Shibuda asulubiwa jimboni
MBUNGE wa Maswa Mashariki, Silvester Kasulumbai, (Chadema), amewaomba msamaha wananchi wa jimbo la Maswa Magharibi kwa kuwashawishi wamchague, John Shibuda kuwa mbunge wao kwenye uchaguzi mkuu uliopita akidhani atabadilika na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima21 Oct
JK asulubiwa
RAIS Jakaya Kikwete, ameingia kwenye mvutano na makada wenzake kutokana na kauli yake ya kuwataka vijana wachague mgombea anayefanana na ujana katika uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika mwakani. Wiki iliyopita akiwa...
11 years ago
Tanzania Daima13 Aug
Shibuda aumbuka
WAKATI mbunge wa Maswa Magharibi, John Shibuda (CHADEMA) akidai kuwa hajawahi kueleimishwa kuhusu kundi la UKAWA, Tanzania Daima Jumatano limebaini ni mwongo. Kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA),...
11 years ago
Tanzania Daima18 Sep
Shibuda ajipalia makaa
KAULI ya Mbunge wa Maswa Mashariki, John Shibuda (CHADEMA), kwamba amekipa talaka chama hicho akikitaka kitafute wagombea wengine majimbo ya Maswa Mashariki na Magharibi, imeendelea kumponza. Safari hii, Mwenyekiti wa...
11 years ago
Tanzania Daima11 Aug
Shibuda ‘ajifukuza’ CHADEMA
WAKATI Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kikijipanga wakuchukulia hatua wabunge wake waliosaliti msimamo wa Kamati Kuu na kuhudhuria vikao vya Bunge la Katiba, Mbunge wa Maswa Magharibi, John Shibuda...
11 years ago
Mtanzania25 Aug
Shibuda akataliwa Tadea

Mbunge wa Maswa Magharibi, John Shibuda
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
MWENYEKITI wa Chama cha Tadea Wilaya ya Nyasa, Joachim Mwingila, amesema hawataki Mbunge wa Maswa Magharibi (Chadema), John Shibuda ajiunge na chama hicho.
Akizungumza Dar es Salaam jana alisema, Shibuda ni mamluki anayetumwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwenda kuvivuruga vyama vya upinzani.
“Shibuda ametangaza kwamba, mwakani hataki kugombea ubunge kupitia Chadema baada ya kusema hivyo akadai atagombea kupitia chama...
11 years ago
TheCitizen20 Mar
Shibuda: 3-govt structure not a cure
11 years ago
Tanzania Daima21 Mar
Shibuda akunwa na hotuba ya Warioba
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, John Shibuda, amemuunga mkono, Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, kwa kusema hotuba yake imewafumbua macho Watanzania wengi. Akizungumza na...
11 years ago
Habarileo11 Aug
Shibuda ajitoa Chadema kiaina
MBUNGE wa Maswa Magharibi, John Shibuda (Chadema), amesema hatagombea ubunge kupitia Chadema katika Uchaguzi Mkuu ujao, kwa kuwa amechoshwa na kauli za vitisho na kejeli dhidi yake, zinazotolewa na baadhi ya viongozi wa juu wa chama hicho.
10 years ago
VijimamboSHIBUDA AKANUSHA KUJIUNGA NA ACT
Shibuda ambaye ameshatangaza kutogombea ubunge kupitia CHAsdemA katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu, amesema “pamoja na kusema sitagombea kupitia CHADEMA lakini nisilishwe maneno…siendi kwenye chama hicho cha ACT.”
Kauli ya Shibuda imeondoa uvumi ulioenea kwamba angejiunga na ACT baada...