ANAYEDAIWA KUZAA NA MWINGIRA AZUA MAPYA
![](http://api.ning.com:80/files/mhrng7eeJg0g8vXOg-GNwNJiZ2FGxJA8JmPUe9IaEs1fw5xLkMwTMQ1WzyCPzGMrt0NI6XjYGvGeat6xhj7FVEfa291lIfce/MWINGIRA.jpg?width=650)
Stori: Makongoro Oging na Haruni Sanchawa KESI ya Nabii na Mtume Josephat Elias Mwingira wa Kanisa la Efhata, kudaiwa kuzaa na mke wa Dk. William Morris, Dk. Phillis Nyambi inaendelea kuunguruma katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar ambapo mlalamikiwa huyo wa pili katika shauri hilo amekiri kuzaa nje ya ndoa. Dk. Philis Nyimbi anayedaiwa kuzaa na Nabii Mwingira. Mlalamikiwa huyo, Dk. Phillis Morris Nyambi katika...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Nov
Mtoto anayedaiwa kugeuka nyoka azua kizaazaa Geita
9 years ago
Raia Tanzania03 Sep
Dk. Slaa azua mapya
SIKU moja baada ya kuibuka hadharani kwa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilbrod Slaa na kufichua kilichosababisha ang’atuke siasa za vyama, tafrani imezuka Makao Makuu ya chama hicho, kuhusu uamuzi wake huo.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, lililotokea jana saa nane mchana, kundi la vijana waliokuwa wamevalia fulana za Chadema lilikwenda ofisini hapo kuutaka uongozi umrejeshe madarakani Dk. Slaa.
Kundi hilo lilijikusanya taratibu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vnQhPUwEod1K5l-QztPmn8R-HVlSVGZoZ0876jMXddElW3d-Nq0eZnFea6N7fQRoT0254PJcGmk07X5ShdICtAKIUgBbd1CZ/AskofuKagonza.jpg?width=650)
ALIYEDAI KUZAA NA ASKOFU MAPYA YAIBUKA
10 years ago
GPLSHEIKH SHARIF AZUA MAPYA YA URAIS 2015
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n7ZUxQJY0YtFZ0aCA-rlHTMbepAa1Lgw3nHYoQJiG2e6Fmz0IsbBbTjnY9-v7HLNQn-jltWu89RtGpoUKECb*ggRPKpaPVbU/mwigira.jpg?width=650)
MWINGIRA AGOMA KUPIMA UKIMWI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NvWHU5oq4TbJpCumJe73Df9tWkW1FmxkuLTI6ynQUsHKiStl43FDiWraekOw6hu6dd8ZbCY-Ja2eXcLKTO5ICZgAuPbuwsVn/mzungu.jpg?width=650)
MZUNGU AMBURUZA MWINGIRA KORTINI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iPu63cE5yCAXvl9OVHbtJL-VnvOm106XYxOz-96-a9unRlsfbOGB8k*kQrihvTHCQgkzBZQhT2*PlfDMwFh4aTDpGC5B5jZT/mwingira.jpg)
MSAIDIZI WA MWINGIRA ALIVYOUAWA KWA RISASI
10 years ago
Mtanzania02 Jan
Nabii Mwingira amtabiria Nyalandu ukuu
Na Ratifa Baranyikwa, Dar es Salaam
SIKU chache baada ya kutangaza kujitosa rasmi kuwania ukuu wa dola, Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, ameadhimisha sherehe za mwaka mpya wa 2015 katika Kanisa la Efatha huku Mchungaji wa Kanisa hilo, Josephat Mwingira, akimtabiria ushindi wa safari aliyoianza.
Zaidi Mwingira alisema neno hilo ni la kinabii na kusisitiza hakuna wa kumzuia Nyalandu kwa sababu ukuu umeamriwa juu yake.
Katika ibada hiyo ya mkesha wa mwaka mpya ambayo Nyalandu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/saEvSFZMI0mB496PL87W-Y1Q9tyXsvGdNqeH2Q8bodi6PtK4SqR6LpR6e0CUwzKlp2dATdoDUQNhesyQ9gVqnHVRbkfT9tFr/MWINGIRA.jpg?width=650)
KESI YA MWINGIRA: MAHAKAMA YAJAA WAUMINI WAKE