Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


YAMOTO BAND YAWEKA HISTORIA BUKOBA

Na Faustine Ruta, Bukoba.BENDI inayokuja kasi hapa nchini, Yamoto Band" kundi la vijana wenye vipaji vipya usiku wa kuamkia leo imefanya kufuru ndani ya Ukumbi wa Burudani wa "Lina's Night Club" uliopo hapa Mjini Bukoba. Ambao waliimba nyimbo zao matata za 'Najuta' ya Yamoto Band na nyingine zinazounda Album zao na kuhudhuriwa na umati wa Mashabiki ndani ya ukumbi huo na kuwafanya mashabiki muda wote kuvamia jukwaa kwa Makamuzi hayo ya kufa Mtu. Yamoto Band ambao ndio kwa mara ya kwanza...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

UZINDUZI YAMOTO BAND: WEMA AACHA HISTORIA

Stori:Shani Ramadhani, Issa Mnally na Gabriel Ng’osha
“MADAM...Madam...Madam...” ndizo kelele zilizosikika wakati Beutiful Onyinye, Wema Sepetu ‘Madam’ alipokuwa akimtunza fedha nyingi dogo machachari wa Bendi ya Yamoto, Asilahi Isiyaka ‘Dogo Aslay’. Aslay akimwagiwa minoti na Beutiful Onyinye, Wema Sepetu ‘Madam’. Tukio hilo limetokea ndani ya ukumbi wa Dar Live...

 

10 years ago

Michuzi

YAMOTO BAND WATINGA RADIO KASIBANTE 88.5 FM BUKOBA TAYARI KWA SHOW YAO USIKU HUU NDANI YA LINA'S CLUB

Na Faustine Ruta, BukobaKundi zima la Yamoto Band punde walitinga Katika Kituo cha Radio Kasibante 88.5 Bukoba kuongea moja kwa moja na Wakaazi wa Bukoba juu ya Shoo ya yao inayotarajiwa kufanyika Usiku huu katika Ukumbi wa Burudani wa Lina's Night Bukoba. Bendi inayokuja kasi hapa Nchini inayoundwa na Vijana Machachari kama Aslay, Becka, Bella na Maromboso wameteta na Wanabukoba kwamba waje kwa wingi katika Ukumbi huo wa Lina's wajionee walichokuja nacho kipya katika Pasaka hii ya pili...

 

10 years ago

Dewji Blog

Sauti Sol, Skylight Band na Yamoto Band wapagawisha wakazi wa Dar BEAUTY and MUSIC Night!

DSC_0437

Kundi la muziki kutoka nchini Kenya Sauti Sol waking’ara kwenye Red Carpet mwishoni mwa juma kwenye BEAUTY and MUSIC Night uliofanyika kwenye fukwe za Escape One Mikocheni jijini Dar.

DSC_0429

Petit Man (katikati) akishow love na wasanii wa bongo flava waliotumbuiza kwenye usiku huo maalum Kulia ni Mirror na Kushoto ni msanii wa bongo flava Jordan.

DSC_0424

Mwanadada mrembo akishow love mbele ya camera yetu.

DSC_0427

Petit Man Wakuache aking’ara kwenye Red Carpet.

DSC_0434

 Mirror na msanii mwenzake Jordan wakishow love...

 

10 years ago

Dewji Blog

SautiSol, Yamoto Band, Skylight Band na wengine kibao kupamba BEAUTY & MUSIC NIGHT kesho Escape One

#LIPALA DANCE Itachezeka kisawa sawa hapo kesho!

IMG-20140829-WA0001

Tiketi zinapatikana kwenye vituo vifuatavyo

IMG-20140829-WA0002

IMG-20140829-WA0000

 

10 years ago

Mwananchi

China yaweka historia ya Tazara kitabuni

Wizara ya Mambo ya Nje ya China imezindua kitabu chenye kurasa zaidi 270 kinachoelezea historia ya ujenzi wa reli ya Tazara inayounganisha nchi mbili, Tanzania na Zambia.

 

10 years ago

Vijimambo

PAZI REUNION YAWEKA HISTORIA HOUSTON, TIMU YA TANZANIA YAIFUNGA GABON 64 KWA 57

Timu ya mpira wa kikapu ya Tanzania iliyocheza mechi ya mwisho ya kuhitimisha tamasha la Pazi Reunion iliyofanyika siku ya Jumamosi March 14, 2015 na kuhudhuriwa na na Watanzania kutoka kila sehemu ya Marekani.Timu ya Gabon iliyokuja kuunga mkono Pazi Reunion na baadae kucheza mechi ya mpira wa kikapu na timu mchanganyiko ya Tanzania na kufungwa vikapu 64 kwa 57.Mmoja wa waratibu wa Pazi Reunion Vitalis Gunda (kati) akiwashukuru Atiki Matata (kushoto) na Richard Kasesela kwa kuja kushiriki...

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Ujerumani yaweka historia Kombe la Dunia, Goetze aizamisha Argentina

Goli la Mario Goetze katika dakika ya 113 jana limeiwezesha Ujerumani kuchukua ubingwa wa Kombe la Dunia kwa mara ya nne katika uwanja wa Maracana mjini Rio de Janeiro.

 

9 years ago

We Were Not Bribed By Diamond

Yamoto Band


Yamoto Band - We Were Not Bribed By Diamond
AllAfrica.com
Famous Tanzanian band Yamoto has refuted reports that it was "bribed" by Diamond Platnumz to release a dis-track for his ex-girlfriend Wema Sepetu. During an interview with Word Is in Mombasa last week, the young crooners said that it was purely their ...

 

10 years ago

Vijimambo

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani