Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHIGONGO: HOMA YA INI NI UGONJWA KATILI LAZIMA TUUTOKOMEZE

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Global Publishers & General Enterprises Ltd, Eric Shigongo. Na  Mwandishi Wetu
MKURUGENZI Mtendaji wa Kampuni ya Global Publishers & General Enterprises Ltd, Eric Shigongo, ametoa wito kwa Watanzania wote kuungana katika kampeni ya kuutokomeza ugonjwa wa homa ya ini ambao kitaalamu unajulikana kama Hepatitis B. Global Publishers, imeanza rasmi kampeni za kuitokomeza hepatitis B ambazo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

SHIGONGO ASISITIZA KAMPENI YA KUTOKOMEZA HOMA YA INI

Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers, Eric Shigongo. Kampeni ya kutokomeza homa ya ini (Hepatitis B), iliyoanzishwa na Kampuni ya Global Publishers & General Enterprises Ltd, imewekewa wigo mpana wa kufika nchi nzima. Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers, Eric Shigongo, alimweleza mwandishi wetu kuwa kampeni hiyo imeanzishwa kwa nia ya dhati kabisa ya kumkomboa Mtanzania dhidi ya ugonjwa huo, kwa hiyo mipango imara...

 

11 years ago

GPL

ERIC SHIGONGO APELEKA KAMPENI YA HOMA YA INI ALPHA HIGH SCHOOL

Mkurugenzi wa Global Publishers Ltd, Eric Shigongo akitoa elimu juu ya ugonjwa wa Homa ya Ini kwa wanafunzi wa kidato cha sita wa Shule ya Sekondari Alpha. ...Akieleza dalili za ugonjwa wa Homa ya Ini.…

 

11 years ago

GPL

SHIGONGO AFAFANUA MADHARA YA UGONJWA WA INI

Shigongo akizungumza kwa masikitiko jinsi watu wengi walivyo kwenye hatari ya kufa kwa ugonjwa wa ini. …Akiwa na jopo la madaktari. Kushoto ni Dk. Mtebe Majigo, Mganga Mkuu wa Amana, Meshack Shing'wela (wa pili kulia) na Daktari Kiongozi Andrew Method.…

 

11 years ago

GPL

HOMA YA INI: UGONJWA HATARI KULIKO UKIMWI

Makala: Mwandishi Wetu
NI ugonjwa unaoambukizwa kwa njia ya virusi ambavyo vikishaingia mwilini hushambulia ini kabla ya kugeuka maradhi sugu.Virusi hivyo vinaitwa HBV (Hepatitis B Virus). Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid. Virusi hivyo husambazwa kwa njia ya damu au majimaji mengine ya mwilini, mfano mate au jasho. Watu takriban 1,000,000 wanapoteza maisha duniani kote kutokana na ugonjwa wa Homa ya Ini...

 

10 years ago

Mwananchi

Homa ya ini : Ugonjwa hatari uliopuuzwa na jamii nyingi

Watu wengi hawana elimu kuhusu ugonjwa wa homa ya ini ambao unaonekana kuwa hatari kuliko magonjwa yanayoogopeka kama vile Ukimwi.

 

11 years ago

GPL

UZINDUZI HOMA YA INI LEO

Shigongo akizungumza kwa masikitiko jinsi watu wengi walivyo kwenye hatari ya kufa kwa ugonjwa wa ini. Stori: RICHARD BUKOS KAMPENI ya ugonjwa wa Homa ya Ini unaosambazwa na Virusi vya Hepatitis B inazinduliwa rasmi leo, Machi 7, mwaka huu katika Hospitali ya Mkoa wa Kitabibu Ilala – Amana, jijini Dar es Salaam. Akizungumza na Ijumaa, Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Global Publishers ambayo ndiyo inayoendesha kampeni...

 

11 years ago

GPL

KAMPENI HOMA YA INI KUZINDULIWA KESHO

Makala:  Mwandishi Wetu
KAMPENI ya ugonjwa wa Homa ya Ini unaosambazwa na Virusi vya Hepatitis B itazinduliwa rasmi kesho Ijumaa, Machi 7, mwaka huu katika Hospitali ya Mkoa wa Kitabibu Ilala–Amana, jijini Dar es Salaam. Shigongo akizungumza kwa masikitiko jinsi watu wengi walivyo kwenye hatari ya kufa kwa ugonjwa wa ini alipoongea na wanahabari (hawapo pichani) jana.
Akizungumza na Amani, Mkurugenzi Mtendaji wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Homa ya ini hatari kuliko ukimwi

WADAU wa mapambano dhidi ya maambukizi ya ugonjwa wa homa ya ini (Hepatitis B), wamesema takriban watu milioni moja wanapoteza maisha kila mwaka dunia kutokana na ugonjwa huo. Pia wadau...

 

11 years ago

GPL

WADAU WAONGEZEKA KAMPENI YA HOMA YA INI

Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers, Eric Shigongo. Stori: Mwandishi Wetu
Kampeni iliyoanzishwa na Kampuni ya Global Publishers & General Enterprises Ltd ya mapambano dhidi ya homa ya Ini (hepatitis B), imepokelewa kwa mikono miwili baada ya wadau muhimu katika sekta ya afya kujitokeza. Taasisi za Damu Salama, SD Afrika na Sanofi Pasteur, wamejitokeza kuungana na Global kuhakikisha kuwa homa hiyo inatokomezwa nchini....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani