Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Wanawake waoga kutumia kondom’

SABABU ya wanawake kuongoza kwa maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU) inatokana na kukosa maamuzi juu ya kutumia kinga kama kondom wanapofanya tendo la ndoa. Hayo yalibainishwa wilayani hapa jana...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wanawake wajiremba kwa kondom

MATUMIZI ya kondomu za kike yamekuwa changamoto kubwa baada ya wanawake mkoani Rukwa kukataa kuzitumia, huku wengine wakibadili matumizi yake kwa kuzivaa kama urembo wa bangili.

 

10 years ago

GPL

WANAWAKE KUFUNDISHWA NAMNA YA KUTUMIA FURSA

Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Trumark, Agness Mgongo, akiwa katika studio za Global Tv Online kwa ajili ya mahojiano. Zulekha Samwix wa Trumark akisubiri mahojiano  na Global TV. ...Wakipozi…

 

10 years ago

Tanzania Daima

UGLOW yahamasisha wanawake kutumia vipodozi sahihi

WANAWAKE nchini wameshauriwa kuhudhuria maonyesha ya vipodozi ili kuhakikisha wanaepukana na matumizi ya vipodozi bandia vinavyochangia kuwapa magonjwa mbalimbali yakiwemo ya kansa ya ngozi. Akizungumza na waandishi wa habari jana...

 

10 years ago

Habarileo

Dk Bilal ahimiza wanawake vijijini kutumia huduma za afya

MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal amewataka akinamama Zanzibar kujitokeza kwa wingi kuzitumia huduma za afya zilizopo vijijini kwa ajili ya kupunguza vifo vinavyotokana uzazi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Wanaume waoga kupima ukimwi’

IMEELEZWA wanaume wanaongoza kwa kutopima virusi vya ukimwi (VVU) kutokana na kutawaliwa na hofu inayosababishwa na kumiliki ‘nyumba ndogo’ nyingi huku wakiwa wahamasishaji wazuri kwa wake na wapenzi wao kutambua...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wanawake wameaswa kutumia fursa iliyopo katika sekta ya bahari

001

Mkurugenzi wa Usalama wa Mazingira Majini Bw. Tumpe Mwaijande kutoka Wizara ya Uchukuzi kwaniaba ya Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt. Shaaban Mwinjaka akiongea na wajumbe wa Umoja wanawake walio katika Sekta ya masuala ya Bahari Mashariki na Kusini mwa Afrika (WOMESA) wakati wa ufunguzi wa mkutano wao wa mwaka unaofanyika jijini Dar es salaam.

Na Eleuteri Mangi- MAELEZO

Wanawake wameaswa kutumia fursa iliyopo katika sekta ya bahari kwa kupata elimu na mafunzo ya sekta hiyo ambayo ni msingi...

 

10 years ago

Michuzi

Wanawake waaswa kutumia fursa iliyopo katika sekta ya bahari.

 Mkurugenzi wa Usalama wa Mazingira Majini Bw. Tumpe Mwaijande kutoka Wizara ya Uchukuzi kwaniaba ya Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt. Shaaban Mwinjaka akiongea na wajumbe wa Umoja wanawake walio katika Sekta ya masuala ya Bahari Mashariki na Kusini mwa Afrika (WOMESA) wakati wa ufunguzi wa mkutano wao wa mwaka unaofanyika jijini Dar es salaam.  Mkurugenzi Msaidizi kutoka Shirika la Kimataifa linaloshughulikia Mambo ya Bahari (IMO) Pamela Tansey akiwasilisha mada wakati wa ufunguzi wa mkutano...

 

10 years ago

Mwananchi

UZAZI: Wanawake wazalishwa kwa kutumia mifuko ya plastiki mkoani Manyara

>Baadhi ya wananchi na viongozi wao wanatetea nafasi ya wakunga kusaidia wajawazito kujifungua mkoani Manyara na wapo wataalamu wa afya ambao wanawatizama wakunga kama kundi lisilohitajika katika mchakato mzima wa afya ya mama na mtoto.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani