SHETA: SIJUTII KUWEKEZA MILIONI 25 KWENYE VIDEO YA KEREWA
STAA wa Bongo Fleva,Sheta, baada ya kuwekeza milioni 25 kwenye video ya Kerewa ambayo aliifanyia nchini Afrika Kusini chini ya director mwenye profile ya kufanya kazi na wasanii wakubwa Afrika wanamwita God Father, Sheta alifunga macho na kuichana wallet yake kwa ku spend karibu milioni 25 kukamilisha zoezi hili.
Video ya Kerewa imetoka siku ya Ijumaa Mpaka sasa hivi kwenye mtandao wa you tube imetazamwa na zaidi ya watu elfu 27 Ndani ya video hiyo Sheta na Diamond wameonekana wakikabidhiana...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KjzU17zlGiZB9ppuG8Z1xzNkiz61yK0OeXqsGeFK4SWlRypVqJGKcMGboWjqt6EVMVmLnYR2Eu6aGzW8WGpDupSO9D9YMEyf/kaila.jpg)
SHETA NILIKUTANA NA MAMA KAILA KWENYE MISELE!
11 years ago
CloudsFM30 Jun
11 years ago
GPL28 Jun
10 years ago
Bongo518 Aug
‘Kerewa’ ya Shetta yaingia kwenye Top 10 za Radio 3 Nigeria, NAIJA 102.7 FM, CITY 105.1 FM na THE BEAT 99.9FM
10 years ago
Dewji Blog09 Feb
Tigo kuwekeza dola milioni 1 kupanua huduma zake Zanzibar
Kaimu Meneja Mkuu mpya wa Tigo Bi. Cecile Tiano.
Tigo Tanzania imepanga mwaka huu kujenga minara 10 mipya ya simu yenye thamani ya dola milioni moja (1) katika visiwa vya Zanzibar kama moja ya mikakati yake ya upanuzi wa huduma zake nchini.
Hii ilitangazwa leo na Kaimu Meneja Mkuu mpya wa Tigo Bi. Cecile Tiano wakati alipotembelea Zanzibar kwa mara ya kwanza kukutana na wadau wa kampuni kisiwani hapo.
Bi. Tiano alisema kwamba minara hii mipya 10 ni uwekezaji mkubwa ambao kampuni hiyo...
10 years ago
Dewji Blog20 Feb
Tanzania kuwekeza dola milioni 120 katika mtandao wake 2015
Kaimu Meneja Mkuu wa Tigo Tanzania, Cecile Tiano akiongea na waandishi wa habari kuhusu kampuni yake itakavyowekeza mwaka huu, Kulia ni Meneja Mawasiliano wa Tigo, John Wanyancha.
Tigo Tanzania imepanga kutumia kiasi cha dola milioni 120 (Shilingi bilioni 221) mwaka huu kwa ajili ya upanuzi wa mtandao wake utakao ongeza ufanisi wa huduma zake nchini.
Akizungumza mipango hiyo ya kampuni kwa mwaka 2015, Kaimu Meneja Mkuu wa Tigo Bi.Cecile Tiano alisema kwamba uwekezaji wa mwaka huu ni ishara...