Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shibuda asulubiwa jimboni

MBUNGE wa Maswa Mashariki, Silvester Kasulumbai, (Chadema), amewaomba msamaha wananchi wa jimbo la Maswa Magharibi kwa kuwashawishi wamchague, John Shibuda kuwa mbunge wao kwenye uchaguzi mkuu uliopita akidhani atabadilika na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

JK asulubiwa

RAIS Jakaya Kikwete, ameingia kwenye mvutano na makada wenzake kutokana na kauli yake ya kuwataka vijana wachague mgombea anayefanana na ujana katika uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika mwakani. Wiki iliyopita akiwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Shibuda aumbuka

WAKATI mbunge wa Maswa Magharibi, John Shibuda (CHADEMA) akidai kuwa hajawahi kueleimishwa kuhusu kundi la UKAWA, Tanzania Daima Jumatano limebaini ni mwongo. Kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA),...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Shibuda ajipalia makaa

KAULI ya Mbunge wa Maswa Mashariki, John Shibuda (CHADEMA), kwamba amekipa talaka chama hicho akikitaka kitafute wagombea wengine majimbo ya Maswa Mashariki na Magharibi, imeendelea kumponza. Safari hii, Mwenyekiti wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Shibuda ‘ajifukuza’ CHADEMA

WAKATI Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kikijipanga wakuchukulia hatua wabunge wake waliosaliti msimamo wa Kamati Kuu na kuhudhuria vikao vya Bunge la Katiba, Mbunge wa Maswa Magharibi, John Shibuda...

 

11 years ago

Mtanzania

Shibuda akataliwa Tadea

Mbunge wa Maswa Magharibi, John Shibuda

Mbunge wa Maswa Magharibi, John Shibuda

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

MWENYEKITI wa Chama cha Tadea Wilaya ya Nyasa, Joachim Mwingila, amesema hawataki Mbunge wa Maswa Magharibi (Chadema), John Shibuda ajiunge na chama hicho.

Akizungumza Dar es Salaam jana alisema, Shibuda ni mamluki anayetumwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwenda kuvivuruga vyama vya upinzani.

“Shibuda ametangaza kwamba, mwakani hataki kugombea ubunge kupitia Chadema baada ya kusema hivyo akadai atagombea kupitia chama...

 

11 years ago

TheCitizen

Shibuda: 3-govt structure not a cure

Constituent Assembly (CA) member John Shibuda has said a three-government Union structure cannot be the only solution to the problems bedeviling Tanzania, particularly, if the current leaders were to remain in power.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Shibuda akunwa na hotuba ya Warioba

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, John Shibuda, amemuunga mkono, Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, kwa kusema hotuba yake imewafumbua macho Watanzania wengi. Akizungumza na...

 

11 years ago

Habarileo

Shibuda ajitoa Chadema kiaina

MBUNGE wa Maswa Magharibi, John Shibuda (Chadema), amesema hatagombea ubunge kupitia Chadema katika Uchaguzi Mkuu ujao, kwa kuwa amechoshwa na kauli za vitisho na kejeli dhidi yake, zinazotolewa na baadhi ya viongozi wa juu wa chama hicho.

 

10 years ago

Vijimambo

SHIBUDA AKANUSHA KUJIUNGA NA ACT


John Shibuda  Dar es Salaam Yetu blogMbunge wa Maswa Magharibi (CHADEMA), JOHN Shibuda amekataa kuhusishwa na Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Tanzania), akisema hana mpango wa kujiunga nacho.

Shibuda ambaye ameshatangaza kutogombea ubunge kupitia CHAsdemA katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu, amesema “pamoja na kusema sitagombea kupitia CHADEMA lakini nisilishwe maneno…siendi kwenye chama hicho cha ACT.”

Kauli ya Shibuda imeondoa uvumi ulioenea kwamba angejiunga na ACT baada...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani