Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shein afuta michango, ada za mitihani

Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein ametangaza kufuta michango kwa elimu ya msingi na gharama za mitihani kwa wanafunzi wa sekondari kuanzia Julai mwaka huu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Kikwete afuta ada sekondari

Rais Jakaya Kikwete akizindua rasmi Sera ya Elimu ya Taifa Dar es Salaam jana. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadik.(Picha na Mroki Mroki).HATIMAYE Rais Jakaya Kikwete ametimiza ahadi yake aliyoitoa Agosti mwaka jana katika Chuo Kikuu cha Mzumbe cha Morogoro, kwamba amekusudia kufuta ada ya shule za sekondari nchi nzima.

 

9 years ago

MillardAyo

Issue ya wanaume kubambikiwa watoto, watakaopandisha ada, JPM afuta likizo TRA…#MAGAZETINI

MTANZANIA Abiria waliotaka kusafiri kwenda wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro, nusura wachapane ngumi wakigombea foleni ya kukata tiketi katika Kituo cha mabasi ya mikoani Ubungo (UBT). Gazeti hili lilishuhudia abiria hao wakiwa kwenye foleni wakisubiri kukata tiketi katika mabasi ya Kampuni ya Meridian yanayofanya safari zake kati ya Dar es Salaam na Rombo mkoani Kilimanjaro. Katika […]

The post Issue ya wanaume kubambikiwa watoto, watakaopandisha ada, JPM afuta likizo TRA…#MAGAZETINI...

 

9 years ago

Michuzi

Serikali yafuta rasmi ada kwa elimu ya sekondari kidato cha kwanza hadi cha nne na michango yote katika elimu ya msingi

Serikali imeamua kutoa elimu pasipo malipo kwa elimu ya msingi kuanzia elimu ya awali hadi kidato cha nne, kuanzia mwaka wa masomo wa 2016 kama ilivyoahidi.  Azma hii ya serikali ni katika kutekeleza sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2014 ambayo ina lengo la kuhakikisha kwamba watoto wote wa Tanzania wanapata Elimu bila kikwazo ikiwemo ada au malipo.  Katika kutekeleza maamuzi hayo, ada zote zilizokuwa zikilipwa kwa ajili ya elimu ya kidato cha kwanza hadi cha nne zimefutwa.Pia, waraka wa...

 

9 years ago

Mtanzania

Magufuli afuta sherehe za Uhuru

Magufuli+PHOTO*Asema zitaadhimishwa kwa wananchi kufanya usafi

*Akerwa na kipindupindu, wasomi wazungumzia uamuzi huo.

 

NA VERONICA ROMWALD, DAR ES SALAAM

RAIS Dk. John Magufuli, amefuta sherehe za Uhuru mwaka huu, na kusema Watanzania watasherehekea kwa kufanya usafi wa mazingira nchi nzima ili kukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu.

Agizo la Rais Magufuli, lilitangazwa Dar es Salaam jana na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, alipofanya ziara Hospitali ya Taifa Muhimbili.

Ziara hiyo, ililenga...

 

10 years ago

Mtanzania

Lowassa afuta nyayo za Dk. Slaa

Lowassa akihutubiaNa Fredy Azzah, Karatu

MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, jana aliutikisa Mji wa Karatu wakati akifanya mikutano yake ya kampeni iliyohudhuriwa na maelfu ya wananchi.

Lowassa ambaye anaungwa mkono na vyama vinne vya upinzani ambavyo ni Chadema, NCCR- Mageuzi, Chama cha Wananchi (CUF) na Natonal League for Democracy (NLD) vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) akitumia kauli mbiu yake ya ‘Mabadiliko, Lowassa’ alionekana kuamsha hamasa kubwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Mchungaji afuta Ibada Oktoba 25

Mchungaji wa Kanisa la Ufunuo maarufu Mungu wa Bendera wilayani Bukombe Mkoa wa Geita, Heriyabwana Majebele amesema Oktoba 25 hakutakuwa na ibada kanisani hapo, badala yake waumini waende wakapige kura.

 

10 years ago

Mwananchi

Awadh afuta mikosi Simba

Simba imevunja mwiko wa kutopata ushindi katika siku yao maalumu, ‘Simba Day’ tangu mwaka 2009 baada ya jana kuichapa SC Villa ya Uganda bao 1-0 katika mchezo wa kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

11 years ago

Mwananchi

Jaja afuta kesi ya Okwi Fifa

>Kiwango cha juu kilichoonyeshwa na mshambuliaji Genilson Santos ‘Jaja’ kimefanya uongozi wa Yanga, kutupilia mbali wazo la kumshitaki Emmanuel Okwi kwa Shirikisho la Soka la Kimataifa( Fifa).

 

10 years ago

GPL

LULU AFUTA AKAUNTI YAKE INSTAGRAM

Muigizaji wa filamu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ . MUIGIZAJI wa filamu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ aliyekuwa na wafuasi wengi kwenye Instagram, ameamua kujiondoa baada ya kushambuliwa kwa matusi na baadhi ya watu kufuatia kifo cha mtu aliyewahi kuwa mpenzi wake. Kufuatia kifo cha kutatanisha cha Lusekelo Samson Mwandenga ‘Secky’, watu wengi walianza kumtukana Lulu wakimhusisha pia na kifo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani