Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHETA NILIKUTANA NA MAMA KAILA KWENYE MISELE!

AMEMSAHAU MUNGU?
Wasanii wengi wamemsahau Mwenyezi Mungu, ni kama hawana dini, msikitini wala kanisani hawapajui. Je, wewe Shetta ni mmojawapo? Joel Luhwago, Dar, 0752775325
Shetta: Mimi nina dini yangu na huwa sikosi msikitini. Msanii wa Bongo Fleva Shetta akiwa ndani ya ofisi za  Global. ALIYEMVUTIA
Shetta ni nani aliyekuvutia kuingia kwenye gemu la muziki ingawa staili ya uimbaji wako inafanana na msanii Black...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

CloudsFM

SHETA: SIJUTII KUWEKEZA MILIONI 25 KWENYE VIDEO YA KEREWA

STAA wa Bongo Fleva,Sheta, baada ya kuwekeza milioni 25 kwenye video ya Kerewa ambayo aliifanyia nchini Afrika Kusini chini ya director mwenye profile ya kufanya kazi na wasanii wakubwa Afrika wanamwita God Father, Sheta alifunga macho na kuichana wallet yake kwa ku spend karibu milioni 25 kukamilisha zoezi hili.Video ya Kerewa imetoka siku ya Ijumaa Mpaka sasa hivi kwenye mtandao wa you tube imetazamwa na zaidi ya watu elfu 27 Ndani ya video hiyo Sheta na Diamond wameonekana wakikabidhiana...

 

10 years ago

Michuzi

MAMA SALMA KIKWETE AKUTANA NA MAMA GRACA MACHEL KWENYE OFISI ZA WAMA

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimpokea Mama Graca Machel aliyemtembelea kwenye ofisi za WAMA tarehe 25.8.2014. Mke wa Rais Mama Salma Kikwete na mgeni wake Mama Graca Machel wanaonekana wakifurahia jambo kabla ya kupiga picha ya pamoja na baadhi ya wajumbe wa Bodi ya WAMA. Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Wanawake na Maendeleo,WAMA, Mama Salma Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Mgeni wake Mama Graca Machel na wajumbe wawili wa Bodi ya WAMA. Wajumbe hao ni Mheshimiwa...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Mama Diamond na mama Zari walipokutana kwenye ‘state house’ ya Platnmuz

Nyuso za wazazi wa mastaa wawili wa Afrika, Diamond na Zari zilionekana zenye furaha mbele ya mjukuu wao Lattifah Nasib a.k.a Tiffah katika picha waliyopiga nyumbani kwa Diamond ambapo mwenyewe anapaita ‘state house’. Zari amepost picha ya mama yake mzazi akiwa amembeba Tiffah na pembeni akiwa na mama yake Diamond, kwa pamoja wanaonekana wakizungumza jambo […]

 

11 years ago

GPL

MISELE YA NEW YEAR ILINIBOA

WIKIENDI nyingine tena tunakutana hapa katika kijiwe chetu, ambacho mara kwa mara tunakumbushana, kuelekezana na hata kunyoosheana vidole, ili mradi lengo letu ni kwamba mwisho wa siku, wote tunaondoka na elimu kidogo, wewe kwa kupitia andiko hili, mimi kupitia maoni yako. Basi bwana, nilikuwa sijapata nafasi ya kuwapa huu mchapo wa siku ile ya mwaka mpya. Anko wenu kidogo natokatoka siku moja moja kufurahi na marafiki, hasa kwa...

 

11 years ago

Michuzi

Siku rais obama alipopiga misele mitaani

Kwa hisani ya White House

 

11 years ago

Michuzi

Rais obama wa marekani aendelea kupiga misele mitaani

 Rais Obama wa MArekani akipata pizza na wananchi wa Denver, akiwa katika ziara yake ya kutembelea wananchi wa kawaida mitaani na kuzungumza nao mamo ya maisha na changamoto wazipatazo. Wananchi hawa walimwandikia barua Rais Obama na kumtaka awatembelee  Rais Obama akiongea na mwanamama Kinsey Button katika Mgahawa wa Magnolia mjini Austin, Texas Rais Obama akiongea na wananchi mitaani Denver.
Picha kwa hisani ya Pete Souza wa White House

 

11 years ago

CloudsFM

SHETA AOGESHWA MAJI YA UKOKO SIKU YAKE YA KUZALIWA

Staa wa Bongo Fleva,Sheta alijikuta katika wakati mgumu baada ya kumwagiwa maji ya ukoko na wasanii wenzake siku ya kuzaliwa kwake jana.Kisanga hicho kilimkumba jana wakati alipohudhulia futari iliyoandaliwa na Tanzania House of Tatent(THT)baada ya watu kufuturu nay eye kuingia ndipo walipomuita pembeni kama wanaongea naye kilichotokea hapo ni kumwagiwa maji ya ukoko yaliyokuwa yamelowekwa kwenye masufuria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani