Shein: Amani na utulivu kipaumbele cha CCM
MWENYEKITI wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein amesema ili kuhakikisha kunakuwepo na maendeleo ya kiuchumi na kijamii, suala la amani na utulivu ni la kipaumbele kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na serikali zake.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Q0n_3sJXlmc/Xu44Ktg6RWI/AAAAAAALuxs/FlrK3U_EylYCRSVUxPOOes5IIHKH4-UAwCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC4342-2048x1689.jpg)
SERIKALI ITAENDELEA KUHAKIKISHA HALI YA AMANI NA UTULIVU-RAIS DKT.ALI SHEIN
![](https://1.bp.blogspot.com/-Q0n_3sJXlmc/Xu44Ktg6RWI/AAAAAAALuxs/FlrK3U_EylYCRSVUxPOOes5IIHKH4-UAwCLcBGAsYHQ/s640/DSC4342-2048x1689.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/DSC4345-1-scaled.jpg)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia Baraza la Tisa la Wawakilishi Zanzibar kabla yac kulivunja rasmin leo katika ukumbi wa mkutano Chukwani Jijinin Zanzibar.(Picha na Ikulu)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/DSC4635-scaled.jpg)
10 years ago
Habarileo26 Jan
‘CCM italinda amani, utulivu’
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amesema CCM itasimamia misingi yake mikuu ya kuasisiwa kwake, ambayo ni kulinda amani na utulivu wa wananchi wake.
9 years ago
Mzalendo Zanzibar05 Sep
Dua ya kuiombea Zanzibar amani na utulivu katika kipindi cha uchaguzi
Na: Hassan Hamad, OMKR Waislamu mbali mbali wakiongozwa na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, leo wamekusanyika katika viwanja vya Maisara mjini Zanzibar kwa ajili ya kuomba dua ya kuiombea […]
The post Dua ya kuiombea Zanzibar amani na utulivu katika kipindi cha uchaguzi appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Habarileo21 Sep
Shein atangaza elimu kuwa kipaumbele
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amesema sekta ya elimu itapewa kipaumbele cha kwanza akirejea madarakani. Pamoja na kipaumbele hicho, mgombea huyo ametangaza kufuta ada na michango yote kwa wanafunzi wa sekondari na kuahidi kujenga Chuo kikuu kipya Dole, Unguja.
9 years ago
MichuziMgombea Urais wa Zanzibar kwa Tiketi ya CCM Dk Shein, awatambulisha Wagombea Ubunge na Uwakilishi wa Wilaya ya Amani Unguja Kichama
9 years ago
Raia Mwema21 Oct
Tunawatakia uchaguzi wa amani na utulivu
JUMAPILI ijayo, Watanzania watafanya uamuzi wa kuchagua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Mwandishi Wetu
9 years ago
Habarileo21 Aug
Wema na wenzake kunadi amani, utulivu
KUNDI la wasanii wa kike wa Chama Cha Mapinduzi ‘CCM’ wakiongozwa na Wema Sepetu wanatarajia kufanya tamasha kubwa la Mama Ongea na Mwanao 2015 kwa ajili ya kuhamasisha watu kuwaheshimu wanawake na kuwathamini kuelekea kipindi hiki cha Uchaguzi Mkuu 2015.
10 years ago
Habarileo10 Dec
Asisitiza amani na utulivu kwenye uchaguzi
KATIBU wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Tanga, Shija Othmani amewahimiza wafuasi wa vyama mbalimbali na wananchi kuendelea kudumisha amani na utulivu kwenye kipindi hiki cha kumalizia kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na siku ya uchaguzi ili kufanikisha kazi hiyo.
9 years ago
StarTV08 Sep
Wanasiasa wahimizwa kulinda amani na utulivu
Wanasiasa wa vyama mbalimbali wametakiwa kuilinda na kuiendeleza amani na utulivu iliyopo nchini katika kipindi hiki cha kampeni za kuelekea uchaguzi mkuu kwa kutotoa maneno yatakayo hamasisha watanzania kufanya vurugu
Wakiongea na Star Tv baadhi ya wananchi wamesema kuwa toka nchi ipate uhuru haijawahi kufanya uchaguzi uliyo na ushindani mkubwa kama wa mwaka huu kutokana na joto la uchaguzi na ushabiki kuwa kubwa .
Mkuu wa wilaya ya Kondoa Shabani Kisu anapata nafasi katika uzinduzi...