Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Wanaume waoga kupima ukimwi’

IMEELEZWA wanaume wanaongoza kwa kutopima virusi vya ukimwi (VVU) kutokana na kutawaliwa na hofu inayosababishwa na kumiliki ‘nyumba ndogo’ nyingi huku wakiwa wahamasishaji wazuri kwa wake na wapenzi wao kutambua...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Wanaume wengi waoga kusindikiza wake zao Kliniki — TMEP

DSC00592

Meneja mawasiliano wa mradi wa ushiriki sawa wa wanaume katika masuala ya afya ya uzazi na ujinsia unaofadhiliwana shirika lisilo la kiserikali la nchini Sweden (Sweden association for sexual education-RFSU), Eugenia Msasanun akifuatilia uendeshaji wa mafunzo kwa waandishi wa habari 35 wa mikoa ya Singida na Rukwa yaliyomalizika jana mjini Iringa.

Na Nathaniel Limu, Iringa

WANAUME nchini wameshauriwa kuondokana na mawazo potofu kwamba kliniki ni kwa ajili ya wanawake pekee, badala yake...

 

11 years ago

GPL

MWINGIRA AGOMA KUPIMA UKIMWI

Stori: Makongoro Oging’ na Richard Bukos
MTUME na Nabii wa Kanisa la Efatha, Joseph Elias Mwingira anayekabiliwa na kesi ya kuzaa na mke wa mtu, hatimaye amefunguka mengi kuhusu madai hayo lakini amekataa kabisa kupima Ukimwi, Risasi Mchanganyiko lina kila kitu. Mtume na Nabii wa Kanisa la Efatha, Joseph Elias Mwingira. Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi - Kisutu, Dar, umebaini kuwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Wanaume wahofia kupima VVU’

KAMATI ya Ukimwi ya Halmashauri ya Kibaha Mji, mkoani Pwani,  imesema bado kuna kikwazo kwa wanaume hususan walio kwenye ndoa  kujitokeza kupima Virusi vya Ukimwi (VVU) na badala yake wanategemea majibu...

 

10 years ago

Habarileo

Wanaume watahiriwa kuepuka Ukimwi

SERIKALI wilayani hapa inaendelea kuwafanyia tohara wanaume wasiotahiriwa ikiwa ni moja ya mikakati yake ya kuzuia kuongezeka kwa maambukizi mapya ya Ukimwi kwa wakazi wake.

 

9 years ago

Dewji Blog

Wafanyakazi TBL Group waadhimisha Siku ya UKIMWI duniani kwa kupima afya zao

ukimwi 1

Mfanyakazi wa Kampuni ya TBL; kiwanda cha kuzalisha pombe kinywaji aina ya Chibuku  kilichopo Ubungo Dar es Salaam,Reocatus Hanania akipewa ushauri  nasaha na  akimsikiliza mtoa ushauri nasaha kutoka Kampuni ya bima ya Afya ya Metropolitan;  Aurelia Kanambi kabla ya kupima Virusi vya Ukimwi ikiwa ni sehemu ya maadhimishao ya siku ya Ukimwi Duniani. TBL kila mwaka ambapo Kampuni ya kutengezea bia (TBL) hiyo kila mwaka huadhimisha siku hiyo kwa kualika wataalamu wa afya kwa ajili ya kutoa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Wananchi wahimizwa kujitokeza kwa wingi kupima afya zao kuelekea siku ya Ukimwi Desemba

TACAIDS - 0

Mwenyekiti Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Kudhibiti UKIMWI nchini Tanzania Dkt. Fatma Mrisho  akizungumza na waandishi wa Habari kuhusu Maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani mwaka huu ambayo inaadhimishwa kwa  kuwahimiza wananchi kujitokeza kwa wingi  kupima afya zao na kupata elimu ya kujikinga  na maambukizi ya ugonjwa huo.

Na. Nyakongo Manyama- MAELEZO.

[DAR ES SALAAM] Wito umetolewa kwa wananchi kote nchini kuyatumia maadhimisho ya Siku ya UKIMWI duniani ambayo huadhimishwa kila ifikapo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mama Salma Kikwete awataka wanaume kuwaunga mkono wake zao kupima saratani za matiti na shingo ya kizazi

mam10

Mke wa Rais na Mwenyekiti wa WAMA Mama Salma Kikwete akikabidhi mashine ya kupimia saratani ya matiti kwa akina mama kwa uongozi kwa Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi Luteni Jenerali Samuel Ndomba (kulia). Hafla ya makabidhiano hayo ilifanyika kwenye Hospitani Kuu ya Jeshi Lugalo kwenye Kitengo cha Uzazi na Mtoto kilichoko Mwenge tarehe 27.2.2015. Aliyesimama pembeni kwa Mama Salma ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Donan Mmbando na aliyesimama kulia kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Wanawake waoga kutumia kondom’

SABABU ya wanawake kuongoza kwa maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU) inatokana na kukosa maamuzi juu ya kutumia kinga kama kondom wanapofanya tendo la ndoa. Hayo yalibainishwa wilayani hapa jana...

 

10 years ago

Dewji Blog

Bongo wengi waoga kupiga picha kwenye zuria jekundu katika ‘Event’

ASIA IDAROUS kwenye red carpet

Mama wa Mitindo Tanzania na Mkurugenzi Mkuu wa Fabak fashions ya Mikocheni kwa Mwalimu Nyerer, Asia Idarous Khamsin  akipita kwa madaha kwenye zuria jekundu.

Mama wa Mitindo, Asia Idarous anaeleza kuwa, desturi ya kupita kwenye zuria inampa muhusika kujiamini hasa akiwa kwenye muonekano wa aina yoyote ile. Hali hiyo imepelekea ‘event’ nyingi zinazofanyika hapa Nchini na nchi zingine kuwa  na utaratibu maalum ikiwemo kupamba eneo la kuingilia ili wanaohudhulia tafrija ama tukio maalum kupita...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani