Sheria za dereva, polisi barabarani — 2
WIKI iliyopita nilisema Sheria ya Barabarani- The Road Traffic Act [CAP 168 R.E. 2002] imeweka wajibu kwa kila mtumiaji wa barabara, na kuweka adhabu kwa mtu yeyote ambaye hatazifuata au...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV24 Dec
 Polisi yajipanga kukamata wavunjaji Wa Sheria Za Barabarani
Jeshi la Polisi nchini limepiga marufuku magari ya abiria kubeba abiria kupita uwezo wake na kuonya kuwa kufanya hivyo ni kinyume cha sheria za usalama barabarani
Msemaji wa Jeshi la Polisi, Advera -Bulimba amesema wamejipanga kufanya operesheni kali nchi nzima ya kukamata madereva wasiofuata sheria za usalama barabarani.
Msemaji wa Jeshi la Polisi Advera John Bulimba akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam kuhusu operesheni ya kuwakamata madereva wote watakaozidisha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NOEPf2lvTAk/Xnnxaw3mMKI/AAAAAAALk6Q/hdUMqFjdEAYrsPSG1XRxBmhRmABwKv1eACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200324-WA0002.jpg)
MBEYA: JESHI LA POLISI LAMSHIKILIA DEREVA WA BASI LA RAHABU KWA KUSABABISHA KIFO CHA DEREVA WA BAJAJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-NOEPf2lvTAk/Xnnxaw3mMKI/AAAAAAALk6Q/hdUMqFjdEAYrsPSG1XRxBmhRmABwKv1eACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200324-WA0002.jpg)
JESHI la Polisi mkoani Mbeya linamshikilia Dereva AYOUB BALENZI MWANDWANGWA [36] Mkazi wa Ilomba Jijini Mbeya ambaye ni Dereva wa Basi la RAHABU linalofanya Safari zake kati ya Mbeya – Ifakara Morogoro kwa kosa la kusababisha vifo kwa dereva wa Bajaji ambaye bado hajafahamika jina na abiria wake aitwaye ESTER MBOJE [35] Mkazi wa Ilemi.Ni kwamba mnamo tarehe 24/03/2020 majira ya saa 06:15 asubuhi huko Ilomba, Kata ya Ilomba,...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-D7aBEz9MuL8/U9_aEPYUiaI/AAAAAAAF9G0/M2R0rh4cXiU/s72-c/IMG-20140802-WA0008.jpg)
TAARIFA YA JESHI LA POLISI KANDA MAALUM: ASKARI POLISI FEKI WA USALAMA BARABARANI ALIYEKUWA ANATAPELI WANANCHI AKAMATWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-D7aBEz9MuL8/U9_aEPYUiaI/AAAAAAAF9G0/M2R0rh4cXiU/s1600/IMG-20140802-WA0008.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-kD77rECHH3Y/U9_aIYYQvLI/AAAAAAAF9G8/E7ptUtKJJIw/s1600/IMG-20140802-WA0009.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-anJearEjYck/XuqIgOroXxI/AAAAAAAAdMs/GO3YmnfiP4gMjmBikfi8qone_Ew1aCiWwCLcBGAsYHQ/s72-c/Usalama-2.jpg)
TUNATAKA MABADILIKO SHERIA YA USALAMA BARABARANI.....!
![Usalama-2 Usalama-2](https://1.bp.blogspot.com/-anJearEjYck/XuqIgOroXxI/AAAAAAAAdMs/GO3YmnfiP4gMjmBikfi8qone_Ew1aCiWwCLcBGAsYHQ/s400/Usalama-2.jpg)
1. KUDHIBITI Mwendokasi (Speed) kwa kuweka alama za mwendo kikomo maeneo yenye halaiki, kama vile sokoni, mashuleni, na mijini; na kuweka tafsiri sahihi ya maana ya maeneo ya makazi.
2. Kuwafanya wote dereva na abiria wa Pikipiki avae Kofia ngumu (helmet), ili abiria asiyevaa kofia na ipo apigwe faini yeye mwenyewe;
3. Kuwafanya abiria wote kwenye gari wafunge mikanda (seat belts) na sio wa siti za mbele tu. Kwani ajali zinapotokea abiria wote wanapata madhara. Sheria itamke wazi kuwa abiria...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
Wataka sheria za usalama barabarani kuzingatiwa
BAADHI ya washindi wa pikipiki kutoka promosheni ya Jishindie Bodaboda inayoendeshwa na Kampuni ya Vodacom wamehimiza umuhimu wa vyombo vinavyohusika na usalama barabarani kuchukua hatua za makusudi kuimarisha usalama ili...
11 years ago
GPLPOLISI AKOMAA NA DEREVA BODABODA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HpeX2GVjkzI/VCPfKgFyH9I/AAAAAAAGlq0/QwtLJIraO88/s72-c/unnamed%2B(98).jpg)
Utii wa Sheria kwa Madereva utapunguza ajali za Barabarani
Akizungumza na waandishi wa habari kwenye maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama barabarani inayofanyika kitaifa mkoani Arusha,Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya uagizaji wa magari nchini ya Be Forward Tanzania,Daniel Mtaalam amesema njia hiyo ndio suluhu za ajali zinazotokea mara kwa mara.
Amesema wao kama wadau wa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-eNQrF378agQ/Vgk27sXo2pI/AAAAAAAH7js/o3CLxyrh64k/s72-c/001.jpg)
USALAMA BARABARANI POPOTE UENDAKO NI MUHIMU ZINGATIA SHERIA ZAKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-eNQrF378agQ/Vgk27sXo2pI/AAAAAAAH7js/o3CLxyrh64k/s640/001.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-mzZ9nDvgcIE/Vgk27kQlAGI/AAAAAAAH7jw/adLi_bEVRm0/s640/003.jpg)
Vijana wanao saidia kuokota mipira katika uwanja wa taifa wakati wa mechi mbalimbali za Ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara zikichezwa, wakiwa wamebeba mabango yenye ujumbe maalum unaohusu kuhamasisha Usalama barabarani na kutoa elimu kwa wapenzi wa mpira wa miguu na wachezaji,wakati wa mpambano wa ligi hiyo juzi iliyowakutanisha watani wa jadi Simba na Yanga katika uwanja wa Taifa ambapo Yanga waliibuka na ushindi wa mabao 2-0.
![](http://2.bp.blogspot.com/-hFn7N-TIpDs/Vgk28TVFmRI/AAAAAAAH7kA/K1oCdmm_ITs/s640/004.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xEE-ZAIXPxA/Vgk28r2xQhI/AAAAAAAH7kI/8cr4I_o8X7g/s640/006.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Lg-_ysSDn3U/Vgk28-zgI6I/AAAAAAAH7kE/xj6QskhRgtU/s640/007.jpg)
11 years ago
MichuziMABASI YA UDA YANAENDESHWA BILA KUZINGATIA SHERIA ZA USALAMA BARABARANI