SHEIKH SHARIF AZUA MAPYA YA URAIS 2015
Sheikh Shariff Matongo akizungumza leo na waandishi wa habari ofisini kwake jijini Dar es Salaam(hawapo pichani)kuhusu ndoto yake ambayo ameoteshwa kuelekea mwaka 2015. Sheikh Sharif Matongo amesema ameoteshwa ndoto ya mwaka 2015 na kupata ushauri kwa mashekh mbalimbali duniani ambavyo vitatokea nchini na viongozi wasipuuze ndoto hiyo. Sharif aliyasema hayo leo ofisini kwake alipokutana na waandishi wa habari...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi20 Mar
Sakata la kampeni za kuwania urais 2015 lazidi kuibua mapya CCM
9 years ago
Raia Tanzania03 Sep
Dk. Slaa azua mapya
SIKU moja baada ya kuibuka hadharani kwa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilbrod Slaa na kufichua kilichosababisha ang’atuke siasa za vyama, tafrani imezuka Makao Makuu ya chama hicho, kuhusu uamuzi wake huo.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, lililotokea jana saa nane mchana, kundi la vijana waliokuwa wamevalia fulana za Chadema lilikwenda ofisini hapo kuutaka uongozi umrejeshe madarakani Dk. Slaa.
Kundi hilo lilijikusanya taratibu...
11 years ago
Mtanzania07 Aug
Sheikh Farid azua tafrani mahakamani
![Kiongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI), Sheikh Farid Hadi Ahmed](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Sheikh-Farid-Hadi-Ahmed.jpg)
Kiongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI), Sheikh Farid Hadi Ahmed
NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM
KIONGOZI wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI), Sheikh Farid Hadi Ahmed (43), jana amezua tafrani mahakamani baada ya kuhoji kwanini anashitakiwa Tanzania Bara kwa ugaidi wakati Zanzibar ni nchi ambayo ina Mahakama Kuu.
Sheikh Farid alidai hayo jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam mbele ya Hakimu Mkazi, Hellen...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mhrng7eeJg0g8vXOg-GNwNJiZ2FGxJA8JmPUe9IaEs1fw5xLkMwTMQ1WzyCPzGMrt0NI6XjYGvGeat6xhj7FVEfa291lIfce/MWINGIRA.jpg?width=650)
ANAYEDAIWA KUZAA NA MWINGIRA AZUA MAPYA
10 years ago
Mwananchi12 May
Sheikh Farid wa uamsho aibua mapya mahakamani
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-AGBPhObOW6E/VZl8iJgKm_I/AAAAAAAHnKU/_6QAAnN4y20/s72-c/unnamed%2B%252825%2529.jpg)
Maalim Seif Sharif Hamad aongoza maziko ya sheikh Alawy bin Omar bin Salim Baalawy, Pemba
![](http://4.bp.blogspot.com/-AGBPhObOW6E/VZl8iJgKm_I/AAAAAAAHnKU/_6QAAnN4y20/s640/unnamed%2B%252825%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-GMTsDcjv9O0/VZl8iHDe1wI/AAAAAAAHnKo/GCBSLsE_83c/s640/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-RTKv-EF7ub4/VZl8iBGBaNI/AAAAAAAHnKQ/de8TGVAJ_NU/s640/unnamed%2B%252829%2529.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-_BFVavjk_84/Vdn0mHgolKI/AAAAAAAAYIE/qzPQCUjPlIU/s72-c/MMGL1355.jpg)
MAALIM SEIF SHARIF HAMAD, ACHUKUA FOMU KUWANIA URAIS WA ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-_BFVavjk_84/Vdn0mHgolKI/AAAAAAAAYIE/qzPQCUjPlIU/s640/MMGL1355.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-PEHTXMA_vyI/Vdn0mponBbI/AAAAAAAAYII/GvesfgUN41o/s640/MMGL1349.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-CQ2mkNw5I-w/VWtA_jiQcOI/AAAAAAAHbA0/ZQB4LwYRqW0/s72-c/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
Maalim Seif Sharif Hamad leo amerejesha fomu ya kugombea Urais wa Zanzibar
![](http://3.bp.blogspot.com/-CQ2mkNw5I-w/VWtA_jiQcOI/AAAAAAAHbA0/ZQB4LwYRqW0/s640/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Dv9J0lhRyGQ/VWtA_6HmImI/AAAAAAAHbBI/JceycW54RSs/s640/unnamed%2B%252814%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi27 Oct
POLISI YAZIMA VURUGU ZANIBAR,NI BAADA YA MAALIM SHARIF HAMAD KUJITANGAZA MSHINDI WA URAIS
![Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad akiongea na wanahabari.](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/F1-7jNh4XurG2TQr89lsukB5BFqIrWvJAj0g7tOIrsekZI9Y4G4Inv9-00KPV4qoTRUTNaTVYT5jEvvg4vXU-vlRlnbpLobd4v7r2JyHldOpKzBmHBFm9ZF_q8wrhQ=s0-d-e1-ft#http://www.habarileo.co.tz/images/resized/images/maalim-seif_210_120.jpg)
WAKATI wakisubiri matokeo ya uchaguzi ya rais huku Tume ya Uchaguzi ikitangaza kura za wagombea wabunge na uwakilishi katika majimbo ya uchaguzi Zanzibar, Jeshi la Polisi limelazimika kuzima fujo na vurugu kutoka kwa wafuasi wa CUF waliotanda mitaa ya Mji Mkongwe na barabara kuu ya Darajani.
Vurugu zimezuka baada ya mgombea wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad kufanya tathmini na kutangaza matokeo ya ushindi wa chama chake katika uchaguzi wa juzi kwa asilimia 52.87.
Maalim...