Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ANAYEDAIWA KUZAA NA MWINGIRA AZUA MAPYA

Stori: Makongoro Oging na Haruni Sanchawa
KESI ya Nabii na Mtume Josephat Elias Mwingira wa Kanisa la Efhata, kudaiwa kuzaa na mke wa Dk. William Morris, Dk. Phillis Nyambi inaendelea kuunguruma katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar ambapo mlalamikiwa huyo wa pili katika shauri hilo amekiri kuzaa nje ya ndoa. Dk. Philis Nyimbi anayedaiwa kuzaa na Nabii Mwingira. Mlalamikiwa huyo, Dk. Phillis Morris Nyambi katika...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mtoto anayedaiwa kugeuka nyoka azua kizaazaa Geita

Mtoto mchanga mwenye umri wa miezi minne amezua kizaazaa cha aina yake, baada ya kuwapo taarifa kwamba mara kadhaa umbo lake limekuwa likigeuka na kuwa nyoka na mwili wake ukiendelea kudhoofu kutokana na kukataa kunyonya maziwa ya mama yake.

 

9 years ago

Raia Tanzania

Dk. Slaa azua mapya

SIKU moja baada ya kuibuka hadharani kwa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilbrod Slaa na kufichua kilichosababisha ang’atuke siasa za vyama, tafrani imezuka Makao Makuu ya chama hicho, kuhusu uamuzi wake huo.

Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, lililotokea jana saa nane mchana, kundi la vijana waliokuwa wamevalia fulana za Chadema lilikwenda ofisini hapo kuutaka uongozi umrejeshe madarakani Dk. Slaa.

Kundi hilo lilijikusanya taratibu...

 

10 years ago

GPL

ALIYEDAI KUZAA NA ASKOFU MAPYA YAIBUKA

Askofu Benson Bagonza Joseph Ngilisho, Arusha LILE sakata la Peace Sylvester (36), mkazi wa Kijenge jijini hapa kudai amezaa watoto wawili na Askofu Benson Bagonza wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Karagwe mkoani Kagera limechukua sura mpya baada ya Peace kuibua mambo mapya. Akizungumza na gazeti hili Jumamosi iliyopita, Peace alisema kuwa, amefuatwa na mtu aliyedai ametumwa na askofu huyo kumpa...

 

10 years ago

GPL

SHEIKH SHARIF AZUA MAPYA YA URAIS 2015

Sheikh Shariff Matongo  akizungumza leo na waandishi wa habari ofisini kwake  jijini Dar es Salaam(hawapo pichani)kuhusu  ndoto yake ambayo ameoteshwa kuelekea mwaka 2015. Sheikh Sharif Matongo amesema ameoteshwa ndoto ya mwaka 2015 na kupata ushauri kwa mashekh mbalimbali duniani ambavyo vitatokea nchini na viongozi wasipuuze ndoto hiyo. Sharif aliyasema hayo leo ofisini kwake alipokutana na waandishi wa habari...

 

11 years ago

GPL

MWINGIRA AGOMA KUPIMA UKIMWI

Stori: Makongoro Oging’ na Richard Bukos
MTUME na Nabii wa Kanisa la Efatha, Joseph Elias Mwingira anayekabiliwa na kesi ya kuzaa na mke wa mtu, hatimaye amefunguka mengi kuhusu madai hayo lakini amekataa kabisa kupima Ukimwi, Risasi Mchanganyiko lina kila kitu. Mtume na Nabii wa Kanisa la Efatha, Joseph Elias Mwingira. Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi - Kisutu, Dar, umebaini kuwa...

 

11 years ago

GPL

MZUNGU AMBURUZA MWINGIRA KORTINI

NABII Josephat Mwingira na mwanamke anayedaiwa kuzaa naye, Dk. Phils Morris Nyimbi wameburuzwa katika Mahakama Kuu, Kitengo cha Ardhi mjini Moshi wakidaiwa kuchukua shamba la ubia kati ya Mzungu Profesa Wade Sapp na Kampuni ya  Global 2000 (2010) International. Nabii Josephat Mwingira. Kwa mujibu wa hati za mashitaka zilizopo katika mahakama hiyo (nakala yake tunayo), kampuni hiyo ipo Dallas/Fort Worth, Marekani na ina...

 

10 years ago

GPL

MSAIDIZI WA MWINGIRA ALIVYOUAWA KWA RISASI

Na Mayasa Mariwata INASIKITISHA! Mchungaji kiongozi wa Kanisa la Efatha, Nabii Josephat Mwingira, mwishoni mwa wiki alimpoteza mkalimani wake, Adson Philip Cheyo aliyeuawa kwa kupigwa risasi katika viwanja vya Mlimani City jijini Dar es Salaam. Mazishi ya ya aliyekuwa msaidizi wa Mchungaji kiongozi wa Kanisa la Efatha, Nabii Josephat Mwingira , marehemu Adson Philip Cheyo yakiendelea.… ...

 

10 years ago

Mtanzania

Nabii Mwingira amtabiria Nyalandu ukuu

Lazaro-Nyalandu1Na Ratifa Baranyikwa, Dar es Salaam
SIKU chache baada ya kutangaza kujitosa rasmi kuwania ukuu wa dola, Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, ameadhimisha sherehe za mwaka mpya wa 2015 katika Kanisa la Efatha huku Mchungaji wa Kanisa hilo, Josephat Mwingira, akimtabiria ushindi wa safari aliyoianza.
Zaidi Mwingira alisema neno hilo ni la kinabii na kusisitiza hakuna wa kumzuia Nyalandu kwa sababu ukuu umeamriwa juu yake.
Katika ibada hiyo ya mkesha wa mwaka mpya ambayo Nyalandu...

 

11 years ago

GPL

KESI YA MWINGIRA: MAHAKAMA YAJAA WAUMINI WAKE

Stori: Richard Bukos na Makongoro Oging'
KESI namba 306/13 inayomkabili Nabii na Mtume wa Kanisa la Ephata la Dar, Josephat Mwingira, ya kuzaa na mke wa mtu, Alhamisi iliyopita iliunguruma mahakamani na kusababisha watu kufurika wanaoaminika kuwa ni waumini wake. Mtume na Nabii Josephat Mwingira. Mlalamikaji katika kesi hiyo, Dokta William Morris alimfungulia kesi Nabii Mwingira katika Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu jijini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani