Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


introducing Misele Ya Shetani by Jaji Mc ft. Sabah

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MISELE YA NEW YEAR ILINIBOA

WIKIENDI nyingine tena tunakutana hapa katika kijiwe chetu, ambacho mara kwa mara tunakumbushana, kuelekezana na hata kunyoosheana vidole, ili mradi lengo letu ni kwamba mwisho wa siku, wote tunaondoka na elimu kidogo, wewe kwa kupitia andiko hili, mimi kupitia maoni yako. Basi bwana, nilikuwa sijapata nafasi ya kuwapa huu mchapo wa siku ile ya mwaka mpya. Anko wenu kidogo natokatoka siku moja moja kufurahi na marafiki, hasa kwa...

 

11 years ago

Michuzi

Siku rais obama alipopiga misele mitaani

Kwa hisani ya White House

 

10 years ago

GPL

SHETA NILIKUTANA NA MAMA KAILA KWENYE MISELE!

AMEMSAHAU MUNGU?
Wasanii wengi wamemsahau Mwenyezi Mungu, ni kama hawana dini, msikitini wala kanisani hawapajui. Je, wewe Shetta ni mmojawapo? Joel Luhwago, Dar, 0752775325
Shetta: Mimi nina dini yangu na huwa sikosi msikitini. Msanii wa Bongo Fleva Shetta akiwa ndani ya ofisi za  Global. ALIYEMVUTIA
Shetta ni nani aliyekuvutia kuingia kwenye gemu la muziki ingawa staili ya uimbaji wako inafanana na msanii Black...

 

11 years ago

Michuzi

Rais obama wa marekani aendelea kupiga misele mitaani

 Rais Obama wa MArekani akipata pizza na wananchi wa Denver, akiwa katika ziara yake ya kutembelea wananchi wa kawaida mitaani na kuzungumza nao mamo ya maisha na changamoto wazipatazo. Wananchi hawa walimwandikia barua Rais Obama na kumtaka awatembelee  Rais Obama akiongea na mwanamama Kinsey Button katika Mgahawa wa Magnolia mjini Austin, Texas Rais Obama akiongea na wananchi mitaani Denver.
Picha kwa hisani ya Pete Souza wa White House

 

9 years ago

Global Publishers

Ndoa na Shetani-2

ILIPOISHIA:
“Mavazi gani hayo, yaani umbile kama lako ningekuwa nalo mimi kila mtu angenisoma namba. Mungu amekupendelea ili uutangaze uwezo wake wa uumbaji ukilificha, usije shangaa siku moja ukasikia umekuwa mlemavu kwa kushindwa kuvitangaza..kwanza unajijua wewe mzuri?” niliuliza huku akinitazama.

“Nitajijuaje mwenyewe?”
“Ina maana kote ulikosoma hukuwahi kusifiwa?”
SASA ENDELEA…

“Hiyo hali nimeshaizoea.”
“Basi Konso wewe ni mzuri chuo kizima, yaani ningekuwa kama wewe mbona...

 

5 years ago

Michuzi

JAJI KIONGOZI AONGOZA WAOMBOLEZAJI MAZISHI YA JAJI MSTAAFU MUSHI

 Jaji Kiongozi   wa Mahakama Kuu ya Tanzani, Mhe. Dkt. Eliezer Feleshi (wa kwanza kushoto) akiwaongoza   baadhi ya Majaji wa Mahakama ya Tanzania kuubeba mwili wa marehemu , Jaji Mstaafu wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe. Nathaniel Melkizedek Mushi, kwa ajili ya mazishi, alifariki dunia Machi 11, mwaka huu nyumbani kwake Mailisita Moshi Mjini, ambapo pia mazishi yake yalifanyika katika eneo hilo, mwanzoni mwa wiki hii mkoani Kilimanjaro. Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzani, Mhe....

 

9 years ago

GPL

WEMA AMTAFUTA SHETANI...

Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu, anadaiwa kutafuta shetani mwingine wa ugomvi baada ya ‘kumalizana’ na Aunt Ezekiel Grayson na kuanzisha ushosti na mwigizaji, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’, jambo ambalo linawapa wasiwasi mashabiki wao kutokana na dhana iliyojengeka kuwa mrembo huyo (Wema), hawezi kudumu na rafiki kwa kipindi kirefu.   ....Soma zaidi====>http://bit.ly/1MWeRWq ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani