‘Wanawake waoga kutumia kondom’
SABABU ya wanawake kuongoza kwa maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU) inatokana na kukosa maamuzi juu ya kutumia kinga kama kondom wanapofanya tendo la ndoa. Hayo yalibainishwa wilayani hapa jana...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo06 Oct
Wanawake wajiremba kwa kondom
MATUMIZI ya kondomu za kike yamekuwa changamoto kubwa baada ya wanawake mkoani Rukwa kukataa kuzitumia, huku wengine wakibadili matumizi yake kwa kuzivaa kama urembo wa bangili.
10 years ago
GPLWANAWAKE KUFUNDISHWA NAMNA YA KUTUMIA FURSA
10 years ago
Tanzania Daima02 Oct
UGLOW yahamasisha wanawake kutumia vipodozi sahihi
WANAWAKE nchini wameshauriwa kuhudhuria maonyesha ya vipodozi ili kuhakikisha wanaepukana na matumizi ya vipodozi bandia vinavyochangia kuwapa magonjwa mbalimbali yakiwemo ya kansa ya ngozi. Akizungumza na waandishi wa habari jana...
10 years ago
Habarileo22 Sep
Dk Bilal ahimiza wanawake vijijini kutumia huduma za afya
MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal amewataka akinamama Zanzibar kujitokeza kwa wingi kuzitumia huduma za afya zilizopo vijijini kwa ajili ya kupunguza vifo vinavyotokana uzazi.
11 years ago
Tanzania Daima09 Jan
‘Wanaume waoga kupima ukimwi’
IMEELEZWA wanaume wanaongoza kwa kutopima virusi vya ukimwi (VVU) kutokana na kutawaliwa na hofu inayosababishwa na kumiliki ‘nyumba ndogo’ nyingi huku wakiwa wahamasishaji wazuri kwa wake na wapenzi wao kutambua...
10 years ago
Dewji Blog29 Oct
Wanawake wameaswa kutumia fursa iliyopo katika sekta ya bahari
Na Eleuteri Mangi- MAELEZO
Wanawake wameaswa kutumia fursa iliyopo katika sekta ya bahari kwa kupata elimu na mafunzo ya sekta hiyo ambayo ni msingi...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GvMxvlxOWag/VFBgXK1KM7I/AAAAAAACt3A/QSBzB9SaxGM/s72-c/001.jpg)
Wanawake waaswa kutumia fursa iliyopo katika sekta ya bahari.
![](http://4.bp.blogspot.com/-GvMxvlxOWag/VFBgXK1KM7I/AAAAAAACt3A/QSBzB9SaxGM/s1600/001.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-njGPDCr1ixQ/VFBggaV9HfI/AAAAAAACt3g/PITBHsZCDvA/s1600/005.jpg)
10 years ago
Mwananchi25 Oct
UZAZI: Wanawake wazalishwa kwa kutumia mifuko ya plastiki mkoani Manyara