Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shibuda aumbuka

WAKATI mbunge wa Maswa Magharibi, John Shibuda (CHADEMA) akidai kuwa hajawahi kueleimishwa kuhusu kundi la UKAWA, Tanzania Daima Jumatano limebaini ni mwongo. Kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA),...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Nassari aumbuka bungeni

Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Joshua Nassari, juzi alijikuta akiumbuka bungeni baada ya kushindwa kutaja kanuni aliyoitumia, kuomba mwongozo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waziri Ghasia aumbuka

SIKU chache baada ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Serikali za Mitaa Tawala za Mikoa (Tamisemi), Hawa Ghasia, kusema kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe...

 

11 years ago

GPL

BABY MADAHA AUMBUKA

Na Mayasa Mariwata
STAA wa muziki na filamu Bongo, Baby Joseph Madaha ambaye aliwahi kutangaza kuacha fani ya maigizo na muziki amejikuta akiumbuka kwa mashabiki wake kutokana na kuendelea kukomaa katika gemu kwa kuachia kazi mpya na kuandaa matamasha mbali mbali. Staa wa muziki na filamu Bongo, Baby Joseph Madaha akiwa kwenye pozi. Msanii huyo alitoa uamuzi huo kwa madai kuwa alichoshwa na skendo za kila kukicha ambazo...

 

9 years ago

GPL

JUSTIN BIEBER AUMBUKA JUKWAANI

Mkali wa Ngoma ya What Do You Mean, Justin Bieber. Los Angeles, Marekani. MKALI wa Ngoma ya What Do You Mean, Justin Bieber usiku wa kuamkia leo aliumbuka jukwaani baada ya kutimba na ‘Skate Board’ kisha kuteleza na kumuumiza goti. Tukio hilo lilitokea katika Ukumbi wa Staples Center, Los Angeles Marekani ambapo Bieber alionekana akiingia kwa mbwewe na Skate Board na baada ya kufika jukwaani akateleza na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Shibuda ‘ajifukuza’ CHADEMA

WAKATI Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kikijipanga wakuchukulia hatua wabunge wake waliosaliti msimamo wa Kamati Kuu na kuhudhuria vikao vya Bunge la Katiba, Mbunge wa Maswa Magharibi, John Shibuda...

 

10 years ago

Mtanzania

Shibuda akataliwa Tadea

Mbunge wa Maswa Magharibi, John Shibuda

Mbunge wa Maswa Magharibi, John Shibuda

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

MWENYEKITI wa Chama cha Tadea Wilaya ya Nyasa, Joachim Mwingila, amesema hawataki Mbunge wa Maswa Magharibi (Chadema), John Shibuda ajiunge na chama hicho.

Akizungumza Dar es Salaam jana alisema, Shibuda ni mamluki anayetumwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwenda kuvivuruga vyama vya upinzani.

“Shibuda ametangaza kwamba, mwakani hataki kugombea ubunge kupitia Chadema baada ya kusema hivyo akadai atagombea kupitia chama...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Shibuda ajipalia makaa

KAULI ya Mbunge wa Maswa Mashariki, John Shibuda (CHADEMA), kwamba amekipa talaka chama hicho akikitaka kitafute wagombea wengine majimbo ya Maswa Mashariki na Magharibi, imeendelea kumponza. Safari hii, Mwenyekiti wa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Shibuda asulubiwa jimboni

MBUNGE wa Maswa Mashariki, Silvester Kasulumbai, (Chadema), amewaomba msamaha wananchi wa jimbo la Maswa Magharibi kwa kuwashawishi wamchague, John Shibuda kuwa mbunge wao kwenye uchaguzi mkuu uliopita akidhani atabadilika na...

 

10 years ago

Habarileo

Shibuda ajifananisha na Messi, Ronaldo

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, John Shibuda amesema kwamba hajakihama Chama cha Demokrasia na Maendeleo bali amekosana na mfumo wa utumishi wa ndani ya chama hicho.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani