MWINGIRA AGOMA KUPIMA UKIMWI
![](http://api.ning.com:80/files/n7ZUxQJY0YtFZ0aCA-rlHTMbepAa1Lgw3nHYoQJiG2e6Fmz0IsbBbTjnY9-v7HLNQn-jltWu89RtGpoUKECb*ggRPKpaPVbU/mwigira.jpg?width=650)
Stori: Makongoro Oging’ na Richard Bukos MTUME na Nabii wa Kanisa la Efatha, Joseph Elias Mwingira anayekabiliwa na kesi ya kuzaa na mke wa mtu, hatimaye amefunguka mengi kuhusu madai hayo lakini amekataa kabisa kupima Ukimwi, Risasi Mchanganyiko lina kila kitu. Mtume na Nabii wa Kanisa la Efatha, Joseph Elias Mwingira. Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi - Kisutu, Dar, umebaini kuwa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima09 Jan
‘Wanaume waoga kupima ukimwi’
IMEELEZWA wanaume wanaongoza kwa kutopima virusi vya ukimwi (VVU) kutokana na kutawaliwa na hofu inayosababishwa na kumiliki ‘nyumba ndogo’ nyingi huku wakiwa wahamasishaji wazuri kwa wake na wapenzi wao kutambua...
9 years ago
Dewji Blog02 Dec
Wafanyakazi TBL Group waadhimisha Siku ya UKIMWI duniani kwa kupima afya zao
Mfanyakazi wa Kampuni ya TBL; kiwanda cha kuzalisha pombe kinywaji aina ya Chibuku kilichopo Ubungo Dar es Salaam,Reocatus Hanania akipewa ushauri nasaha na akimsikiliza mtoa ushauri nasaha kutoka Kampuni ya bima ya Afya ya Metropolitan; Aurelia Kanambi kabla ya kupima Virusi vya Ukimwi ikiwa ni sehemu ya maadhimishao ya siku ya Ukimwi Duniani. TBL kila mwaka ambapo Kampuni ya kutengezea bia (TBL) hiyo kila mwaka huadhimisha siku hiyo kwa kualika wataalamu wa afya kwa ajili ya kutoa...
9 years ago
Dewji Blog24 Nov
Wananchi wahimizwa kujitokeza kwa wingi kupima afya zao kuelekea siku ya Ukimwi Desemba
Mwenyekiti Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Kudhibiti UKIMWI nchini Tanzania Dkt. Fatma Mrisho akizungumza na waandishi wa Habari kuhusu Maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani mwaka huu ambayo inaadhimishwa kwa kuwahimiza wananchi kujitokeza kwa wingi kupima afya zao na kupata elimu ya kujikinga na maambukizi ya ugonjwa huo.
Na. Nyakongo Manyama- MAELEZO.
[DAR ES SALAAM] Wito umetolewa kwa wananchi kote nchini kuyatumia maadhimisho ya Siku ya UKIMWI duniani ambayo huadhimishwa kila ifikapo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NvWHU5oq4TbJpCumJe73Df9tWkW1FmxkuLTI6ynQUsHKiStl43FDiWraekOw6hu6dd8ZbCY-Ja2eXcLKTO5ICZgAuPbuwsVn/mzungu.jpg?width=650)
MZUNGU AMBURUZA MWINGIRA KORTINI
10 years ago
Mtanzania02 Jan
Nabii Mwingira amtabiria Nyalandu ukuu
Na Ratifa Baranyikwa, Dar es Salaam
SIKU chache baada ya kutangaza kujitosa rasmi kuwania ukuu wa dola, Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, ameadhimisha sherehe za mwaka mpya wa 2015 katika Kanisa la Efatha huku Mchungaji wa Kanisa hilo, Josephat Mwingira, akimtabiria ushindi wa safari aliyoianza.
Zaidi Mwingira alisema neno hilo ni la kinabii na kusisitiza hakuna wa kumzuia Nyalandu kwa sababu ukuu umeamriwa juu yake.
Katika ibada hiyo ya mkesha wa mwaka mpya ambayo Nyalandu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iPu63cE5yCAXvl9OVHbtJL-VnvOm106XYxOz-96-a9unRlsfbOGB8k*kQrihvTHCQgkzBZQhT2*PlfDMwFh4aTDpGC5B5jZT/mwingira.jpg)
MSAIDIZI WA MWINGIRA ALIVYOUAWA KWA RISASI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mhrng7eeJg0g8vXOg-GNwNJiZ2FGxJA8JmPUe9IaEs1fw5xLkMwTMQ1WzyCPzGMrt0NI6XjYGvGeat6xhj7FVEfa291lIfce/MWINGIRA.jpg?width=650)
ANAYEDAIWA KUZAA NA MWINGIRA AZUA MAPYA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/saEvSFZMI0mB496PL87W-Y1Q9tyXsvGdNqeH2Q8bodi6PtK4SqR6LpR6e0CUwzKlp2dATdoDUQNhesyQ9gVqnHVRbkfT9tFr/MWINGIRA.jpg?width=650)
KESI YA MWINGIRA: MAHAKAMA YAJAA WAUMINI WAKE
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-OwwMlfMqwzY/U4dgv8dfCoI/AAAAAAAFmRs/8yKgORkkk9w/s72-c/unnamed+%252811%2529.jpg)
Ratiba ya Mazishi ya MArehemu Mzee Augustine Cassian Mwingira
![](http://3.bp.blogspot.com/-OwwMlfMqwzY/U4dgv8dfCoI/AAAAAAAFmRs/8yKgORkkk9w/s1600/unnamed+%252811%2529.jpg)