SHIBUDA AKANUSHA KUJIUNGA NA ACT
John Shibuda Dar es Salaam Yetu blogMbunge wa Maswa Magharibi (CHADEMA), JOHN Shibuda amekataa kuhusishwa na Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Tanzania), akisema hana mpango wa kujiunga nacho.
Shibuda ambaye ameshatangaza kutogombea ubunge kupitia CHAsdemA katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu, amesema “pamoja na kusema sitagombea kupitia CHADEMA lakini nisilishwe maneno…siendi kwenye chama hicho cha ACT.”
Kauli ya Shibuda imeondoa uvumi ulioenea kwamba angejiunga na ACT baada...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo9 years ago
Dewji Blog16 Nov
Drogba akanusha madai ya kujiunga na Chelsea wakati huu ambao ligi ya Marekani MLS imemalizika!
Drobga
Na Rabi Hume wa Modewjiblog na Mashirika ya Habari.
Mchezaji wa zamani wa Chelsea, Didier Drogba (37) anayekipiga kwa sasa katika kblabu ya Montreal Impact inayoshriki ligi kuu ya Marekani MLS amekanusha uvumi uliokuwa umeanza kusambaa kuwa mchezaji huyo atajiunga na klabu yake ya Chelsea kwa mkataba wa muda mfupi wakati huu ambao ligi kuu ya Marekani imesimama.
Akizungumza na Kituo cha Habari cha Ufaransa (AFP), Drogba amesema taarifa hizo siyo sahihi kuwa atajiunga kwa muda...
10 years ago
Habarileo08 Nov
ACT wakana kujiunga na Ukawa
CHAMA cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Tanzania) kimesema kinaingia katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa bila kuungana na chama chochote cha siasa kwa sababu wanaamini itikadi za vyama hivyo haiendani na itikadi yao.
10 years ago
Mwananchi14 May
ACT-Wazalendo waomba kujiunga Ukawa
11 years ago
Habarileo07 May
ACT-Tanzania kumshawishi Zitto kujiunga nao
MWANACHAMA wa chama kipya cha siasa cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Tanzania), Dk Kitila Mkumbo, amesema atahakikisha anazungumza na viongozi wa chama hicho, ili wamshawishi mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto, ajiunge na chama hicho.
10 years ago
Mwananchi22 Mar
Zitto ataja sababu za kujiunga ACT, asema hakuna kurudi nyuma
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/3XKn0FD80-w/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HuMMOERHkUs/VdggBAYS7vI/AAAAAAAHzDk/FDKhIEakwMg/s72-c/unnamed%2B%252828%2529.jpg)
MAKONDA AWAHIMIZA WASANII KUJIUNGA NA BIMA YA AFYA: Awataka kutumia taaluma yao kuhamasisha wengine kujiunga
Amesema kutokana na kupanda kwa gharama za maisha hivi sasa zikiwemo za matibabu, wasaani wana kila sababu ya kuona umuhimu wa kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya ili wanapougua watibiwe kwa kutumia kadi badala ya kuhangaika kutafuta fedha taslimu.
Makonda alikuwa akizungumza wakati wa ufunguzi...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8HH4usEZH8Y/VGHrVap9NQI/AAAAAAACujw/wA4AXd7MWcg/s72-c/namba%2B9.jpg)
WANANCHI WA MUHEZA WAHAMASIKA KUJIUNGA NA MFUKO WA AFYA YA JAMII, ZAIDI YA KAYA 65 ZENYE WANACHAMA 390 WAHAMASIKA NA KUJIUNGA PAPO HAPO
![](http://4.bp.blogspot.com/-8HH4usEZH8Y/VGHrVap9NQI/AAAAAAACujw/wA4AXd7MWcg/s1600/namba%2B9.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PsIGIFeup4Q/VGHrcV5VOiI/AAAAAAACukU/gFb9qIJCKlI/s1600/picha%2Bnamba%2B1.jpg)