba na Meya wa Manispaa hiyo wa zamani mzee Samuel Luangisa  yafanyika kijijini kwake Kitendaguro nje kidogo ya mji wa Bukoba.Mkongwe huyo wa siasa alikutwa na mauti wakati akiwa kwenye matibabu nchini Marekani. Mzee Luangisa alifariki siku ya tarehe 27 mwezi wa 5 na misa na kumuaga vilifanyika siku ya tarehe 2. Picha kwa hisani ya Harakanews.com

 

10 years ago

Michuzi

MATUKIO YA MAZISHI YA MHE. SAMUELI NTAMBALA LUANGISA LEO JUMATANO JUNI 3, 2015 KITENDAGURO-BUKOBA.

Na Faustine Ruta, Bukoba
Mamia ya Waakazi wa Mji wa Bukoba na Vitongoji vyake wakiwemo na Wageni mbalimbali kutoka nje ya Mkoa huu na nje ya Nchi wamejitokeza kwa wingi kumzika marehemu Samuel Luangisa leo Jumatano juni 3, 2015 nyumbani kwake Kitendaguro nje kidogo na Mji wa Bukoba. Marehemu Samuel Luangisa ni miongoni mwa waasisi wa Taifa na katika vipindi tofauti alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Ziwa Magharibi(Kagera) Mbunge na Meya wa Manispaa ya Bukoba pamoja na nyadhifa nyingine.
Mbunge wa muleba...

 

10 years ago

Habarileo

Mahabusu wagoma kushuka garini

MAHABUSU wanaokabiliwa na kesi za mauaji kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha jana waligoma kushuka kwenye basi la Magereza kwa madai kwamba kesi zao zinachukua muda mrefu na upelelezi hauishi. Kutokana na mgomo huo, walirudishwa kwenye Gereza la Kisongo mkoani hapa.

 

10 years ago

GPL

MAFUFU AMSHUSHA RADO GARINI

Stori: Hamida Hassan/Risasi MWIGIZAJI Jimmy Mafufu amenaswa akimshusha kwa nguvu mwigizaji mwenzake Rado alipomuomba lifti ya kwenda Kariakoo wakitokea Mwanyamala, Demag Hotel. Mwigizaji wa filamu Bongo, Jimmy Mafufu. Paparazi wetu alimshuhudia Mafufu akimshusha kwa nguvu Rado kwenye gari lake aina ya Toyota Passo kwa kile alichodai hayupo tayari kumpakiza kwani hajui kwenye gari hilo jipya ameweka nini.
“Shukashuka,...

 

11 years ago

Michuzi

hatimaye Mwenye simu iliyosahauliwa garini kapatikana

Nashukuru sana  kwa msaada wako.Wiki iliyopita niliweka tangazo langu humu nikiomba msaada wa kumpata dada aliyesahau simu yake ndani ya gari langu,wadau walitoa mawazo mbalimbali ya namna ya kumpata huyo dada. Kuna mdau alinishauri nitoe line yake(iliyofungwa) na niweke line nyingine,nimefanya hivyo na nikampata rafiki yake akanieleza wapi mama yake anapatikana. Bahati nzuri namfahamu mama huyo,hivyo nimeomba namba ya huyo mama kwa watu ,na nimeongea naye na wakati wowote nitaikabidhi simu...

 

10 years ago

Bongo Movies

Visa na Mikasa:Mafufu Amshusha Rado Garini!!

MWIGIZAJI Jimmy Mafufu amenaswa akimshusha kwa nguvu mwigizaji mwenzake Rado alipomuomba lifti ya kwenda Kariakoo wakitokea Mwanyamala, Demag Hotel.

Paparazi wa GPL  alimshuhudia Mafufu akimshusha kwa nguvu Rado kwenye gari lake aina ya Toyota Passo kwa kile alichodai hayupo tayari kumpakiza kwani hajui kwenye gari hilo jipya ameweka nini.


“Shukashuka, bora apande mwingine kuliko wewe,” alisikika Jimmy huku Rado akitii amri bila shuruti na kuondoka.

Picha: Mwigizaji Rado akiwa katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani